Desire mobutu seseseko
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 987
- 1,426
rotten country
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu walikuwa wanasema Magufuli ndiye alikuwa anauwa biashala ya kkoo, miaka 2 hayupo mambo yako vilevile tena bora wakati wa Magufuli wafanyabiashara hawakufunga maduka yao kama Sasahivi.Kweli kuna kikosi kilikuwa kimeandaliwa kumwandama Magufuli, Sasahivi yanaendelea hawana pa kujificha.Mh Rais ni kweli umeamua kuuwa uchumi na biashara kabisa? Hivi kweli umeruhusu kadi za namna hii?
Hii nimeikopi kwa mwana jf wakukurupuka1
Nanukuuu
“Leo Kuna mgomo kwa wafanya biashara soko kuu kkoo kutokana na kila wiki uzinduzi wa kodi mpya
Baadhi ya kodi unazotakiwa kulipa
1: TRA.
2: FIRE.
3: JIJI.
4: USAFI.
5: Kodi ya store.
6: Makato 10% kweny commission (watu wa mihamala)
7: Kodi yakupeleka lori kkoo kubeba au kushusha mizigo”
Mwisho wa kunukuu
Hivi kweli mtu awe na store ya kuhfadhi mzigo wake halafu anatakiwa kulipa kodi? Na akitoa huo mzigo kwenda dukani akiupakia atatakiwa kulipa kodi na akifika dukani kwake atatakiwa kulipa kodi ya kushusha mzigo halafu akianza kuuza atatakiwa kulipa kodi tena hivi hii ni kweli au TRA wanasingiziwa?
Hivi kodi zipo kwa mtu mmoja au wafanyabiashara wanachangia kwa pamoja? Hivi kweli kuna mfanya biashara ataweza kudumu bila kutoa rushwa? Kuna mfanyabiashara atadumu bila kufanya magendo? Mbona kodi ni nyingi sana kwa mtu mmoja? Hii ni zaidi ya double taxation!
Hivi hizi kodi kweli zipo zote au TRA na serikali wanasingiziwa?
Kwanini Rais usimamii maneno yako?’hizi kodi zote hasa hiyo ya store na kushusha mzigo sio uporaji na unyang’anyi kabisa? Msaada wako uko wapi? Kwanini unayaacha haya au sio kweli?
Mmmh hata Mimi nimeshangaa sana!Mh Rais ni kweli umeamua kuuwa uchumi na biashara kabisa? Hivi kweli umeruhusu kadi za namna hii?
Hii nimeikopi kwa mwana jf wakukurupuka1
Nanukuuu
“Leo Kuna mgomo kwa wafanya biashara soko kuu kkoo kutokana na kila wiki uzinduzi wa kodi mpya
Baadhi ya kodi unazotakiwa kulipa
1: TRA.
2: FIRE.
3: JIJI.
4: USAFI.
5: Kodi ya store.
6: Makato 10% kweny commission (watu wa mihamala)
7: Kodi yakupeleka lori kkoo kubeba au kushusha mizigo”
Mwisho wa kunukuu
Hivi kweli mtu awe na store ya kuhfadhi mzigo wake halafu anatakiwa kulipa kodi? Na akitoa huo mzigo kwenda dukani akiupakia atatakiwa kulipa kodi na akifika dukani kwake atatakiwa kulipa kodi ya kushusha mzigo halafu akianza kuuza atatakiwa kulipa kodi tena hivi hii ni kweli au TRA wanasingiziwa?
Hivi kodi zipo kwa mtu mmoja au wafanyabiashara wanachangia kwa pamoja? Hivi kweli kuna mfanya biashara ataweza kudumu bila kutoa rushwa? Kuna mfanyabiashara atadumu bila kufanya magendo? Mbona kodi ni nyingi sana kwa mtu mmoja? Hii ni zaidi ya double taxation!
Hivi hizi kodi kweli zipo zote au TRA na serikali wanasingiziwa?
Kwanini Rais usimamii maneno yako?’hizi kodi zote hasa hiyo ya store na kushusha mzigo sio uporaji na unyang’anyi kabisa? Msaada wako uko wapi? Kwanini unayaacha haya au sio kweli?
Una uhakika gani kuwa haya yamefanywa katika miaka hii miwili ya Raisi SAMIA?Walikuwa hawana pa kusemea.Ukisema unapotea.Si Ndiyo maana wafanyabiashara Walikuwa wanahama nchi!Jiulize Kwa nini Mo alitekwa eneo la usalama?Mo ni fisadi?Mo ni mwizi?Mbona hawakufanya waliyoyafanya leo hii?
Akili kumkichwa
Hakuna cha kumkumbuka kwa hili hizo tozo zote zilianzia kwenye utawala wake"mtanikumbuka"
Naomba kuwasilisha.
Acha uongo nyie ndo mnatakiwa mpigwe vita Kwa kutetea serikali ovyo hii ambayo inaongeza Kodi na tozo ovyoovyo huoni vitu vilipanda bei ovyo awamu hii?Sababu mojawapo ni hiiHakuna cha kumkumbuka kwa hili hizo tozo zote zilianzia kwenye utawala wake
Bila shaka waasisi wa tozo unawajua ila umeamua kukaza fuvu kenge wahid!Hakuna cha kumkumbuka kwa hili hizo tozo zote zilianzia kwenye utawala wake
20k kwa muda gani mbona hutumii akili ndogo tu angalia mlolongo wa kodi alafu ulinganishe na 20k kwa mwaka mzima.Unaharibu uzi bro.Huyo magu ndo alikuwa balaa.Hadi muuza vitumbua alilazimishwa KULIPA 20000
Hazikuwepo hizo?? Au hapakuwa na pa kulalamikia?"Siku moja mtanikumbuka, najua mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya, kwa sababu nime 'SACRIFICE' MAISHA YANGU kwa ajili ya Watanzania maskini" ~
Hayati. John Magufuli
Kuna shida mfumo wa kodi...kwa kuwa serikali inataka pesa. Kila ubunifu wa kodi unatungwa. Mpaka zinajirudia ki aina.Tanzania imeoza kwa kodi
Zipo zaidi ya hizo na hapo sio swala la mama ,zimekuwepo miaka na mikaka ila Sasa wamepata upenyo wa kusemea Kwa sababu Mama amewapa uhuru..Mh Rais ni kweli umeamua kuuwa uchumi na biashara kabisa? Hivi kweli umeruhusu kadi za namna hii?
Hii nimeikopi kwa mwana jf wakukurupuka1
Nanukuuu
“Leo Kuna mgomo kwa wafanya biashara soko kuu kkoo kutokana na kila wiki uzinduzi wa kodi mpya
Baadhi ya kodi unazotakiwa kulipa
1: TRA.
2: FIRE.
3: JIJI.
4: USAFI.
5: Kodi ya store.
6: Makato 10% kweny commission (watu wa mihamala)
7: Kodi yakupeleka lori kkoo kubeba au kushusha mizigo”
Mwisho wa kunukuu
Hivi kweli mtu awe na store ya kuhfadhi mzigo wake halafu anatakiwa kulipa kodi? Na akitoa huo mzigo kwenda dukani akiupakia atatakiwa kulipa kodi na akifika dukani kwake atatakiwa kulipa kodi ya kushusha mzigo halafu akianza kuuza atatakiwa kulipa kodi tena hivi hii ni kweli au TRA wanasingiziwa?
Hivi kodi zipo kwa mtu mmoja au wafanyabiashara wanachangia kwa pamoja? Hivi kweli kuna mfanya biashara ataweza kudumu bila kutoa rushwa? Kuna mfanyabiashara atadumu bila kufanya magendo? Mbona kodi ni nyingi sana kwa mtu mmoja? Hii ni zaidi ya double taxation!
Hivi hizi kodi kweli zipo zote au TRA na serikali wanasingiziwa?
Kwanini Rais usimamii maneno yako?’hizi kodi zote hasa hiyo ya store na kushusha mzigo sio uporaji na unyang’anyi kabisa? Msaada wako uko wapi? Kwanini unayaacha haya au sio kweli?
kweli, karma haiwezi kukuacha hivi hivi.. Tujifunze kuweka akiba ya maneno, ni kheri kukaa nayo moyoni kuliko kuyaweka hadharani. Dunia inalipa kisasi!Na wewe ipo siku yako tu
Acha kejeli kwa walotangulia
Tena ww hujui utakufaje mara utaumwa uanze kuoza hpa hpa chini ya jua kabla hujafukiwa
Nb:Ata mm pia nitakufa
stuation kama hii ya leo ilitokea wapi?Kwamba hizo kodi hazikuwepo wakati wake? Au ni waliogopa kuongea?
kwanza hela ya wafanyakazi wenyewe inatoka wapi? Huyo jamaa bhanaUnaweza kuthibitisha hichi ulichokiandika kwa data?
Wafanyabiashara wanachangia takriban trilioni 2 kwa mwezi, wao ndo wanalipa wafanyakazi wa Umma, so ni kichekesho hela ya kulipa wafanyakazi wa Umma itoke kwa wafanyabiashara halafu useme wafanyakazi wanalipa kuliko wafanyabiashara
Hakuna mfanyabiashara mkubwa nchi hii analipa kodi halisi haijawahi kutokeahatare sana mzee mmoja juzi hapa alinambia hapa bongo ukitaka pesa kalime au ufuge..
Na naona wafanyabiashara weng wenye mafanikio wanakwepa kodi..
Sio Tanzania tu! Duniani hakuna alie tayari kulipa kodi, ila kinacho jadiliwa hapa ni mfumo wa kodi kandamizi zinazo iua TanzaniaHakuna mfanyabiashara mkubwa nchi hii analipa kodi halisi haijawahi kutokea
Kwa ubabe ule nani angethubutu!!stuation kama hii ya leo ilitokea wapi?