Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Katumia elf 70 Mimi sikuwepo kama siku 3 hivi na kweli sikuacha fedha ya matumizi ila chakula kilikuwepo ndani gesi ipo , umeme upo ila nimekuja kukuta malalamiko sana anasema vitu vidogo vidogo amenunua mpaka ameandika kwenye daftari. Aisee
Labda hukuacha hela ya matumizi bila maelezo yoyote kitu kilichomfanya anune
70K kwa mara moja moja sio mbaya kama mmeongea