Hivi mamlaka husika zilikuwa wapi mpaka kipande cha "unyanyasaji wa kingono" kinaandikwa kwenye kitabu cha Kabendera?

Hivi mamlaka husika zilikuwa wapi mpaka kipande cha "unyanyasaji wa kingono" kinaandikwa kwenye kitabu cha Kabendera?

Umejuaje mambo ya uchu, upwiru ulikuwepo au ni imagination zako kutokana maneno ya Kabendera?

Bibi wa miaka 60, mwenye watoto kibao, wajukuu mke wanne wa mzee Hafidh, Rais anaweza ku-order binti yoyote wa miaka 25, mwenye shape, atake kubaka kweli.
Mazingira gani Rais anaweza kumbaka Makamu wa Rais?Story zozote za vijiweni nyie mtaamini.

Mnajaribu sana kumshushia heshima yake JPM hata mwendawazimu wa kuokota makopo, serial rapist asingewaza hayo, let alone kufanya huo uchafu, hamtafanikiwa kwenye huu mkakati wenu, tayari mmefeli.
Kabendera kaandika kitabu baada ya kusikiliza stori za mitaani na hao aliowasikia kwa asilimia kubwa wamempa habari za kizushi.

Swali ninalojiuliza, unamchafua marehemu JPM asiyeweza kujitetea kwa sasa ili upate nini?.
 
Kabendera kaandika kitabu baada ya kusikiliza stori za mitaani na hao aliowasikia kwa asilimia kubwa wamempa habari za kizushi.

Swali ninalojiuliza, unamchafua marehemu JPM asiyeweza kujitetea kwa sasa ili upate nini?.
Tuambie wewe habari zisizo za uzushi kuhusu JPM.
 
huwa najiuliza hivi vitabu huwa vinapitiwa na wahariri before kutoa vibali kuwa public
au kuna pesa unalipa tu umemaliza vinawekwa public
Vinapitiwa mpaka na wanasheria. Huwezi kuchapisha kitabu chenye tuhuma nzito kama hizi tena nchini Uingereza bila wanasheria wa mchapishaji kujiridhisha.

Ukiona taarifa iko hapo jua kuna ushahidi wa aina Fulani. Sio lazima taarifa iwe kweli asilimia 100. Lakini lazima kuwe na mashahidi wasiotiliwa shaka. Unajua Wakati mwingine mashahidi wanaweza kusema uongo kwa kujua au bila kujua.
 
Nenda kwa Angel kai na kabula watakupa ushahidi tena utapewa na mengine uzimie.

Huu uzi ni kuhusu Rais na Makamu wa Rais, ubakaji. Sio mahusiano kama yapo yoyote mengine ya hiari ya watu wazima wawili.

Stick to that and provide sufficient, serious, strong evidence beyond doubts which will stand under serious scrutiny.
 
Huyu Jamaa si ndiyo wanasema siyo raia? Hata kama ametumwa hakuna mtz anayeweza kuhara namna hiyo! Rais warembo wote wa kwake, Leo akabake? Huyu jamaa hana adabu Bora angefia ndani. Ndiyo, sasa ana faida gani mtu wa namna hii! Nyie mliyoko madarakani msipomdhibiti atawaletea aibu ya kutosha! Nimekaa pale.
 
v/ Shuhuda wa tukio la ubakaji ni nani na walikuwa mashuhuda wangapi? Na wao walikuwa wanafanya nini kipindi ubakaji unataka kutokea?
Kuna mtu ameandika kitabu kina watu wengi zaidi ya Kabendera ila wako masked, lakini hatushangai maana hata ya akina Suleiman, Daudi na Ibrahim si yaliandikwa?
 
Mbona mnakuza mambo, hakuna mstari unaosema kwamba jamaa alinuia kubaka - amesema alienda na nguo za kulalia. Kwani we huwezi kutoka na boxer kama kuna dharura?
 
Back
Top Bottom