Sure yaan,nakuinbox soonMtoa mada acha namba tuanze kufahamiana,,
Japo sio mhimu sana maana tutashindwa kufunguka kwa uwazi kwa vile tunafahamiana,ebu vuta picha ule uzi wetu was rickyboy wa kula kimasihara,,
Sasa mkifahamiana nahisi mengi yatabaki kuwa siri
Mtatumiwa taarifa whatsapp.Tatizo, nani atatwambia? [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nilijua lazima utie neno la faraja hapa na mungu akubariki sana wetu mpendwa 🥰🥰Kama mtu ameamua kuwa anonymous hata kifo chake kiwe anonymous.
Wakatoliki sala ya usiku tunawaombea marehemu wote wa siku ile wapumzike kwa amani na mwanga wa milele uwaangazie.
🙏🏾Nilijua lazima utie neno la faraja hapa na mungu akubariki sana wetu mpendwa 🥰🥰
Nakubali, nakubali [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Lucy acha ukichaa wako basiInatakiwa tuwe tunaitwa majina. Kama hujaingia jf siku tatu ukikuta jina lako limeitwa unaitika hivi;
Mfano:
Luckyline............Abeeeeeeee
Au
Luckyline............juzi, jana na leo.
Ndio hivyo labda kama mtu mnawasiliano nje na hapa.Kimyakimya yaan
Imekuwa attendance hii?Inatakiwa tuwe tunaitwa majina. Kama hujaingia jf siku tatu ukikuta jina lako limeitwa unaitika hivi;
Mfano:
Luckyline............Abeeeeeeee
Au
Luckyline............juzi, jana na leo.
Ipi hiyo?Hahahaha ukute Mwendazake alikua member humu maana kuna ID haijawahi kupost upotolo since March 2021