Hivi ni kwanini Mwanamke akitumia hela Yake kidogo tu ndani ya nyumba kwa matumizi anaongea sana na kununa nuna?

Hivi ni kwanini Mwanamke akitumia hela Yake kidogo tu ndani ya nyumba kwa matumizi anaongea sana na kununa nuna?

Ku provide si nature yetu

Lazima na dharau zina anza hapo hapo, japo kuna wanawake wachache mno wanaweza hayo ana provide na halalamiki.
Mbona wanawake zetu wana provide vikubwa na wanaona fahari kupata nao nafasi ya kuprovide. Tatizo ni kuwa vijana hawajui jinsi ya kuishi na mwanamke. Mwanamke kila wakati lazima awe na hisia kuwa wewe ndiyo kimbilio lake kiuchumi. Akikwama utakuwa tayari kumkwamua. Unaposikia ishi nao kwa akili, maana yake ni hiyo. Asijue kuwa umechalala. Kila wakati (hata kama huna senti tano) ajue kuwa unazo ila hutaki kuzitoa.

Kwa upande mwingine, wanawake wanajali sana future, hata kama wewe ni kapuku lakini akaamini kuwa one day yes, atakuheshimu ataprovide na maisha yatasonga. Ila akihisi umestak na mbele mwelekeo wako hauoni, hapo kazi unayo.
 
Which where when what???!!!
Upo wapi sie members wa chaputa tuje kukuona?
Very well...my intetion is to come and see u not wife u.
Maana mwanamke wa namna yako nilijua bado hajaumbwa kumbe yupo sasa ndio nataka nione anafananaje
50 cent.gif
 
Hahahaaa! Naomba nicheke kwanza rafiki yangu Mzab hivi ndo umepigaje hapo msitari wa mwisho. 😂😂😂
Nimepiga ki-pacome😜
A high value man shuld always present an image to a woman that at a moments notice u can and will be replaced if u do not abide by my standards which we discussed about before entering marriage.
Any disregard towards those standards tantamounts to lack of respect. Na hilo halivumiliki kwa mwanaume wa ukweli.
 
Shida yenu mnaoa wanawake mnaolingana level za kimaisha
Siri ya mafanikio ktk ndoa ni kuoa mwanamke uliemzidi level ya kimaisha mbali sana apo inaleta heshima,
Na mwanamke wa aina hii ukioa ata akitoa mchango kwa familia hujisikia vizr sana sabu anaona kachangia kitu

Shida yenu ww mwanasheria unaenda kuoa mwanasheria wakat inatakiwa mwanasheria akaoe Mwalimu
 
Nimepiga ki-pacome😜
A high value man shuld always present an image to a woman that at a moments notice u can and will be replaced if u do not abide by my standards which we discussed about before entering marriage.
Any disregard towards those standards tantamounts to lack of respect. Na hilo halivumiliki kwa mwanaume wa ukweli.
Hahahaaaa. Lol.
 
Haha haaa nyeto zibaki kwa ajili ya mabahili
Ndio hivyo mwanawane tunapiga nyeto tuu maana hela ya kuoa hatuna.
Itabidi tuomba mama atusaidie sie vijana wake tunaingia dhambini pasipo kupenda.
Kila goli watakalofunga yanga na simba huko caf bachela mmoja apewe mil 5 akaoe aanze maisha. Itatusaidia sana kuacha nyeto
 
Daah wachache sana hao naweza kusema 1 kwenye 100
Na ndio hao ambao wapo behind most successful men.., wanakuwa ni partners na sio washindani (Vice Versa being True)

Hakuna kitu kibaya kama Sleeping with an Enemy au mtu ambaye yupo bitter ni bora kuwa mwenyewe...; Na hilo ndio kosa la karne hii (watu hawapo kwenye same wavelength)..

Hapo kale kulikuwa hakuna hizi sintofahamu sababu Baba alikuwa mtafutaji na mama muangalizi wa nyumba.., (everyone knew their place); sasa mambo yamebadilika wote wamekuwa watafutaji. Issue inakuja wengi hawataki kwenda na wakati, kama unatafuta pia kwanini usichangie matumizi...; Na kama wote tunatafuta kwanini tusisaidiane na mengine ?
 
Mazoea tu wanejizoesha tayari. If anything happens to disturb the system wanazoea pia na kuendana nao kama vile wao ni wanaume. Wanaprovide bila tatizo so tatizo hapo ni mazoea.
 
Mbona wanawake zetu wana provide vikubwa na wanaona fahari kupata nao nafasi ya kuprovide. Tatizo ni kuwa vijana hawajui jinsi ya kuishi na mwanamke. Mwanamke kila wakati lazima awe na hisia kuwa wewe ndiyo kimbilio lake kiuchumi. Akikwama utakuwa tayari kumkwamua. Unaposikia ishi nao kwa akili, maana yake ni hiyo. Asijue kuwa umechalala. Kila wakati (hata kama huna senti tano) ajue kuwa unazo ila hutaki kuzitoa.

Kwa upande mwingine, wanawake wanajali sana future, hata kama wewe ni kapuku lakini akaamini kuwa one day yes, atakuheshimu ataprovide na maisha yatasonga. Ila akihisi umestak na mbele mwelekeo wako hauoni, hapo kazi unayo.
Siwezi ku pretend maisha mimi. Kwangu mimi black ni black na white ni white. Mimi sina black and white..
 
Back
Top Bottom