Chikenpox
JF-Expert Member
- Oct 15, 2022
- 784
- 1,246
Mimi naona huyu Mama kaletwa na Mungu kuwa Rais for a purpose.
Hebu angalia yafuatayo;
1. Ameondoa retention fee ya loans board kwa wanafunzi ambao tulikuwa tunasuffer kwelikweli. Kila mwaka mkopo ulikuwa unakua whether unafanya kazi au hifanyi. JPM hakufilia kabisa hilo japo inasemekana alikuwa Rais wa wanyonge, sijui wanyonge wepi!
2. Ameongeza pesa ya kujikimu kwa wanafunzi ambapo itakuwa elfu kumi kwa siku kitu ambacho JPM hakitaka kabisa, halafu alikuwa anajiita eti ni Rais wa wanyonge sijui wanyonge wepi hao!
3. Amefuta kabisa udhalilishaji wa kila namna kwa raia wake, mfano kuwepo kwa wasiojulikana kutesa na kuua. JPM hakufikilia kabisa kukomesha hili maana ndio ilikuwa nyenzo yake kuu ya kuwabana watu hususani mahasimu wake binafsi siyo wa nchi. Halafu eti alikuwa Rais wa wanyonge, sijui wanyonge wepi hao!
3. Limebaki suala moja tu nalo ni suala la muda na mtambuka tu ambalo ni ongezeko la bei ya vyakula ambapo I'm sure hata Mama linamuuma lakini kuna external factors nyingi sana ila litaisha tu.
4. Mwisho hongera Mama na Mungu akujalie uzidi kudumu katika hekima. Sasa hivi ajira bwerere. JPM alimaliza ajira zote eti miradi na ndege ambazo zipo zote ICU.
Hebu angalia yafuatayo;
1. Ameondoa retention fee ya loans board kwa wanafunzi ambao tulikuwa tunasuffer kwelikweli. Kila mwaka mkopo ulikuwa unakua whether unafanya kazi au hifanyi. JPM hakufilia kabisa hilo japo inasemekana alikuwa Rais wa wanyonge, sijui wanyonge wepi!
2. Ameongeza pesa ya kujikimu kwa wanafunzi ambapo itakuwa elfu kumi kwa siku kitu ambacho JPM hakitaka kabisa, halafu alikuwa anajiita eti ni Rais wa wanyonge sijui wanyonge wepi hao!
3. Amefuta kabisa udhalilishaji wa kila namna kwa raia wake, mfano kuwepo kwa wasiojulikana kutesa na kuua. JPM hakufikilia kabisa kukomesha hili maana ndio ilikuwa nyenzo yake kuu ya kuwabana watu hususani mahasimu wake binafsi siyo wa nchi. Halafu eti alikuwa Rais wa wanyonge, sijui wanyonge wepi hao!
3. Limebaki suala moja tu nalo ni suala la muda na mtambuka tu ambalo ni ongezeko la bei ya vyakula ambapo I'm sure hata Mama linamuuma lakini kuna external factors nyingi sana ila litaisha tu.
4. Mwisho hongera Mama na Mungu akujalie uzidi kudumu katika hekima. Sasa hivi ajira bwerere. JPM alimaliza ajira zote eti miradi na ndege ambazo zipo zote ICU.