Hivi shule kama hii ina walimu kabisa watakaoweza kuidai Serikali iwaongezee mshahara bila aibu?

Hivi shule kama hii ina walimu kabisa watakaoweza kuidai Serikali iwaongezee mshahara bila aibu?

Sio kweli shule nyingi Dar zina waalimu zaidi ya 200, kimsingi waalimu kwenye majiji yote wametosha na wamezidi, upungufu upo vijijini tu, tena masomo ya sayansi
Kwa idadi hii ya wanafunzi namahali shule ilipo sitegemei kuona wakifanya maajabu.

Na wasiwasi huenda jumla ya wanafunzi kidato cha 1 hadi 4 ikawa >3,500

Idadi ya waalimu ikawa <35 na 5 wakawa na nafasi za uongozi bila kuhusika na ufundishaji.

Ifike mahali wizara husika ichapishe idadi ya waalimu na wanafunzi kila shule kila mwaka ili tuweze kudadavua na kujua tatizo lipo kwa wanafunzi pekee au uhaba wa waalimu pia ni chanzo.
 
Mkuu kabla hujalaumu walimu angalia namba ya wanafunzi hiyo watoto 503 sio mchezo mzee labda YESU atanye miujiza kufaulu hao watoto na ukizingatia ni shule ya kata.
 
Kama form 11 ambapo ni parahisi matokeo ndio hayo, hiyo shule 2024 matokeo ya form 4 itatia fora kwa kufelisha

Nb: shule za Dar maajabu msingi utakuta halmashauri za ilala, kinondoni zipo top 3

Wakifika sekondari sasa shule za kata zero ni 90+,

Sasa sijui ule ufaulu wa msingi kwa wanafunzi hao hao unayeyukia wapi ama ni mwendo wa 4-4-2 la saba?
 
1673206272055.png
 
Hao wanafunzi wenyewe wa mitaa hiyo ya mburahati manzese na maeneo jirani tabia zao unazijua zilivyo?? Hao hata uwajazie waalimu kwa ratio ya 1:1 bado watafeli tuu
kweli kabisa kichwani hamna kitu kuna siku nilipanda na wanafunzi wa form 2 nikawa uliza state the law of flotation hakuna aliyejibu wakati mm nimemaliza shule miaka karibia 9 najua sijashau mpaka leo nilichogundua vichwa vya wanafunzi wa leo vimejaa mapenzi nyimbo za bongo fleva na singeli sasa je masomo yatakaa wapi akili zao zenyewe shake before use na low battery wataweza kweli kuelewa masomo
 
kweli kabisa kichwani hamna kitu kuna siku nilipanda na wanafunzi wa form 2 nikawa uliza state the law of flotation hakuna aliyejibu wakati mm nimemaliza shule miaka karibia 9 najua sijashau mpaka leo nilichogundua vichwa vya wanafunzi wa leo vimejaa mapenzi nyimbo za bongo fleva na singeli sasa je masomo yatakaa wapi akili zao zenyewe shake before use na low battery wataweza kweli kuelewa masomo
Hyo mitaa ni ya vigodoro daily
Yani mitaa ya sasambua...
Unategemea nini? Mwalimu ukijitia mdomo wanakuloga mchana kweupeee au unatumiwa panya Road
 
Hyo mitaa ni ya vigidoro daily
Yani mitaa ya sasambua...
Unategemea nini? Mwalimu ukijitia mdomo wanakuloga mchana kweupeee au unatumiwa panya Road
Timiza wajibu, pokea mshahara songambele
 
Back
Top Bottom