TimeOut
JF-Expert Member
- Sep 20, 2022
- 3,894
- 8,454
Unatakiwa ukiamua kufuga kuku, umuache atage mayai wazaliane ndio pengine uangalie uchinje kuku gani na uuze kuku gani ila baada ya kupata mavuno yake kwa wingi kadiri ilivyo wezekana
Sasa hawa TRA wanachofanya, wameanza kufuga kuku alfu kuku kabla hajaanza kutaga wameshaanza kumkwanyua mara mguu, mara kikwapa, sasa huyo kuku atataga vipi!!?
Wanajua namba ila hawajui mahesabu
Sasa hawa TRA wanachofanya, wameanza kufuga kuku alfu kuku kabla hajaanza kutaga wameshaanza kumkwanyua mara mguu, mara kikwapa, sasa huyo kuku atataga vipi!!?
Wanajua namba ila hawajui mahesabu