Hivi Rais Samia amewahi kuandika Makala au Paper ya utatuzi wa changamoto za jamii?

Magufuli alikuwa Dikteta hivyo msilalamike maana
Mungu mlimsifia sana kwa kuwaondolea JPM.
 
Rubbish! Hana uwezo wa kuandika any intellectual paper! Never, Hana kwa intellectual capacity ipi from her scholarly history
Mkuu Retired , hebu acheni dharau zenu nyie watu, andiko limeandikwa na Samia!. Watanzania hawahitaji scholarly articles, wanahitaji solutions to their problems, Rais Samia is that solution!, kwa wanaotaka scholarly articles nendeni mkazisome, zimejaa tele kwenye shelves za maktaba za vyuo vikuu, na kwenye ma kabrasha kede kede!.
P
 

Kumbe hajawahi kuandika? Asante sana.
 

Ungejibu tu kuwa hajawahi kuandika, sio kuleta stori ndefu
 
Kwa kifupi JIBU halijapatikana. Ni chawa kuleta utetezi wa hapa na pale
 
Katika marais wetu, Nyerere ndiye alikuwa kiboko. Yaani ukisikia rais msomi ndiyo yule. Hata Mkapa anaingia kwenye list. List uchwara ni Magufuli, Samia na Kikwete.
Magufuli huwezi kumfananisha na hao vilaza wengine.
 
Katika marais wetu, Nyerere ndiye alikuwa kiboko. Yaani ukisikia rais msomi ndiyo yule. Hata Mkapa anaingia kwenye list. List uchwara ni Magufuli, Samia na Kikwete.
Sasa mbna huyo Nyerere aliitumbukiza nchi shimoni????
 
4m4 felia anawezaje mambo hayo
 
Nyerere alifunga kiwanda cha Matrekta cha LONRHO akafunguwa kiwanda cha majembe ya mkono UFI Ubungo

"If such are the priests God bless the congregation".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…