Hivi Mungu alikosa njia nyingine ya kufikisha ujumbe tofauti na Vitabu?

Hivi Mungu alikosa njia nyingine ya kufikisha ujumbe tofauti na Vitabu?

Go and read an English dictionary.
Upo kwenye dini ya ku surrender na hakuna faith ndani yake
Surrender - to give (oneself) up into the power of another especially as a prisoner
Faith - strong belief in God or in the doctrines of a religion
 
Upo kwenye dini ya ku surrender na hakuna faith ndani yake
Surrender - to give (oneself) up into the power of another especially as a prisoner
Faith - strong belief in God or in the doctrines of a religion


Mimi naona sio dini tu hujui bali hata lugha kwako ni shida, ona hapo; to give (oneself) up into the power of another, hiyo ndio maana ya submission niliyokuwa naisema. sasa kwa ujinga wako umebold maneno; especially as a prisoner ili kuonyesha ku surrender ni sawa kuwa kama mfungwa, juu ya yote mtu akiwa kama mfungwa mbele ya Mungu kuna kosa gani??, Yesu mwenyewe alifungwa gerezani, akatundikwa msalabani, akapigwa mijeledi na akauawa juu msalaba kwa ajili ya Mungu, je naye katika hali hiyo hakuwa prisoner ??, tena prisoner aliyeteswa kwa ajili ya Mungu au wewe huoni na kutambua jambo hilo??!.

Wewe chuki zako dhidi ya Uisilamu imekupofua kiasi Kwamba huoni kasoro ndani ya dini yako!!, acha chuki na fanatism za dini bali jifunze na ukubali kufundishwa usichojua kwani uelewa wako wa elimu za dini kwa ujumla ni mdogo sana huna tofauti na Waisilamu wenye siasa kali.
 
Mkuu,

Mimi nilishasema mara nyingi kwamba, dhana ya Mungu kutumia vitabu kufikisha ujumbe wake ni moja ya ushahidi wa kutokuwepo Mungu huyo.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hatumii vitabu kufikisha ujumbe wake.

Vitabu vinaleta matatizo ya lugha na tafsiri, vinaharibika kirahisi, vinabadilishwa kizazi hata kizazi, na kwa kuangalia historia, hususan vitabu vya dini vilipoanzia, ilikuwa tabu sana kuandika.

Mungu huyu kwa nini hakutumia teknolojia kama ya DNA, kufikisha ujumbe wake moja kwa moja, bila utata, bila kutegemea tafsiri ya lugha, kwa kila mtu, kwa uwazi usio na utata wowote ule?

Ukichunguza kwa kina, utaona huyu Mungu anayesemwa yupo hayupo kiuhalisia.

Ni wa hadithi za kutungwa na watu tu.


Eti Mungu atumie technology ya DNA kufikisha ujumbe wake kwa watu!!!.

Hujui kwamba hiyo itakuwa ni "Genetical inspiration" ambapo katika hali hiyo mtu hatokuwa tena mtu huyu wa dunia hii katika mazingira haya, kifupi ni kwamba kwa njia hiyo ya Inspiration ni lazima mazingira haya tunayoishi yabadilike ili yaweze kuhost mtu wa aina hiyo kwani Genetical inspiration ni sawa na inspirayion to the Angels na hivyo mtu kwa kiasi fulani kama sio chote atakuwa kama Malaika kwani ndani ya Genes zake kutakuwa na built in inspirations na hapo mtu atakuwa hana self willingness katika kutenda mambo yake yaani hawezi kuwa na uhuru wa kuchagua na kupima mambo kwani Genes zake zitakuwa ready programmed kumfanya mtu atende bila hiyari yake.

Ukisoma Qur'an jambo hilo Mungu amelifanya kwa nyuki (kimsingi amelifanya kwa viumbe hai wote nje ya mtu) nyuki kachukuliwa kama mfano tu, hiyo ndio Genetical inspiration inayomfanya kiumbe hai a-act instinctively na Mungu hakutaka mtu awe hivyo kwani Mungu anamtaka mtu katika ulimwengu wa akhera ili huko aendelee kuishi milele kwani viumbe hai wengine hawataishi milele na ndio maana Mungu ametuletea aina hii ya inspiration tuliyonayo kupitia mitume na vitabu.
 
Mimi naona sio dini tu hujui bali hata lugha kwako ni shida, ona hapo; to give (oneself) up into the power of another, hiyo ndio maana ya submission niliyokuwa naisema. sasa kwa ujinga wako umebold maneno; especially as a prisoner ili kuonyesha ku surrender ni sawa kuwa kama mfungwa, juu ya yote mtu akiwa kama mfungwa mbele ya Mungu kuna kosa gani??, Yesu mwenyewe alifungwa gerezani, akatundikwa msalabani, akapigwa mijeledi na akauawa juu msalaba kwa ajili ya Mungu, je naye katika hali hiyo hakuwa prisoner ??, tena prisoner aliyeteswa kwa ajili ya Mungu au wewe huoni na kutambua jambo hilo??!.

Wewe chuki zako dhidi ya Uisilamu imekupofua kiasi Kwamba huoni kasoro ndani ya dini yako!!, acha chuki na fanatism za dini bali jifunze na ukubali kufundishwa usichojua kwani uelewa wako wa elimu za dini kwa ujumla ni mdogo sana huna tofauti na Waisilamu wenye siasa kali.
Wewe andika insha ila mwisho wa siku
Uislamu maana yake ni ku surrender kama prisoner na hakuna mambo ya faith ndani

Allah kasema msiseme mna faith ila semeni mme surrender
 
Wewe andika insha ila mwisho wa siku
Uislamu maana yake ni ku surrender kama prisoner na hakuna mambo ya faith ndani

Allah kasema msiseme mna faith ila semeni mme surrender


Wewe unao ushabiki wa kipumbavu hasaaa!!-- hebu ona hiyo tafsiri ya hiyo aya usiyoijua ilivyo ambamo neno: ( اسلمنا) Aslamnaa, yaani tumesilimu/tumekuwa waisilamu lilivyotafsiriwa kwa maana ya: " submission "":-

Screenshot_20221223-161100.png



Kinyume chake soma Biblia inavyosema juu ya imani zenu haba:-

Yesu akajibu; Nawambia kweli kama mnayo imani na msiwe na shaka si tu mnawezafanya hiki kilichofanywa kwenye mtini lakini pia mnaweza kuuambia mlima huu ondoka na jitupe baharini na ukaondoka na kujitupa. (Mathayo 21:21).

Je, kuna mkristo yeyote duniani amewahi kuondosha japo kichuguu tupilia mbali mlima ??!!.---- hayupo, hii maana yake ni kwamba hakuna mkristo mwenye Imani.
 
Wewe unao ushabiki wa kipumbavu hasaaa!!-- hebu ona hiyo tafsiri ya hiyo aya usiyoijua ilivyo ambamo neno: ( اسلمنا) Aslamnaa, yaani tumesilimu/tumekuwa waisilamu lilivyotafsiriwa kwa maana ya: " submission "":-

View attachment 2455855


Kinyume chake soma Biblia inavyosema juu ya imani zenu haba:-

Yesu akajibu; Nawambia kweli kama mnayo imani na msiwe na shaka si tu mnawezafanya hiki kilichofanywa kwenye mtini lakini pia mnaweza kuuambia mlima huu ondoka na jitupe baharini na ukaondoka na kujitupa. (Mathayo 21:21).

Je, kuna mkristo yeyote duniani amewahi kuondosha japo kichuguu tupilia mbali mlima ??!!.---- hayupo, hii maana yake ni kwamba hakuna mkristo mwenye Imani.
Ondoa mabano kwenye translation mabano ni nyongeza na haipo kwenye verse

Ondoa mabano alafu weka verse hapa
 
Mbona swali lako la kawaida? Kwanini mahakamani Ili ukutwe na hatia lazima Sheria ilejelewe? Mungu alikuwa anatuma malaika kutoa taarifa soma habari za Mariam, soma habari za sodoma na gomora, soma habari za Daniel, mahali pengine alikuwa anashuka mwenyewe, soma habari za Musa. Haya nikuulize swali kabla ya Musa walikuwa wanatumia kitabu gani kufuata ya Mungu? Kitabu ni kanuni za Mungu ambazo wanadamu wanapaswa kuishi Kwa kufuata hizo, lakini habari ya taarifa walikuwapo manabii wakauwa, walikuwepo mitume waliuawa lakini Kwa Sasa taarifa tunapata kupitia roho mtakatifu, hata angekuja kuhani nani mkubwa unayemfahamu akakuambia jambo kama roho mtakatifu hajakuambia hilo jambo litakuwa la huyo kuhani
 
Ondoa mabano kwenye translation mabano ni nyongeza na haipo kwenye verse

Ondoa mabano alafu weka verse hapa


Eti Ondooooaaa mabano!!!, wewe ni mjinga hasa, hujui kitu gani unabishia isitoshe hujui kiarabu; Neno lenye ubishi kwenye hiyo aya ndio neno hilo; اسلمنا tamka: Aslamnaa lenye maana ya kiswahili: "tumesilimu" yaani tumekuwa Waislamu, wewe kwaushabiki wako wa kijinga hilo neno katika tafsiri "fulani" za kiingereza za hiyo aya wameandika "we have surrendered", mimi nikakuambia hilo neno maana yake hapo ni "Submission" hivyo itakuwa "we have submitted", synonym ya submission pia ni "to submit", ingawa surrender laweza kutumika lakini hasa neno sahihi ni submit.

Na hii ndio ubora wa kujua lugha zote, Kiarabu, kiswahili na kiingereza, vinginevyo wewe kila siku utakuwa copy paste and copy cat.
 
Wewe unao ushabiki wa kipumbavu hasaaa!!-- hebu ona hiyo tafsiri ya hiyo aya usiyoijua ilivyo ambamo neno: ( اسلمنا) Aslamnaa, yaani tumesilimu/tumekuwa waisilamu lilivyotafsiriwa kwa maana ya: " submission "":-

View attachment 2455855


Kinyume chake soma Biblia inavyosema juu ya imani zenu haba:-

Yesu akajibu; Nawambia kweli kama mnayo imani na msiwe na shaka si tu mnawezafanya hiki kilichofanywa kwenye mtini lakini pia mnaweza kuuambia mlima huu ondoka na jitupe baharini na ukaondoka na kujitupa. (Mathayo 21:21).

Je, kuna mkristo yeyote duniani amewahi kuondosha japo kichuguu tupilia mbali mlima ??!!.---- hayupo, hii maana yake ni kwamba hakuna mkristo mwenye Imani.
Ulishakubali Uislamu si faith ila ni ku surrender , insha za Nini tena
 
Ulishakubali Uislamu si faith ila ni ku surrender , insha za Nini tena


Kasome Biblia, Mathayo 21:21, ikutoe TONGOTONGO za imani yenu haba.

baada ya hapo ndipo usome Qur'an 49:14.
 
Eti Ondooooaaa mabano!!!, wewe ni mjinga hasa, hujui kitu gani unabishia isitoshe hujui kiarabu; Neno lenye ubishi kwenye hiyo aya ndio neno hilo; اسلمنا tamka: Aslamnaa lenye maana ya kiswahili: "tumesilimu" yaani tumekuwa Waislamu, wewe kwaushabiki wako wa kijinga hilo neno katika tafsiri "fulani" za kiingereza za hiyo aya wameandika "we have surrendered", mimi nikakuambia hilo neno maana yake hapo ni "Submission" hivyo itakuwa "we have submitted", synonym ya submission pia ni "to submit", ingawa surrender laweza kutumika lakini hasa neno sahihi ni submit.

Na hii ndio ubora wa kujua lugha zote, Kiarabu, kiswahili na kiingereza, vinginevyo wewe kila siku utakuwa copy paste and copy cat.
Ni wapi ni copy paste , nimekwambia huyo sahih international ameweka mabano , yaondoe mabano maana ni yake na hayapo kwenye verse

Neno yet na instead ameongeza halipo
Allah kasema sema nyie hamna faith nyie mme surrender (waislamu)
 
Kasome Biblia, Mathayo 21:21, ikutoe TONGOTONGO za imani yenu haba.

baada ya hapo ndipo usome Qur'an 49:14.
Wakristo ni faith na sio ku surrender

Mungu wa wakristo anaitaji umuamini na sio ku surrender kama prisoners
 
Ni wapi ni copy paste , nimekwambia huyo sahih international ameweka mabano , yaondoe mabano maana ni yake na hayapo kwenye verse

Neno yet na instead ameongeza halipo
Allah kasema sema nyie hamna faith nyie mme surrender (waislamu)


Sasa angalia tafsiri ya hiyo aya kwa kiswahili ipo:- (hivi bila kuweka maneno yaliyomo kwenye mabano).

Mabedui walisema; tumeamini, sema; hamjaamini lakini semeni tumesilimu kwakuwa imani bado haijaingia mioyoni mwenu----. (49:14) Qur'an .

Mabedui (الاعراب) ni Waarabu wanaoishi jangwani (deep in deserts).
 
Ulishakubali Uislamu si faith ila ni ku surrender , insha za Nini tena


Upo kishabiki sana kuliko kujifunza, ushabiki ukizidi unakuwa ni pazia la kufunika faculties za mtu kwani kwenye haki ushabiki huingia kati na kupotosha haki.
 
Upo kishabiki sana kuliko kujifunza, ushabiki ukizidi unakuwa ni pazia la kufunika faculties za mtu kwani kwenye haki ushabiki huingia kati na kupotosha haki.
اسلمنا ili neno maana yake we surrender ndio linajulikana hivyo ayo Yako ya kupambapamba achana nayo
 
Children, why are y'all arguing
Come together, lets build a better world
 
Sasa angalia tafsiri ya hiyo aya kwa kiswahili ipo:- (hivi bila kuweka maneno yaliyomo kwenye mabano).

Mabedui walisema; tumeamini, sema; hamjaamini lakini semeni tumesilimu kwakuwa imani bado haijaingia mioyoni mwenu----. (49:14) Qur'an .

Mabedui (الاعراب) ni Waarabu wanaoishi jangwani (deep in deserts).
Neno yet na instead , lakini na bado hayapo kwenye verse kwenye kiaarabu
 
اسلمنا ili neno maana yake we surrender ndio linajulikana hivyo ayo Yako ya kupambapamba achana nayo


Ushauri wangu kwako kama rafiki yangu ndani ya jf; penda kuuliza na kujifunza acha ushabiki kwani wewe bado sana katika dini, hata hiyo dini yako ya Ukristo bado mchanga sana.

Angalia hii dictionary ya maneno ya Qur'an kwani sio kila dictionary ya kiarabu inafaa kwa ajili ya Qur'an Kwani Qur'an yenyewe ndio msingi wa kamusi zote za Kiarabu.

Screenshot_20221223-172333.png
 
Neno yet na instead , lakini na bado hayapo kwenye verse kwenye kiaarabu


Hapo nimeyaondoa hayo maneno usiyoyataka yaliyomo kwenye mabano na ndio nimekupa hiyo tafsiri isiyokuwa na maneno ya kwenye mabano, wewe vipi??!!, hata kiingereza kinakushinda??, nitakuwekea tafsiri yenye maneno kwenye mabano.
 
Back
Top Bottom