Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Kuna watu hawataki kuishi kwenye miji mikubwa yenye misongamano ya watu.Kufika dar kunaweza kuharibu maisha ya mtu kivipi mkuu?
Na wanaweza kuendesha maisha yao vizuri tu bila kuishi kwenye hiyo miji.