Hivi shule kama hii ina walimu kabisa watakaoweza kuidai Serikali iwaongezee mshahara bila aibu?

Hyo mitaa ni ya vigidoro daily
Yani mitaa ya sasambua...
Unategemea nini? Mwalimu ukijitia mdomo wanakuloga mchana kweupeee au unatumiwa panya Road
Tunazalisha taifa la ajabu miaka ya 2012 kurudi nyuma ilikuwa kidogo afadhali leo hii majanga kweli na wazazi kweli wanaweza kukutupia jini makata kisa unamfatilia mwanae
 
Mkuu umemaliza yote; siongezi neno.
 
Hawasomi hao,walimu hata wasipokuwepo Dar tuition Centa ni nyingi mno.Wazazi wa dar wamewadekeza watoto wao kiaina.Pili sheria za shule ni legevu na pia mahudhurio yao huenda sio mazuri
 

 
watoto wa dar wajuaji sana,tutegemee wadangaji na vibaka kuongezeka
 
Suluhisho hapo shule zote za secondary hapo Dar ziwe boarding mana wanafunzi wameendekeza starehe za mjini kuliko masomo.
 
Mkuu , tatizo sio waalimu tu ni ngono watoto wanafanya Sana ngono Hadi wanapoteza focus then wa kiume wana Bet Sana na bangi nyingi na ushoga.


Hapo in short hamna shule
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nlitaka nshangae ushoga usiwepo,. Ila mara nyingi mashoga wanakuaga vizuri darasan, couz wanajua hiyo ndo njia ya wao ku run out.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaziii ipooo??
 
Hao wanafunzi wenyewe wa mitaa hiyo ya mburahati manzese na maeneo jirani tabia zao unazijua zilivyo?? Hao hata uwajazie waalimu kwa ratio ya 1:1 bado watafeli tuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli dear.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Hyo mitaa ni ya vigodoro daily
Yani mitaa ya sasambua...
Unategemea nini? Mwalimu ukijitia mdomo wanakuloga mchana kweupeee au unatumiwa panya Road
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…