Hivi Mungu yupo au ni mipango ya watu kujipatia ajira na pesa?

Hivi Mungu yupo au ni mipango ya watu kujipatia ajira na pesa?

Mkuu, sioni kama baada ya kifo kuna existence maana muhubiri 9:5,6,10 inasema wafu hawajui lolote..sasa watamuonaje ilhali hawajui kitu!
Nimeelewa ni Roho ndio itakayomwona na sio mwili mfu(Maiti).
 
It is completely irrational to regard the complexity of the human body and not infer that the will of an intelligent DESIGNER was behind it. if ages from now archaeologists unearth a ford pickup truck without having knowledge of its history and some insisted that the pickup had simply evolved on its own into existence , we would find that to be an absurd conclusion... which is more complex the human body or the ford pickup!? Sijui jibu umepata...
mleta mada kauliza kiswahili unajibu kingereza we vp mkuu
 
Ogopa hiyo kauli,Tajiri wa Titanic alisema meli yake haitazamishwa hata na Mungu, safari ya kwanza ikazama.

Fikiria shahawa zinakua mtu, mbegu inaota, unavuta hewa free.
Kwahio Mungu akaamua kuua watu ili kumuonesha tajiri ?!!!!!

Moja waliojenga meli as a market ploy walisema hii meli ni unsinkable..., (that's what you do to get more customers).... hiki kitu watu wakakiamini na wafanyakazi wa meli wakakiamini..., ndio maana wakati inazama baada ya mfanyakazi mmoja kuambiwa meli inazama ndio akajibu God Himself could not sink this Ship...., kwahio premise yako ipo based on a wrong statement even if were correct logically does not make sense...
 
Mkuu elliclassic sina evdence ya mkoNOni kuwa MUSA alikuwepo lakin meng yanaonyesha kuwa bible iko accurate,na sio fictious mfano kuinuka na kuanguka kwa empire mbalimbal kama roman, greek, medo-persian etc zingatia haya yalikuwa tayar yameandikwa ndpo yalitokea, , pia ayubu 26:7 inasema dunia ipo suspend pacpo na k2 wakat watu waliamni dunia iko suspended na mgongo ya tembo.
Kwa hyo kuanguka kwa hzo empires ndo uthibitisho? Mbna mpaka leo empire bado znaanguka?,,,,
 
Kwa hyo kuanguka kwa hzo empires ndo uthibitisho? Mbna mpaka leo empire bado znaanguka?,,,,
Mkuu kutabiliwa kwamba zitatokea na kuanguka ni jambo la kuonyesha kuwa biblia ipo accurate...
 
Mwenyezi Mungu, Muumba wa Mbingu na Ardhi na vyote vilivyomo mbinguni na ardhini yupo ndugu yangu; usiahadike na hii pumzi aliyokupa ukamkufuru kwani baada ya kufa utaenda kukutana nae.

QURAN 30: 20-27
20. Na katika Ishara zake ni kuwa kakuumbeni kwa udongo. Kisha mmekuwa watu mlio tawanyika kote kote (duniani)

21. Na katika Ishara zake ni kuwa amekuumbieni wake zenu kutokana na nafsi zenu ili mpate utulivu kwao. Naye amejaalia mapenzi na huruma baina yenu. Hakika katika haya bila ya shaka zipo Ishara kwa watu wanao fikiri.

22. Na katika Ishara zake ni kuumba mbingu na ardhi, na kutafautiana lugha zenu na rangi zenu. Hakika katika hayo zipo Ishara kwa wanao jua.

23. Na katika Ishara zake ni kulala kwenu usiku na (kuutumia) mchana katika kutafuta kwenu fadhila (riziki) zake. Hakika katika haya bila ya shaka zipo Ishara kwa watu wanao sikia.

24. Na katika Ishara zake hukuonyesheni umeme (wa radi) kwa kukutieni hofu na tamaa (ya mvua). Na hukuteremshieni maji kutoka mawinguni, na kwa hayo huifufua ardhi baada ya kufa kwake. Hakika katika hayo zipo Ishara kwa watu wanao zingatia.

25. Na katika Ishara zake ni kuwa mbingu na ardhi zimesimama kwa amri yake. Kisha atakapo kuiteni mwito mmoja tu, hapo mtatoka kwenye ardhi. (mtafufuliwa kutoka makaburini)

26. Na ni vyake Yeye vilivyopo mbinguni na vilivyopo katika ardhi. Vyote vinamtii Yeye.

27. Na Yeye ndiye aliye anzisha uumbaji, kisha ataurudisha mara nyengine(kwa kuwafufua wafu). Na jambo hili ni jepesi zaidi kwake. Naye ndiye mwenye mfano bora katika mbingu na ardhi. Na Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hekima."
Umemaliza mjadala
 
Kwema wakuu, kwa hali ilivyo najiuliza je kweli Kuna Mungu au ni business za watu kutufanya mazuzu na kula pesa zetu?
Mwanadamu akishashiba anakuwa na kiburi cha uzima, kwa ufupi sana nikujuze kuwa Mungu si kiumbe ulichokichora wewe kichwani, MUNGU ni mfumo uliogawanyika sehemu tatu.. unapotaka kumzungumzia Mungu uwe na utulivu wa akili na mwili la sivyo utakurupuka kama hivi ulivyokurupuka.
 
It is completely irrational to regard the complexity of the human body and not infer that the will of an intelligent DESIGNER was behind it. if ages from now archaeologists unearth a ford pickup truck without having knowledge of its history and some insisted that the pickup had simply evolved on its own into existence , we would find that to be an absurd conclusion... which is more complex the human body or the ford pickup!? Sijui jibu umepata...
Well said
 
Bora uaminii alafu ufike huko umkose kuliko kutokuamini ufike huko umkute...Aise moto wako utakuwa ni wa makaa ya mawe na petrol[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sisi.wengine hizi dini, tumezishape kwa akili zetu, ili kupunguza sintofahamu kwa ndugu zetu. Mfano naamini setani hayupo, Mungu kwangu ni upendo au nature, naona wazungu na waarabu kama wametupotosha, church Kila j2 sikosi ila sadaka nikitoa kubwa sana basi tsh 500
 
Back
Top Bottom