Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,824
- 2,445
Tunazalisha taifa la ajabu miaka ya 2012 kurudi nyuma ilikuwa kidogo afadhali leo hii majanga kweli na wazazi kweli wanaweza kukutupia jini makata kisa unamfatilia mwanaeHyo mitaa ni ya vigidoro daily
Yani mitaa ya sasambua...
Unategemea nini? Mwalimu ukijitia mdomo wanakuloga mchana kweupeee au unatumiwa panya Road
Mkuu umemaliza yote; siongezi neno.kweli kabisa kichwani hamna kitu kuna siku nilipanda na wanafunzi wa form 2 nikawa uliza state the law of flotation hakuna aliyejibu wakati mm nimemaliza shule miaka karibia 9 najua sijashau mpaka leo nilichogundua vichwa vya wanafunzi wa leo vimejaa mapenzi nyimbo za bongo fleva na singeli sasa je masomo yatakaa wapi akili zao zenyewe shake before use na low battery wataweza kweli kuelewa masomo
Mkuu umenichekesha sana usiku huu hadi kila mtu ananishangaa! Hadi umeamua ku-GUGU? Umenifurahisha sana mkuu 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Mepitia page yao huko Facebook asee wako vizuri kwenye michezo na talents zingine kama dancing. Mengine hayawahusuuTunazalisha taifa la ajabu miaka ya 2012 kurudi nyuma ilikuwa kidogo afadhali leo hii majanga kweli na wazazi kweli wanaweza kukutupia jini makata kisa unamfatilia mwanae
Kwa msioifahamu mburahati,ni shule ya secondary ya kata ,iko wilaya ya kinondoni na mkoa wa Dar es Salaam.
Ni shule iliyopo mjini kabisa nikiwa na maana ina access ya nyenzo zote kuanzia walimu na mpaka vitendea kazi.
Sasa haya ndio matokeo yao ya form 2 kwa mwaka jana.
Je, walimu wa hii shule wanastahili kweli kulilia nyongeza yoyote ya mshahara kutoka serikalini?
View attachment 2474008
Kwa msioifahamu mburahati,ni shule ya secondary ya kata ,iko wilaya ya kinondoni na mkoa wa Dar es Salaam.
Ni shule iliyopo mjini kabisa nikiwa na maana ina access ya nyenzo zote kuanzia walimu na mpaka vitendea kazi.
Sasa haya ndio matokeo yao ya form 2 kwa mwaka jana.
Je, walimu wa hii shule wanastahili kweli kulilia nyongeza yoyote ya mshahara kutoka serikalini?
Mbagala wanawasalimieni. ICYMI
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haswaaaaaah.Hizo shule wanafunzi wanachojua ni kupigana miti vyooni na madarasani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanafunzi na walimu wote wanashinda kuangalia inspiration uchwara za tiktok unategemea nn
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nlitaka nshangae ushoga usiwepo,. Ila mara nyingi mashoga wanakuaga vizuri darasan, couz wanajua hiyo ndo njia ya wao ku run out.Mkuu , tatizo sio waalimu tu ni ngono watoto wanafanya Sana ngono Hadi wanapoteza focus then wa kiume wana Bet Sana na bangi nyingi na ushoga.
Hapo in short hamna shule
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mathe wamelamba fafefifofu wote #@$[emoji51] alafu unakuta wanaimba chitaki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaziii ipooo??Shule inaitwa Mburahati kutoka eneo la Mburahati. Moja ya kitingoji chenye uswahili mwingi sana ndani ya Dar Es Salaam.
Hao wanafunzi wengi wa shule hiyo dada zao ndio wavaa madera wanaocheza singeli kwa kutikisa makalio (chura)
Halafu kaka zao ndio panya road, yaani huko Mburahati unaweza ukakabwa mchana kweupe.
Sasa mwanafunzi anajifunza nini hapo? Wazazi wake wachawi plus chuma ulete...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli dear.Hao wanafunzi wenyewe wa mitaa hiyo ya mburahati manzese na maeneo jirani tabia zao unazijua zilivyo?? Hao hata uwajazie waalimu kwa ratio ya 1:1 bado watafeli tuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wawili wamepata div 2.Waswahili na shule wapi na wapi. Hao waambie inshu za singeli kukata miuno ngono vijora na kubet
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahkweli kabisa kichwani hamna kitu kuna siku nilipanda na wanafunzi wa form 2 nikawa uliza state the law of flotation hakuna aliyejibu wakati mm nimemaliza shule miaka karibia 9 najua sijashau mpaka leo nilichogundua vichwa vya wanafunzi wa leo vimejaa mapenzi nyimbo za bongo fleva na singeli sasa je masomo yatakaa wapi akili zao zenyewe shake before use na low battery wataweza kweli kuelewa masomo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hyo mitaa ni ya vigodoro daily
Yani mitaa ya sasambua...
Unategemea nini? Mwalimu ukijitia mdomo wanakuloga mchana kweupeee au unatumiwa panya Road