Uongo πππAkianza kuuliza ulisema nikutumie shingapi hapo labdaπππ
Mambo Joannah, upo poa lakini ? Hujambo ?πKwema?
Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?
Mtu anakuandikia mambo?unamjibu poa tu,
Anauliza Tena,Kwema?unamjibu kwema?
Anauliza tena,uko poa lakini?
Unajibu poa?
Sasa anamalizia Tena""NIAMBIE ""π£
Jamani hebu muwe serious basi,Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie Nini sasa?eti Huwa mnataka tuwaambie Nini?Binafsi sana sana ukiniambia nikwambie nitakuomba Hela....halafu utaanza kulalamika na kulilia maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia,wakati we mwenyewe umesema nikwambie.,au ni kutafutana lawama tu?
Kwa kweli Mtu akishaniambia hiyo"NIAMBIE"Huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi viumbe vya mola jamani..
Kumekucha kumekucha
Haya wanaume mnaitwa na dada mkubwa huku [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila sema dada akikutumia muamala mbona utamuanza mwenyewe kumwambia βNiambieβ [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Kumekucha kumekucha
Haya wanaume mnaitwa na dada mkubwa huku [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila sema dada akikutumia muamala mbona utamuanza mwenyewe kumwambia βNiambieβ [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Mtuambie mko wapi ..shida nini wakati huo na kama una muda uje nilipoMnaongea vitu nje ya mada..... naongelea NIAMBIE!Huwa mnataka tuwaambie Nini?
wa miamala hawana haya mauzauza..π€£We kwani watuma miamala nao wanasemaga NIAMBIE?hao kazi yetu ni sisi kusema "BABY NIKWAMBIE KITU?π€£π€£
Yani me sipendi mtu wa kunitext kila mda, sijui umekula, unafanya nini, uko na nani khaa... Me nitakupigia mara moja asubuhi na usiku kabla ya kulala na kama kuna dharura. Siku nyingine naassume tu umeamka salama napita hivi kimyakimyaInategemea.. ukikutana na keyboard juggler kama mimi utakuw unamiss text zangu.. mie mvivu pia wa kuongea na simu, nyie wanawake ndio mnapenda kuongea hata masaa manne mpk skio linauma.
Ila wanaume mbususu zitawatoa roho π€£π€£π€£Mie kama unaileta ilipo mbn muamala unapata vzr tu
Hao wanao kwambia uwambie ni wavulana au wanaume??Mnaongea vitu nje ya mada..... naongelea NIAMBIE!Huwa mnataka tuwaambie Nini?
π€£π€£π€£Hahahahaha..sasa huyu kwa mm hanifai ...nitoe kibunda ..halafu ubane mbususu...si bora nikateue mrembo kidimbwi tu cash and carry
Mwanamke haboreki kwa mtu anaempenda, hao ni wale ma simp wanaojisogeza ikiwa wewe huwataki ila kuna yule unaemuelewa hata hyo mambo hakutumii na huborekiZinaboa, boresheni skilz za mawasiliano
Hapo lazima nitiririke, nitauliza hadi ukoo wao mzima wanaendeleajeπππUongo πππ