Pumba! Unayajua kiwanda cha matrekta ya Valmet?Nyerere alifunga kiwanda cha Matrekta cha LONRHO akafunguwa kiwanda cha majembe ya mkono UFI Ubungo
"If such are the priests God bless the congregation".
Mkuu nyerere kuna kitu alitaka kutufanya watanganyika ila Mungu nae akamuepushaNyerere alifunga kiwanda cha Matrekta cha LONRHO akafunguwa kiwanda cha majembe ya mkono UFI Ubungo
"If such are the priests God bless the congregation".
Kiwanda hicho kilikuwa cha mtu anayeitwa Tiny Rowlnds, mwenye kampuni ya LONRHO. Kikafungiliwa mbali na Nyerere.Pumba! Unayajua kiwanda cha matrekta ya Valmet?
Huwa anaandika za kwenda OmanNimelazimika kuuliza hii kitu, ni muhimu sana kujua. Makala nzito iliyojaa critical analysis na ikapatikana kwenye national au International journals. Paper fulani hivi ya kuzungumzia changamoto mtambuka za jamii yetu ya Kitanzania.
Mambo haya yanaakisi sana uwezo wa mtu. Nafikiri ana Degree na Masters, ziko wapo Research reports zake tuzifanyie Literature Review.
Tanzania inakabiliwa na changamoto nyingi chungu mzima. Lakini hatuoni hatuoni hata moja ikipatiwa majibu ya utatuzi. Nchi ni kama mgonjwa anayesubiri muujiza wa Baba wa Mbinguni tu.
Hebu vitaje mkuu labda sisi ndio hatujui viwandaUtakuwa mjinga sana. Nyerere ndie aliacha viwanda vingi sana nchini
Ajuza udini una kutesa snKiwanda hicho kilikuwa cha mtu anayeitwa Tiny Rowlnds, mwenye kampuni ya LONRHO. Kikafungiliwa mbali na Nyerere.
Huwa sikisii.
Usisahau na za kupeleka vijana israel wakafundishwe kilimo na mazayuni.Huwa anaandika za kwenda Oman
CCM haijawahi kuwa na nia njema zaidi ya wizi wa mali za umma pekee..kama kuna ujinga kwenye siasa za Tz basi umesababishwa na Ccm kwasababu ndio wametuongoza tangu tupate uhuru.
..Ccm pia ndio walioasisi na kusimamia mabadiliko yaliyofungua milango ya mfumo wa vyama vingi.
..matatizo yetu ya kisiasa yametokana na kutokutekelezwa kwa ukamilifu kwa mapendekezo ya Tume ya Jaji Mkuu Francis Nyalali.
Msomali mwenzako Bashe ndiyo aliandika hiyoUsisahau na za kupeleka vijana israel wakafundishwe kilimo na mazayuni.
Akili ya mwalimu huwezi kuifunga kwenye PhD yy ni zaidi ya hapo. Umesikia ww mtu mmoja.Hivi the late Nyerere alifariki akiwa na PhD?..
Mwalimu watu walisoma bure na kutibiwa bure bila migodi wa gasAkili ya mwalimu huwezi kuifunga kwenye PhD yy ni zaidi ya hapo. Umesikia ww mtu mmoja.
Nyerere alikuwa na mapungufu yake lakini huwezi kumlinganisha na haya majangili ya sasa.Nyerere hakufilisi uchumi wa nchi. Nyerere alianzisha mashirika na viwanda vingi tu lakini hakujua watanzania ni wezi na wavivu wa kutupwa. Enzi za Nyerere watu waliokuwa wanasoma bure. Hospital bure. Kulikuwa mpaka na kupewa warrant wa kusafiri kwa wanafunzi na watu wengine kama wanamuziki. Kwa kifupi watu wa kawaida ndiyo walikuwa wana-enjoy keki ya Taifa. Hebu nionyeshe katika hizi nchi za sub-Sahara African countries ni nchi ipi wananchi wake walikuwa wanaishi vizuri kama Tanzania kipindi cha Nyerere! Nyerere mpaka raslimali aliziacha kwa matumizi ya baadae. Sasa hizi wanashindana kuzipiga bei.
Huwa sikisii, Hujaupenda ukweli? katafite hii:Ajuza udini una kutesa sn
Mwatex, Mbeyatex, Ufi etc ni vingi sanaHebu vitaje mkuu labda sisi ndio hatujui viwanda
Anaejidai kukusomesha elewa kuwa anakujaza ujinga.Mwalimu watu walisoma bure na kutibiwa bure bila migodi wa gas
Duh sawaMwatex, Mbeyatex, Ufi etc ni vingi sana
Hivyo viwanda vyote vilikufa kabla yeye hajafa.Utakuwa mjinga sana. Nyerere ndie aliacha viwanda vingi sana nchini
Tanganyika Peckars,ZZKDuh sawa
Lazima kulikuwa na sababu za msingi, nitaisoma naamini kwenye google siwezi kuikosa, Nyerere ni binadamu alikuwa na mapungufu yake ndiyo maana alikiri, lakini watu walisoma bure, kutibiwa bure na kusafiri bure bila madini wala gas, leo kuna kila kitu lakini huduma ni mbovu kupita kiasiHuwa sikisii, Hujaupenda ukweli? katafite hii:
On June 2, 1978, the Tanzanian government under President Julius Nyerere ordered the British multinational corporation, Lonrho Limited, to leave the country.
SawaTanganyika Peckars,ZZK