Hivi ni kweli hizi kodi ziko nchi hii au watu wanasema uongo kumchonganisha Samia na wafanya biashara? Huu ni zaidi ya msiba!

Unatakiwa ukiamua kufuga kuku, umuache atage mayai wazaliane ndio pengine uangalie uchinje kuku gani na uuze kuku gani ila baada ya kupata mavuno yake kwa wingi kadiri ilivyo wezekana

Sasa hawa TRA wanachofanya, wameanza kufuga kuku alfu kuku kabla hajaanza kutaga wameshaanza kumkwanyua mara mguu, mara kikwapa, sasa huyo kuku atataga vipi!!?

Wanajua namba ila hawajui mahesabu
 
Uwepo wa kodi zisizo na umuhimu unasababisha rushwa ambayo inapelekea kodi kutokulipwa.Lakini kama zingekwepo kodi chache bas zingelipwa zote kwa usahihi na kupelekea mapato upande wa wafanyabiashara yakue
 
Basata
TRA
Bonde la Maji
uchafu
fire
Acheni kabisa.
 
Tuna matumizi yasiyo na sababu
 
Kuna uzi humu ulimtaja mwanaye Rais kuwa ni mkepa kodi na anawasumbua TRA hapohapo Kariakoo, sijui hilo sakata liliishia wapi
 
Ukisikiliza wafanyabiasharaa wanasema bora huko nyuma kwa maafisa TRa walikuwa wanaogopa kudai rushwa .kwa sasa wanalazimisha na wanakufuata hadi myumbani kama alivyosema yule mama kibonge .usikaze fuvu lako bwashee
 
Wewe ni mpuuzi tu, wakati wa Magufuli wafanyabiashara walialikwa mpaka ikuru kutoa dukuduku zao mpaka kamishina wa tra alipoteza kazi baada ya mfanyabiashara mmoja kutoka kkoo kulalamikia maofisa wa tra kumsumbua pamoja na kuwa na risiti zote za malipo baada ya kakataa kutoa rushwa,tra wakati huo Magufuli aliamuru huyo mfanyabiashara kulipwa fidia ya mali yake,mkuu wa tra alipoteza kazi siku hiyo, Magufuli akucheka na kima kama mrembo wenu mnayempamba.
 
Wanasema mbele ya PM kwamba kwa sasa mazingira ya kufanya biashara hapo Kariakoo ni tete kuliko wakati mwingine.

Licha ya Rais kusema hataki kodi za dhulma,hivi sasa ndiyo zimepamba moto TRA wanawafuata hadi nyumbani ku-negotiate rushwa.
Ww ndo umeelewa kwa sasa ,yaani ni kama vile wanalazimisha rushwa
 
Leta crip acha upumbavu wako.

Waliokuwa wamekimbia Kariakoo walikuwa kina nani? Miduka Mingi ilibakia wazi na bei ya fremu kuporomola harafu unaongea upuuzi hapa..

Sasa hivi wafanyabiashara wanachekewa ndio maana wanafanya mzaha,wanapata hela z Bure ndio maana wanavunja magorofa ya zamani na kujenga upya,Kwa nini hawakufanya kipindi Cha Mwendazake?
 
Ukisikiliza wafanyabiasharaa wanasema bora huko nyuma kwa maafisa TRa walikuwa wanaogopa kudai rushwa .kwa sasa wanalazimisha na wanakufuata hadi myumbani kama alivyosema yule mama kibonge .usikaze fuvu lako bwashee
Unalazimishwaje kutoa Rushwa na wewe ukatoa? Hapo utakuwa una makosa ndio maana unatoa Rushwa,huna makosa unatoa Rushwa ya kazi gani?
 
"Siku moja mtanikumbuka, najua mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya, kwa sababu nime 'SACRIFICE' MAISHA YANGU kwa ajili ya Watanzania maskini" ~


Hayati. John Magufuli

Hizo kodi zimeanza kwa raisi Samia eti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…