Hivi mlinzi wa Hayati Magufuli ni mlinzi wa Naibu Spika Zungu kweli?

Hivi mlinzi wa Hayati Magufuli ni mlinzi wa Naibu Spika Zungu kweli?

Kama ni kweli wale tulio kwenye ulinzi jiuzuluni tafadhali sanaaa huyo hapo chini alikuwa mlinzi wa Magufuli sasahivi ni mlinzi wa Naibu sipika?View attachment 2135563
Ilishawahi kutokea hata kwa mojawapo ya walinzi wa Mkapa alienda kuwa mlinzi wa spika sita. Watoto wadogo hamjui haya mambo. Ulinzi kazi ya kawaida sana haina uspesho wowote
 
Kuna watu humu hawajui kuwa kazi ya ulinzi wa viongozi ni kazi kama kazi nyingine yoyote, kiongozi mmoja akifa, mlinzi anapangiwa kwa kiongozi mwingine yeyote.
Kuna watu walitamani hao walinzi waendelee kumlinda kwa kulinda kaburi lake pale Chato.
Kiukweli humu jf tuna members..
P
Watoto wadogo hawaelewi haya mambo P. Wanafikiri mlinzi wa raisi ana ishu yoyote ya maana tofauti na wengine.
 
Unamuona Hapo Kachoka Hata Kutembea
Yaani Huyo Sukari, Pressure, Magoti, Vichomi, Kikohozi Vyote Vyake
[emoji28][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23]...ccm wanapeana Asante Kama anamaradhi yoooote hayo ataweza majukumu kweli muuza mitumba
 
Mkuu kwanza haijulikani unamzunguzia nani kwenye hiyo picha.
Lakini swali la msingi: ina maana wote walio karibu na huyo naibu spika ni walinzi wake?
What if wote wameenda msibani kama wengine?

NB: Walinzi vipenzi wangekuwa alipo muda huu.
Kwani Alhaji humjui mkuu?
 
Mkuu kwanza haijulikani unamzunguzia nani kwenye hiyo picha.
Lakini swali la msingi: ina maana wote walio karibu na huyo naibu spika ni walinzi wake?
What if wote wameenda msibani kama wengine?

NB: Walinzi vipenzi wangekuwa alipo muda huu.
Katika wote waliochangia naona wewe ndio umefikiria nje ya box. Kuna uwezekano wote hao kwenye hiyo picha tunaowajadili walienda kwenye maziko kama waombolezaji wengine na sio kua boss na walinzi/mlinzi wake
 
Ujui presidential appointed security officer
Mkuu unataka kuwa kama vijana wageni wa mambo ya kisiasa?

Huyo kahamishiwa kwenye Mhimili wa bunge, ametolewa kwenye Mhimili wa serikali tendaji.

Kama Magufuli angelimaliza muda wake akiwa hai, angelienda kuishi nao.

Kama ilivyo kwa wastaafu wengine.

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Kuna watu humu hawajui kuwa kazi ya ulinzi wa viongozi ni kazi kama kazi nyingine yoyote na mlinzi wa kiongozi ni mlinzi tuu kama mlinzi mwingine yeyote, kiongozi mmoja akifa, mlinzi wake anapangiwa kazi ya ulinzi kwa kiongozi mwingine yeyote.
Kuna watu walitamani hao walinzi waendelee kumlinda kwa kulinda kaburi lake pale Chato.

Na sio mlinzi tuu anapangiwa, hata wasaidizi wake wote wanapangiwa kwa wengine.

Tena tushukuru sana modern civilization, tunge stick kwenye zile traditional zetu za asili kabisa, hata ... ingebidi na yeye ... so that life goes on.

Ila pia kiukweli humu jf tuna members.. na members, members wengine wa ajabu...
P
Ah kaka mkubwa mambo ya traditions tena!

Big black yeye amepangiwa wapi saiv jameni?
 
So ulitaka akae bila kazi..?
Acha ushamba wa kiboya ndugu unakuwa unaakili Kama za ng'ombe bhana! Tumia kichwa yako vizuri
Tena bora kabaki hapa Tanzania kapangiwa hapo kwa naibu spika atakuwa anapata japo chochote ila kwa level aliyofikia ni vyema wangempa hata u RSO kama baba yake Pascal Mayalla hata ukuu wa kanda..
 
Hivi ni haki Leo hii mzee Zungu kuwa msaidizi wa Tulia Akson? Msaidizi kabsaaa? Lakini ndiyo hiyo; ni msaidizi tayari; mzee born town, mission town ndani ya jijini la Dar, Leo msaidizi wa mporipori kutoka huko Tukuyu ndanindani! Ukiweza kutegua hicho kitendawili utakuwa umepata jibu la swali ulilouliza.
Elimu ya tulia ipo juu kijana
lkn pia zungu ni mzee sana
 
Kuna watu humu hawajui kuwa kazi ya ulinzi wa viongozi ni kazi kama kazi nyingine yoyote na mlinzi wa kiongozi ni mlinzi tuu kama mlinzi mwingine yeyote, kiongozi mmoja akifa, mlinzi wake anapangiwa kazi ya ulinzi kwa kiongozi mwingine yeyote.
Kuna watu walitamani hao walinzi waendelee kumlinda kwa kulinda kaburi lake pale Chato.

Na sio mlinzi tuu anapangiwa, hata wasaidizi wake wote wanapangiwa kwa wengine.

Tena tushukuru sana modern civilization, tunge stick kwenye zile traditional zetu za asili kabisa, hata ... ingebidi na yeye ... so that life goes on.

Ila pia kiukweli humu jf tuna members.. na members, members wengine wa ajabu...
P
Pia ana bahati sana muda huu angetakiwa awe analinda kaburi la Hayati, baada ya kutolewa mgongo alipauka kiasi achana na kuku wa pale ikulu mixer mapochomapocho ya sambusa na ulojo..
 
Vijana wa ilala watakosaje kazi.

Huyu naibu supika naye mbona kajizeekea kuliko hata Mamndenyi
 
Back
Top Bottom