Million 100 inabaki pale pale, wewe unakuwa unapewa zile 11M kila mwaka. Hapo utalipa ada za watoto bila stressUkiweka hiyo milioni mia leo na ukawa unasosomola tuseme kale kafaida kake baada ya miaka kumi hiyo milioni mia itakuwa imebaki kiasi gani? Mambo ya FV = PV × (1 + r)^n hayo.
Hapo mie naishi hotelini tuu mwanawane huku kila wikend napiga threesome vizuri kabisaEeh huo si mshahara wa mbunge kabisa😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hapo mie naishi hotelini tuu mwanawane huku kila wikend napiga threesome vizuri kabisa
20-25yrsHivi ni tax free kwa asilimia 100? Na unaweka kwa muda gani minimum?
Hata ukiwa na pesa nyingi bado unaweza kufungua vibanda vingi vya chipsi na ukavuta faida kubwa zaidiMimi nadhani huko wanafaidika wanaoweka pesa nyingi
Kuweka maneno sawa, utt inatakiwa uweke pesa ya kustaafu, urithi au pesa za deal chafu serikalini.Kule inatakiwa uweke pesa ndefu ambayo huoni pa kuipeleka..
Kupelekea vi milioni 2 vyako ulivyosave kwa mwaka is meaningless.
Benki ya posta nadhan wanatoa 11%Mnona Mabenko mengine wanatoa 7% kama faida. Afadhali UTT wanatoa 10% ambapo fedha zako zinakaa kwa usalama.
kwakweli vijana Gen z wako resi sana na uaminifu kwao ni zero kabisa. Ukitaka kuiona hela kwenye mradi mnaofanya hakikisha unasimamia mwenyewe vinginevo utarudi unakuta stori tu.Fungua banda la chipsi, halafu waachie vijana ndio utajua biashara ya chakula ina hela au ni story
Uko wapi nikupe eneo?Wapi eneo la kibanda cha chips nikawekeze na mie?
Nipo kinole. Wee upo wapi?Uko wapi nikupe eneo?
Mambo mengine hadi uwe na akili, sasa banda la chips na utt wapi na wapi?Unachoshindwa kuelewa ni kwamba Risk Apettite ya kila mtu ni tofauti.
Duniani kote safer investments zina returns ndg, ila riskier zina return kubwa.
Mfananisho wako na banda la chips ni absurd
Tatizo kwenye mabenk hakuna Compound interest kama inavyo kuwa calculated UTT kila mwezi. Hapa nazungumzia kwa wale ambao wame opt kukuza mtaji,siyo kuchukua gawiwo la kila mweziBenki ya posta nadhan wanatoa 11%
Katoa mfano sio lazima chips mueleweniKwa hiyo unataka tufungue mabanda ya chipsi???
Tofauti ni malengo. UTT ni watu walio na fedha ambazo wanataka kuzihifadhi ili ziwe salama na huku zikileta faida kidogo. Pengine, ni watu walio na ishu nyingine ambao hawana muda wa kuzungusha fedha kwenye biashara nyingine. Hawa wa vibanda wa chips ni wale ambao wana muda wa kutosha kulinga lango.Mtaani mtu anajenga banda la chips na mtaji kwa jumla ya laki 7 kwa mwaka ana make zaidi ya 5M .
Mwingine anaweka 20M UTT kwa mwaka ana make 2M
Hiki ni nini ? Mimi nadhani huko wanafaidika wanaoweka pesa nyingi
Aisee mkuu hapa unaweza kuwa na connection ? 😏pesa za deal chafu serikalini
Ukishindwa kutuwekea faida za UTT hututendei haki sisi darasa la pili D, mwaga elimu mpaka mwenye hoja ya kibanda cha chips akimbie.Mkuu umetumia maneno makali saana na hapo imeonesha ni namna gani ulivyo na dharau au haufikirii nje ya box kwa lugha rahisi wewe unataka watu wote tuwe wafanyabiashara ukiwa mkulima ww ni mpumbavu ukiwa mtumishi wewe ni mpumbavu n.k
Unajua anayeweka pesa utt ana malengo gan? Kuna watu ambao wanamalengo ya saving tu akiwa na lengo baada ya miaka kumi ijayo atoe pesa yake na afanyie jambo na hapa ndio utawakuta wanafunzi,watumishi na wakulima.
Au ww wote waliowekeza UTT wamwkwambia kuwa wanataka faida kila mwisho wa mwezi?
Nashindwa kuendelea kutoa faida ya kuwekeza huko utt kwa sababu ushakuja na hitimisho kuwa huo ni upumbvu.
Mwisho usimpangie mtu cha kufanya.