Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?

Kwema?

Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji, huwa mnawaza nini?

Mtu anakuandikia mambo? Unamjibu poa tu.

Anauliza tena, Kwema? Unamjibu kwema?

Anauliza tena, uko poa lakini? Unajibu poa?

Sasa anamalizia tena, "NIAMBIE" 😣

Jamani, hebu muwe serious basi. Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie nini sasa? Eti huwa mnataka tuwaambie nini? Binafsi sana, sana ukiniambia nikwambie, nitakuomba hela... Halafu utaanza kulalamika na kulilia, maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia, wakati wewe mwenyewe umesema nikwambie, au ni kutafutana lawama tu?

Kwa kweli, mtu akishaniambia hiyo "NIAMBIE," huwa anikera sana...

Hebu tupumzisheni basi, viumbe vya mola, jamani.
Kama kawa........
 
Kwema?

Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji, huwa mnawaza nini?

Mtu anakuandikia mambo? Unamjibu poa tu.

Anauliza tena, Kwema? Unamjibu kwema?

Anauliza tena, uko poa lakini? Unajibu poa?

Sasa anamalizia tena, "NIAMBIE" [emoji21]

Jamani, hebu muwe serious basi. Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie nini sasa? Eti huwa mnataka tuwaambie nini? Binafsi sana, sana ukiniambia nikwambie, nitakuomba hela... Halafu utaanza kulalamika na kulilia, maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia, wakati wewe mwenyewe umesema nikwambie, au ni kutafutana lawama tu?

Kwa kweli, mtu akishaniambia hiyo "NIAMBIE," huwa anikera sana...

Hebu tupumzisheni basi, viumbe vya mola, jamani.
Ebu nipe namba yako Piemu uone kama nitaandika kama huyo
 
Mi sitaki uendelee vizuri,nenda uongeze na kaswende
Nilichokigundua ni kwamba hauko serious na haya maisha.

Hili gonorrhea nimelipata juzi. Kwako ni uwanja wa mazoezi tu. Kaswende na STDs nyingine nitazipata KIMBOKA.

Make appointment tupige mechi ya kirafiki.
 
Mimi nlijua "Niambie" ni txt ambazo mnapenda kuziandika nyinyi wanawake
 
Kwema?

Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji, huwa mnawaza nini?

Mtu anakuandikia mambo? Unamjibu poa tu.

Anauliza tena, Kwema? Unamjibu kwema?

Anauliza tena, uko poa lakini? Unajibu poa?

Sasa anamalizia tena, "NIAMBIE" 😣

Jamani, hebu muwe serious basi. Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie nini sasa? Eti huwa mnataka tuwaambie nini? Binafsi sana, sana ukiniambia nikwambie, nitakuomba hela... Halafu utaanza kulalamika na kulilia, maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia, wakati wewe mwenyewe umesema nikwambie, au ni kutafutana lawama tu?

Kwa kweli, mtu akishaniambia hiyo "NIAMBIE," huwa anikera sana...

Hebu tupumzisheni basi, viumbe vya mola, jamani.
Mambo Joana
 
Nilichokigundua ni kwamba hauko serious na haya maisha.

Hili gonorrhea nimelipata juzi. Kwako ni uwanja wa mazoezi tu. Kaswende na STDs nyingine nitazipata KIMBOKA.

Make appointment tupige mechi ya kirafiki.
Sawa.Njoo PM chap kwa haraka
 
Back
Top Bottom