Hivi serikali imeruhusu wasichana kucheza uchi wa mnyama kwenye kumbi za starehe? Hali inatisha!

Yanga ndio wana tabia hizo
 
Kuna ile moja wale wamevaa jezi za yanga 😅😅😅

Kuna ile ingine yule dada anaweka wine sijui whisky kwenye tigo aafu anapuliza 😅😅 alafu mchana kweupe

Dunia ishaisha aisee
Mkuu iyo ya jezi ya yanga naitafuta sana. Embu Fanya kampango niione
 
Usishangae sana hizo ndio waita Strip club.
Na Sasa hivi zimekuwa nyingi sana. Ndio maana hata upande wa Elimu wanaifeli wako wengi.
Wakiingia huko hakuna kusoma.
 
Tatizo ni nyie wanaume mnapenda kuona hivyo. Mngekuwa mkiwaona wakicheza hivyo mnawazomea na kuwapiga mawe kama ilivyo mtu akipita kariakoo basi hayo mambo yangepungua sana.
Umenikumbusha late 70s wazee wakiona mshichana kavaa suruali wanatuambia kamchapeni
Na hawakuvaa tena Enzi hizo

Ila kwa sasa ukimgusa mtoto baba yake anakuja juu maana anaona sawa tu
 
Kuna ile moja wale wamevaa jezi za yanga [emoji28][emoji28][emoji28]

Kuna ile ingine yule dada anaweka wine sijui whisky kwenye tigo aafu anapuliza [emoji28][emoji28] alafu mchana kweupe

Dunia ishaisha aisee
Mkuu nimekuPM boss[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umenikumbusha late 70s wazee wakiona mshichana kavaa suruali wanatuambia kamchapeni
Na hawakuvaa tena Enzi hizo

Ila kwa sasa ukimgusa mtoto baba yake anakuja juu maana anaona sawa tu
Yani washaona wakiwaweka uchi wanaume watajaa kwenye bar kunywa pombe. So usitegemee hayo mambo kupungua ila yataonhezeka sana
 
Oya tuma mizigo hiyo kaka serikali ifanyie kazi sasa maneno tupu bila uthibitisho hakuna kesi hapo
 
Yani washaona wakiwaweka uchi wanaume watajaa kwenye bar kunywa pombe. So usitegemee hayo mambo kupungua ila yataonhezeka sana
Ni ulimbukeni na uchafu
Ubunifu ni zero zaidi ya hayo
Serikali haina Habari wala hawajali utakuta wakubwa wana shares humu wakitakatisha hela za wizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…