Si kutengeneza matabaka kwani wakuu wote wana hadhi sawa?
Ktk forums zilizomo Jf kuna magwiji wa kila forum hatufanani uelewa na michango tuyotoa ktk uchangiaji wa threads kwa mfano,
Jf docto-Mzizi Mkavu
Jf photo- Utafiti,Moneystuna
Jf Siasa-Mzee Mwanakijiji
Kwahiyo ukuu wetu hauwezi ukawa sawa
salama tu mkuu-viti maalum, habari ya ujenzi wa Tanzania YETU??
Si kutengeneza matabaka kwani wakuu wote wana hadhi sawa?
Ktk forums zilizomo Jf kuna magwiji wa kila forum hatufanani uelewa na michango tuyotoa ktk uchangiaji wa threads kwa mfano,
Jf docto-Mzizi Mkavu
Jf photo- Utafiti,Moneystuna
Jf Siasa-Mzee Mwanakijiji
Kwahiyo ukuu wetu hauwezi ukawa sawa
Tafadhali mkuu mkuu mkuu mie sio vitu maalumu mkuu ah unafanya kusudi mkuu ? Unataka nipaniki kama mwenyekiti msaidizi wa bunge la katiba mamaa samia au anne makinda wakishamvuruga sipaniki ng'o.
Mkuu habari za jioni mkuu
Sahihi mkuu ! huyo anakuwa mkuu wa matusi tu mkuu!Tatizo lipo utakuta kuna member humu wao ni matusi kwenda mbele lakini nao wanapewa hiyo hadhi ya mkuu.
kwahioo Heaven on Earth ni mkuu kiti maalumu!!/?
mkuu ni kama umeniita vile wasemaje
niwie radhi mkuu-mkuu habari salama kabisa...tunapambana na Jamhuri yetu, nadhani ni salama pia kwako
Mkuu umekwazika mkuu wacha mkuu manake usije ukaonekana kama wale wa bunge la katiba mkuu
kuna jamaa alsema mademu wote humu tuwaite wakuu viti maalumu.. tusiweke mkuu tupu
Shaka ondoa mkuu tujenge taifa mkuu ila wengine wako busy kulibomoa mie nasitisha ujenzi wa taifa kwa muda sasa nahangaikia familia yangu na hatma yake hadi taifa litakapokuwa poa ndipo nitaridi kulipigania ns kulijenga kwa nguvu zote