Hivi Mungu alikosa njia nyingine ya kufikisha ujumbe tofauti na Vitabu?

Hivi Mungu alikosa njia nyingine ya kufikisha ujumbe tofauti na Vitabu?

Brother apo kwenye walokole na wapentekost umetupiga!!!
Dini kama multiple choice ukirong ndo kwaher
 
Ushauri wangu kwako kama rafiki yangu ndani ya jf; penda kuuliza na kujifunza acha ushabiki kwani wewe bado sana katika dini, hata hiyo dini yako ya Ukristo bado mchanga sana.

Angalia hii dictionary ya maneno ya Qur'an kwani sio kila dictionary ya kiarabu inafaa kwa ajili ya Qur'an Kwani Qur'an yenyewe ndio msingi wa kamusi zote za Kiarabu.

View attachment 2455909
Weka translation huru , tumia google translator, huyu yupo bias na anachagua anachopenda kukisikia
 
Hapo nimeyaondoa hayo maneno usiyoyataka yaliyomo kwenye mabano na ndio nimekupa hiyo tafsiri isiyokuwa na maneno ya kwenye mabano, wewe vipi??!!, hata kiingereza kinakushinda??, nitakuwekea tafsiri yenye maneno kwenye mabano.
Alie translate kwa kiswahili kayaweka , kaongeza maneno kwenye koran. Ata huyo was kingereza kaongeza maneno kwenye Koran
 
Weka translation huru , tumia google translator, huyu yupo bias na anachagua anachopenda kukisikia


Hata hilo neno "Surrender" ungalikuwa unajua vyema English usingeendelea na ubishi wako, ile tafsiri yako uliyoiweka ina kupiga wewe mwenyewe lakini kwakuwa hujui kiingereza ukaona eti inakuunga mkono🤣🤣
 
Nadhani kila binadamu ana kitu ndani yake kinachompa huzuni anapofanya jambo baya. Inawezekana yule ndie MUNGU.
 
Alie translate kwa kiswahili kayaweka , kaongeza maneno kwenye koran. Ata huyo was kingereza kaongeza maneno kwenye Koran


Hiyo ndio shida yako kutokujua.

Qur'an ni yale maneno yaliyoandikwa kwa lugha ya kiarabu, hakuna Qur'an isiyokuwa ya lugha ya kiarabu, kilichopo katika lugha zingine ni Tafsiri ya Qur'an, Tafsiri inategemea na mtu aliyetafsiri uelewa wake na ndio maana neno Aslamnaa mwingine katafsiri "We have surrendered" mwingine katafsiri "We have submitted"ingawa kimsingi maneno hayo yanayo maana sawa na neno sahihi zaidi ilipaswa liwe "We have submitted". Kuanzia leo lazima ujue kuna Qur'an na TAFSIRI YA QUR'AN.
 
Hata hilo neno "Surrender" ungalikuwa unajua vyema English usingeendelea na ubishi wako, ile tafsiri yako uliyoiweka ina kupiga wewe mwenyewe lakini kwakuwa hujui kiingereza ukaona eti inakuunga mkono🤣🤣
Cha msingi tumeona wazi Uislamu sio Faith Bali ni ku surrender

Una surrender kama prisoner na huna faith kwa ulichojiunga nacho Yani Islam
 
Cha msingi tumeona wazi Uislamu sio Faith Bali ni ku surrender

Una surrender kama prisoner na huna faith kwa ulichojiunga nacho Yani Islam


Huna hoja za kielimu kilichobakia kwako ni FANATISM tu.

ماسلم
 
Mans knowledge is limited. What we don't is beyond our knowledge.

Kuna baadhi ya mambo huwa tunapoteza muda na nguvu kuyahoji.

Tambua hakuna mwanadamu anaefahamu uwezo au utashi wa Mungu Kwamba kwanini alifanya kile na kwanini hakufanya hiki.

Vitabu vya dini hasa Biblia vimejaribu kumuelezea Mungu lakini ile ni "summary" tu ya machache kuhusu.Vitabu vya dini sio mwisho wa kila kitu kumuhusu Mungu.

Mungu ni zaidi ya tunavyodhani na tulivyofundishwa. Km kikiandikwa kitabu kumuelezea Mungu basi h kitabu hicho kitakuwa hakina mwisho na hakuna mwanadamu atakaeweza kukimaliza kukisoma.
Hapo umenena mkuu
 
Back
Top Bottom