Hivi mchina ana technolojia gani ya kumsinda Mmarekani?

V Vipo vilivyogunduliwa Asia (CHINA,JAPAN,PERSIAN GULF).
Usipunje historia.
Vitu vingi vilivyogunduliwa USA ni vichwa vya Germany n.k n.k.
Hata hiyo Boeing muasisi ni MJerumani aitwaje Wilhelm Boeing.
 
Hakuna sanctions ambazo USA alimuwekea China zikafanikiwa.
Bali hum back fire tu.
Rejelea kuanzai 5G na Huawei na ishu ya ushuru bandarini.
USA aliathirika kwa kiasi kikubwa pale China alipokataza raw materials zake kutokwenda viwanda vya USA.
Tiktok kuifungia uache kazi ufanye kazi,maana USA ataitaji sapoti ya ULAYA na Ulaya sasa hivi wanamiminika China kuunda nae muungano wa kidiplomasia na kibiashara.
Fuatilia kitu kiitwacho BELT AND ROAD INITIATIVE.
Yani kwasasa USA ni joka la kibisa.
 
Bas ndio ujue Kua USA ndio kama mzee wake
Hamna mkuu,huyo USA tech nyingi anazoringa nazo ni za Ulaya hususan Germany.
Na ukifuatilia katika uwanda wa research hapo USA utakuta wahindi,WaJapan,wayahudi n.k n.k.
China ni mtu ambae anapambana na research mkuu.
 
Facebook, WhatsApp, google havipo China. Mchina alianza yeye kupiga ban
Mchina alipiga ban hivyo vitu baada ya kupigwa Ban ya kutumia google katika simu za HUAWEI.
Hivyo China imelipiza.
Ila kiuhalisia tutake tusitake China ni tishio.
Kama sio tishio USA asingekua anamuandama na vikwazo kila leo,sasa hivi amejiandaa kuzuia gari za umeme za China kutokuuzwa USA.
Hapo utasema nani anamuhofia mwenzie?
 
Hao USA ukienda kutizama tech zao nyingi za Germany,Japan.
Hata sasa nenda kwenye science centre zao kuna mpaka WaHong Kong.
 
Teknoloji aliyonayo China inayoweza kumpa challenge USA, ni "Human Resources"
Angalia hapa

Population of China in 2024 The population of China stood at 1.43 billion in January 2024. Data shows that China's population decreased by 356 thousand (-0.02 percent) between early 2023 and the start of 2024. 49.0 percent of China's population is female, while 51.0 percent of the population is male.

Source:
 
Kila mtu duniani ndoto yake ni kufika nchi ya maziwa na asali- USA 🇺🇲🇺🇲🇺🇲. Rais wa China mwenyewe anacheza green card lottery
 
Hamna mkuu,huyo USA tech nyingi anazoringa nazo ni za Ulaya hususan Germany.
Na ukifuatilia katika uwanda wa research hapo USA utakuta wahindi,WaJapan,wayahudi n.k n.k.
China ni mtu ambae anapambana na research mkuu.
Mchina kakuchanganya tu bidhaa tunazoletewa hapa East kateka soko lakin kwaupande wauvumbuzi tumwachie USa
 
Mchina kakuchanganya tu bidhaa tunazoletewa hapa East kateka soko lakin kwaupande wauvumbuzi tumwachie USa
Ukifuatilia uvumbuzi lazima turudi Asia mkuu na Europe.
Hata sasa centre za research USA ni wengi WaJapan,Wakorea,Wachina,Wahindi na wazungu hasa wa Germany.
Kafuatilie mkuu.
 
Mbona Nigeria wana population kubwa Afrika lakini bado ni taifa masikini!?
Population isiokuwa literate inasaidia nini kimaendeleo!?
 
Ukifuatilia uvumbuzi lazima turudi Asia mkuu na Europe.
Hata sasa centre za research USA ni wengi WaJapan,Wakorea,Wachina,Wahindi na wazungu hasa wa Germany.
Kafuatilie mkuu.
We google hapo nani ni more powerful kweny tech.

USA anaanza wengine wanapita humihumo
 
Bado uwezo mdogo. Bidhaa za Marekani ziatumika sana, sema ujui unatumiaje izi ni bidhaaa ambazo unatumia masaa 24.
Google
Android
Ios
ATM
Visa and master card
GPS
Opera, Google chrome
Kwa iyo America ni zaidi ya wewe uijuavyo
 
Hiyo ni innovation.
Copy na paste wewe kama unaweza.
Ugunduzi/uvumbuzi yaani invention kwenye teknolojia nyingi initially sana hutokea US na Ulaya na baadae kwa kuanzia commercialization ya hizo teknolojia hufanyikia huko huko US na Ulaya ndipo baadae mchina/makampuni ya US/Ulaya hutengeneza bidhaa hizo china kwa gharama/ ndogo ili kuweza kupata faida kubwa mfano Apple. Sasa nenda bidhaa zilezile akiwa amezalisha mchina kwa maana ya brand za kichina (anakopy paste sasa hapo) ni kawaida sana kuwa na quality ya chini ya US na ulaya maana masoko anayotarget mchina yanataka bidhaa za gharama ndogo.

Ndiyo maana utakuta teknolojia ya ndege, simu za mikononi, mezani, computer, mabasi na kingine kibao mchina hajagundua chochote ila ni mzalishaji mkubwa sana leo hii wa bidhaa hizo na nyingine mbalimbali. Mfano haya mabasi ya mwendokasi, mabus ya yutong, malori howo, sinotruck ubora huwezi linganisha na brand za US au Europe ila yanafaida kubwa kwa mfanyabiashara na hata mtumiaji hasa nchi za dunia ya 3.

Kwa hiyo kwa maana ya ugunduzi wa teknolojia mbalimbali kwa ujumla wake China bado hajaifikia US na Europe. Ila kwa maana ya mass production tena wa ghara ndogo ni ukweli ulio wazi China kamzidi US na Ulaya.

Kwa hiyo hiyo innovation unayosema wewe basically mchina hucopy alichofanya mwingine na kuangalia material gani aweke ili apunguze gharama za uzalishaji au feature ipi aongeze then aweze uza kwa gharama ya chini kuliko wazalishaji wengine wa bidhaa hizo. Ndo simu kama itel,tecno,infinix utawakuta hapo.

Ila kwa level aliyofikia mchina yupo vizuri sana na ataendelea kufanya vizuri maana kateka soko la dunia.
 
Huu ndo ukweli ambao watu hawataki kuukubali. China ana cheap skilled labor force ambayo imemsaidia kuvutia kampuni nyingi kwenda kuzalisha vitu nchini kwake kama ilivyo kwa nchi nyingi za Asia.
Hiki kimsaidia China kuwa na access ya teknolojia kutoka sehemu mbalimbali na kuweza kuitumia.
Shida ya USA na China ipo upande wa biashara kutoka na china kuendelea kushusha thamani ya pesa yake kitu ambacho kinaifanya kuvutia uwekezaji mwingi zaidi na kufanya bidhaa zake ziwe na bei rahisi ukilinganisha na za USA. Ukiangalia kwenye orodha ya nchi ambazo zina teknolojia ya juu China humkuti tano bora.

Michango mingi watu wanaiponda USA kutoka na chuki zao binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…