Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Sijui kwanini wametutolea free basic yetu aiseeee ...ππππ
Nilikuwaga naizingatia Sana freebasics kwa kweli
ππππAlafu mule unakutana na majamaa wapo comfortable kabisa kwa hayo mambo aisee mpaka unajiuliza hawa watu wana nini
Daaah wee jamaa unaweza bishana na mtu kumbe unataka kumuweka kwenye cycle flan ambayo akiingia tuu achomoi.....Bila uthibitisho unaweza kulishwa uharo wowote ule wenye vidudu vingi hatari sana ukaambiwa hii ni protein nzuri sana, safi na salamankwa matumizi ya watu.
Sio unaweza kuamini ndivyo ilivyo Annunak ndio walio project human race kwa manufaa yao ya kuchimba dhahabu!Kuna watu wana nguvu ya ushawishi humu sio poa yaan unaweza ukaamini kwa mfano ule uzi wa binadamu tumeumbwa na annunaki unaweza ukaamini aisee
Kuna jamaa tulikuwa tunabishana kuhusu Idi Amin Dada Oumee.
AKA 'Big Daddy', AKA
'Butcher of Africa', AKA 'Conqueror of the
British Empire', AKA
'Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Sea Kama kweli alikuwa anakula nyama za watu jamaa akatujibu ngoja aulize Jamiiforums.. hii ilikuwa 2008
Yule jamaa aiseee ni mbishi sasa assume yule jamaa kawapangua watu kibao na mpaka sasa bado kashikilia bendela ya dunia tambarare.ππππ
na kuna ile nyingine mtu anasema dunia ni tambarare na kaweka evidence za picha kabisa yaani khaaa
Aiseee Kwani wanaishi planet gani mkuu Dumas the terribleSio unaweza kuamini ndivyo ilivyo Annunak ndio walio project human race kwa manufaa yao ya kuchimba dhahabu!
Aiseee natamani nibishane nae kwa hojaaa ππYule jamaa aiseee ni mbishi sasa assume yule jamaa kawapangua watu kibao na mpaka sasa bado kashikilia bendela ya dunia tambarare.
Ukigusa ule uzi kwanza una flashiwa ..kama ulikuja na geography yako ya form one utoboi
Nae ana hoja zake..Aiseee natamani nibishane nae kwa hojaaa ππ
Kumbe ndo wewe.mtu mwenyewe ahahahahhaSio unaweza kuamini ndivyo ilivyo Annunak ndio walio project human race kwa manufaa yao ya kuchimba dhahabu!
Niliijua JF miaka ya 2010 huko. Na ilikuwa na wasomi na wataalamu.Salamu wakuu...................
Jazeni nafasi wazi apo juu Kwanzaa. πππ
Anyway, straight to the point π Kama kichwa kinavojieleza je, wewe uliufahamuje mtandao huu
Binafsi nilikuwa kila nikisearch vitu kwa lugha ya kiswahili kwenye google nikawa naletewa matokeo ya mada hizo yashajadiliwa tayari jamiiforums..
Kwahy nikaanza kusoma mada kwanza weeeh mpaka baadae nikawa inspired kujiunga nao ndo nikawa memba,
je wewe, ndugu mwanajamiiforums uliufahamuje mtandao huu?
Kiukweti hata sasa situmii apps...sijaona tofauti yyt Nathani max akae chini upyaKumbe kama mimi ila ME nilianza kutumia website kwanza kabla ya App yenyewe
jf Ina karibu kila kitu cha maisha ya kawaida na darasa ambalo walimu wake hatuonani naoNiliijua JF miaka ya 2010 huko. Na ilikuwa na wasomi na wataalamu.
Ilikuwa kabla habari za magazeti hazijatoka kesho mimi niliishaifaham habari. Ikawa mwisho wa kununua gazeti.
Jf ni zaidi ya news media.
Ova
jf Ina karibu kila kitu cha maisha ya kawaida na darasa ambalo walimu wake hatuonani naoNiliijua JF miaka ya 2010 huko. Na ilikuwa na wasomi na wataalamu.
Ilikuwa kabla habari za magazeti hazijatoka kesho mimi niliishaifaham habari. Ikawa mwisho wa kununua gazeti.
Jf ni zaidi ya news media.
Ova
Kaamua kujitokeza sasa πππKumbe ndo wewe.mtu mwenyewe ahahahahha
Kipindi hicho jf 2007 ilikuwa cream haswa. Mada zilikuwa mada. Hoja zilikuwa hoja. Tulikuwa wachache wenye tija. Almost tulifahamiana. Bondeni pale tulikuwa tukipooza mqchungu kwa jukwaa fulani pendwa. Tulikuwa na moderator wetu amazing aitwaye invisible. Sijui yuko wapi. Enzi hizo mzee mwanakijiji alikiwa baba wa jukwaa. Mzee mzima Field Marshal William.Malechela (rip) na mada zake amazing. Wengine ninaiwakumbuka kwa uchache Maxence, WOS, pakajimy, BAK, Pascal, bujibuji, ngungu, na wengine wengiSalamu wakuu...................
Jazeni nafasi wazi apo juu Kwanzaa. πππ
Anyway, straight to the point π Kama kichwa kinavojieleza je, wewe uliufahamuje mtandao huu
Binafsi nilikuwa kila nikisearch vitu kwa lugha ya kiswahili kwenye google nikawa naletewa matokeo ya mada hizo yashajadiliwa tayari jamiiforums..
Kwahy nikaanza kusoma mada kwanza weeeh mpaka baadae nikawa inspired kujiunga nao ndo nikawa memba,
je wewe, ndugu mwanajamiiforums uliufahamuje mtandao huu?