Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

Si kutengeneza matabaka kwani wakuu wote wana hadhi sawa?
Ktk forums zilizomo Jf kuna magwiji wa kila forum hatufanani uelewa na michango tuyotoa ktk uchangiaji wa threads kwa mfano,
Jf docto-Mzizi Mkavu
Jf photo- Utafiti,Moneystuna
Jf Siasa-Mzee Mwanakijiji

Kwahiyo ukuu wetu hauwezi ukawa sawa

Ata bungeni wanaitana waheshimiwa mfAno waziri mkuu naye huita wabunge wakawaida huwaita waheshimiwa
Mkuu hakuna aliye juu wote sawa
 
salama tu mkuu-viti maalum, habari ya ujenzi wa Tanzania YETU??

Tafadhali mkuu mkuu mkuu mie sio vitu maalumu mkuu ah unafanya kusudi mkuu ? Unataka nipaniki kama mwenyekiti msaidizi wa bunge la katiba mamaa samia au anne makinda wakishamvuruga sipaniki ng'o.
Mkuu habari za jioni mkuu
 
Si kutengeneza matabaka kwani wakuu wote wana hadhi sawa?
Ktk forums zilizomo Jf kuna magwiji wa kila forum hatufanani uelewa na michango tuyotoa ktk uchangiaji wa threads kwa mfano,
Jf docto-Mzizi Mkavu
Jf photo- Utafiti,Moneystuna
Jf Siasa-Mzee Mwanakijiji

Kwahiyo ukuu wetu hauwezi ukawa sawa

Hapo kwenye picha kama Tyta umemtenga ni bora tupige kura ya Siriwazi tu kieleweke nani ni nani.

Lingine ni kwamba niliwahi kufikiria mfano ifike mahali itolewe tuzo say ya mwaka kwa kila jukwaa kwa kutengeneza format itakayohakikisha kwamba mshindi anapatikana kwa kukidhi vigezo vilivyojadiliwa na kuonekana vinafaa hapa!

Mfano jukwaa la MMU liwe na vipengele pia kutokana na namna ya wajumbe wanavyoshiriki kwa namna zao, kwa mfano mzee mwenzangu Eiyer ana namna yake ya kushauri,kukosoa,kuweka mambo sawa pale anapoona inafaa MMU,Ila kuna distinguished figure kama kina lara 1 na wenye hulka zake(ambao wakikaa kimya jukwaa linadoda) ambao huwezi kumweka kundi moja na baba Paroko tajwa hapo juu though kila mmoja ni muhimu kwa uchangiaji wake.

Ukija kwenye siasa utakuta kuna wajumbe kama Mzee Mwanakijiji na wenzake ambao kazi yao kubwa ni kuibua mijadala fikirishi ambayo nayo inaibua wachangiaji mahiri kwa frequency ambazo mchochezi huyo wa fikra asingeweza kuziibua kwa ufanisi huo though na aliyechangia kwa ufanisi asingeweza kuibua fikra hizo kwa namna ya wa kwanza.
 
Last edited by a moderator:
Tafadhali mkuu mkuu mkuu mie sio vitu maalumu mkuu ah unafanya kusudi mkuu ? Unataka nipaniki kama mwenyekiti msaidizi wa bunge la katiba mamaa samia au anne makinda wakishamvuruga sipaniki ng'o.
Mkuu habari za jioni mkuu

niwie radhi mkuu-mkuu habari salama kabisa...tunapambana na Jamhuri yetu, nadhani ni salama pia kwako
 
Mkuu umekwazika mkuu wacha mkuu manake usije ukaonekana kama wale wa bunge la katiba mkuu
 
niwie radhi mkuu-mkuu habari salama kabisa...tunapambana na Jamhuri yetu, nadhani ni salama pia kwako

Shaka ondoa mkuu tujenge taifa mkuu ila wengine wako busy kulibomoa mie nasitisha ujenzi wa taifa kwa muda sasa nahangaikia familia yangu na hatma yake hadi taifa litakapokuwa poa ndipo nitaridi kulipigania ns kulijenga kwa nguvu zote
 
Mkuu wakuu hawa hawana makuu tuungane pamoja tuu...au sio mkuu?
 
Shaka ondoa mkuu tujenge taifa mkuu ila wengine wako busy kulibomoa mie nasitisha ujenzi wa taifa kwa muda sasa nahangaikia familia yangu na hatma yake hadi taifa litakapokuwa poa ndipo nitaridi kulipigania ns kulijenga kwa nguvu zote

nimekusoma mkuu, na nikutakie kila la heri katika ujenzi wa familia, ni jambo la heri tu kwani msingi wa taifa ni familia bora..
 
Back
Top Bottom