Hivi Mungu alikosa njia nyingine ya kufikisha ujumbe tofauti na Vitabu?

Hivi Mungu alikosa njia nyingine ya kufikisha ujumbe tofauti na Vitabu?

Mungu Atakalo Huwa Na Hana Mshauri!
Kila kitu ni Mali Yake!


Mungu atakalo huwa katika kanuni zake alizojiwekea, Mungu hawezi kumfanya baba yako awe wewe na wewe uwe baba kwakuwa jambo hilo litaenda kinyume na kanuni zake.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Hili naomba niwaulize wakristo walioisoma biblia kwa uzuri;kuna mstari unasema *Kwa ambao hawataijua sabato ya kweli na kuishika wataangamizwa" huwa najiuliza apa kati ya hawa wa jumapili,jumamosi na vinginevyo kuna kundi la watu wanapoteza muda na kwann hili swala Mungu alilifanya huwa siri mpk KUTufanya tunagawanyika kiimani
 
Kama hakuvileta sawa atleast itamake sense..lakini kama ni kweli alivileta anaonekana ni dhaifu sana maana kifasihi tunasema Fanani ameshindwa kufikisha ujumbe aliokusudia kwa hadhira yake.
Kabsa mkuu kuna mda huu ukwel utajulikana
 
Mungu atakalo huwa katika kanuni zake alizojiwekea, Mungu hawezi kumfanya baba yako awe wewe na wewe uwe baba kwakuwa jambo hilo litaenda kinyume na kanuni zake.
Unauma uma maneno ya nini?!
Tamka sasa kwamba!; "MUNGU ATAKALO HAWEZI NA ANAE MSHAURI!"
 
Unauma uma maneno ya nini?!
Tamka sasa kwamba!; "MUNGU ATAKALO HAWEZI NA ANAE MSHAURI!"



Mungu hawezi kutaka kitu asichoweza, mfano Mungu hawezi kutaka kuumba Mungu mwingine awe sawa naye kwa kila kitu.
 
Vizuri umeweka wazi , wale waislamu walikuwa wanadanganya Uislam ulianzishwa na Adam , mara Ibrahim waache mara moja


Ngoja niwe specific kwamba ninaposema Uisilamu katika muktadha huu maana yake ni Dini ya uisilamu, Uisilamu kwa maana ya unyenyekevu (submission to the will of God) huo umeanzia kwa Nabii Adam (as) kisha ukaja kwa manabii wote.

Kuna Uisilamu kwa maana ya unyenyekevu na manabii wote walikuwa ni wanyenyekevu kwa Mungu hivyo wanakuwa waisilamu ingawa dini zao hazikupewa jina Islamu ni katika hali hiyo hiyo Mtume mtukufu Muhammad (saw)naye alikuwa mnyenyekevu kwa Mungu lakini Yeye Dini aliyokuja nayo imepewa na Mungu jina Islam hivyo Mtume (saw) anakuwa Muisilamu kwakuwa kwake mnyenyekevu pia anakuwa Muisilamu kidini kwakuwa dini yake ni Islamu, dini yenye nguzo 5.

Nadhani hapo nimefanunua vyakutosha.
 
Ngoja niwe specific kwamba ninaposema Uisilamu katika muktadha huu maana yake ni Dini ya uisilamu, Uisilamu kwa maana ya unyenyekevu (submission to the will of God) huo umeanzia kwa Nabii Adam (as) kisha ukaja kwa manabii wote.

Kuna Uisilamu kwa maana ya unyenyekevu na manabii wote walikuwa ni wanyenyekevu kwa Mungu hivyo wanakuwa waisilamu ingawa dini zao hazikupewa jina Islamu ni katika hali hiyo hiyo Mtume mtukufu Muhammad (saw)naye alikuwa mnyenyekevu kwa Mungu lakini Yeye Dini aliyokuja nayo imepewa na Mungu jina Islam hivyo Mtume (saw) anakuwa Muisilamu kwakuwa kwake mnyenyekevu pia anakuwa Muisilamu kidini kwakuwa dini yake ni Islamu, dini yenye nguzo 5.

Nadhani hapo nimefanunua vyakutosha.
Acha janja janja neno lako litabaki kama lilivyo hakuna ku edit
Mokaze said "Uisilamu ulianzishwa na mtukufu mtume Muhammad (saw)"
 
Mfano wako sio sawa


Labda niseme hivi; Mungu hawezi kutaka kitu kitakacho mvunjia utukufu wake na heshima. Mfano ndio huo kwamba Mungu hawezi kutaka kuumba Mungu mwingine wafanane naye kwa kila kitu, hilo haliwezekani kwake kwani sifa kuu ya Mungu ni upekee, umoja, oneness na hakuna kitu kinachoweza kufanana naye isitoshe hata kama ataweza kumuumba huyo Mungu hawataweza kufanana kwani huyo aliyeumbwa atakuwa bado ni kiumbe wake hivyo asilani Mungu hawezi kuumba Mungu mwingine kama yeye na wafanane kila kitu ndio maana nasema hawezi kufikiria kutaka kufanya jambo hilo kwakuwa hawezi kulitekeleza.
 
Labda niseme hivi; Mungu hawezi kutaka kitu kitakacho mvunjia utukufu wake na heshima. Mfano ndio huo kwamba Mungu hawezi kutaka kuumba Mungu mwingine wafanane naye kwa kila kitu, hilo haliwezekani kwake kwani sifa kuu ya Mungu ni upekee, umoja, oneness na hakuna kitu kinachoweza kufanana naye isitoshe hata kama ataweza kumuumba huyo Mungu hawataweza kufanana kwani huyo aliyeumbwa atakuwa bado ni kiumbe wake hivyo asilani Mungu hawezi kuumba Mungu mwingine kama yeye na wafanane kila kitu ndio maana nasema hawezi kufikiria kutaka kufanya jambo hilo kwakuwa hawezi kulitekeleza.
Mfano wako sio sawa kabisa tafuta mfano mwingine ,

Mfano nikuulize swali
Allah anaweza kuwa na mwana bila mke ?
 
Acha janja janja neno lako litabaki kama lilivyo hakuna ku edit
Mokaze said "Uisilamu ulianzishwa na mtukufu mtume Muhammad (saw)"


Wewe umezoea fanatism ndio maana hutaki kuelewa. Mimi nimekufafanulia kitu ambacho hata baadhi ya Waisilamu hawakijui.

Uisilamu wenye nguzo 5, ndio ulioanzishwa na mtukufu mtume Muhammad (saw).
 
Wewe umezoea fanatism ndio maana hutaki kuelewa. Mimi nimekufafanulia kitu ambacho hata baadhi ya Waisilamu hawakijui.

Uisilamu wenye nguzo 5, ndio ulioanzishwa na mtukufu mtume Muhammad (saw).
Kwenye mjadala unatakiwa useme nimefuta kauli ili tuchukue mpya

Kauli Yako
Mokaze said "Uisilamu ulianzishwa na mtukufu mtume Muhammad (saw)"
 
Kwenye mjadala unatakiwa useme nimefuta kauli ili tuchukue mpya

Kauli Yako
Mokaze said "Uisilamu ulianzishwa na mtukufu mtume Muhammad (saw)"


Hiyo kauli SIIFUTI KAMWE isipokuwa nimeiongezea nyama kwamba Uisilamu huo aliouanzisha mtume (saw) ni ule uliojengwa katika nguzo 5.

Kifupi sijakosea isipokuwa maelezo yangu juu ya huo uisilamu aliouanzisha mtume (saw) hayakujitosheleza na wewe ndiye uliyefanya nikatambua hilo, hivyo nawiwa shukrani kwako. Asante.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Back
Top Bottom