Hivi shule kama hii ina walimu kabisa watakaoweza kuidai Serikali iwaongezee mshahara bila aibu?

Hivi shule kama hii ina walimu kabisa watakaoweza kuidai Serikali iwaongezee mshahara bila aibu?

Kwa taarifa yako mwanafunzi anayejielewa, hawezi kumtegemea mwalimu kwa 100% ili afaulu! Isipokuwa 25% tu.


Umeshajiuliza ni kwa nini kuna wanafunzi wawili waliopata ufaulu wa division two!! Wazazi wa hao wanafunzi wana mchango gani kwenye malezi ya watoto wao?
Mzazi unatoka nyumbani saa 11 alfajiri, halafu unarudi saa 5 usiku! Unategemea nani atakulelea mtoto wako mtukutu? Mwalimu ambaye aliongezewa mshahara wa kueleweka enzi Rais ni JK! Hilo haliwezekani. Na walimu nao ni binadamu. Hivyo wana njia nyingi za kufikisha ujumbe kwa wahusika.

Serikali nayo kujaza darasa la wanafunzi 500 kwenye shule moja nayo ni akili, au ni matope? Na hapo unaweza kukuta hiyo shule hata uzio haina!! Bado unategemea maajabu!! Mbona watoto wanaosoma shule za boarding, wengi wanafanya vizuri?
Bora umesema kaka
 
Tatizo katiba
Hao wote walitakiwa kusoma ufundi sio secondary.,..
 
Ndugu zangu, kada ya UALIMU siyo kama kada nyingine unazoweza kuzifanyia masihara. Ikumbukwe kuwa ili watoto wafaulu vizuri mambo mengi yanahitajika ili kufanikisha lengo kuu la shule ambalo ni utoaji wa Elimu Bora..
Mambo hayo ni:
Miundombinu Bora ya kufundisha na kujifunzia * Uwajibikaji wa walimu na umahiri wao katika mchakato wa kufundisha * ushiriki wa wazazi katika kufanikisha mchakato wa uboreshaji wa mazingira na Taaluma. * Nidhamu ya wanafunzi(self discipline) * Motisha kwa waliofanya vizuri (wanafunzi na walimu) Uongozi Bora wa shule (transparency, accountability,etc.
Kwa kuwa shule nyingi zipo chini ya mamlaka za halmashauri na miji au wilaya basi majukumu hayo yanamuhusu kila mmoja katika mamlaka hayo na WA mwisho ni mwalimu mkuu/mkuu wa shule.
Hivyo kuwananga walimu hao siyo uungwana japo nadhani wanaohusika Moja kwa moja kama watumishi..
Matokeo haya yanahitaji kufanyiwa research na kujua ni factors zipi zimechangia kufikia hatua hii..
Mwisho ila si kwa umuhimu wazazi lazima tufikirie kuchangishana kwa hali na mali, tuwajengee watoto wetu mabweni , au tununue mabasi ya kuwapeleka watoto shuleni , tusijifanye manunda wa kutumia mzigo bara na bebes wakati watoto wetu Wanaendelea kupata four na zero ..
Generally ni kuwa tutaendelea kuwa wapiga kura kila wakati kwa wenzetu wanaosoma shule za div 1. ...
Nawasilisha kwa unyenyekevu@ mzee wenu kutoka Kijiji Pomerin Dabaga Iringa Tanzania
 
Broo nilikua na darasa la watoto 700 ukitoka class kichwa kimestuck jus imagine nilikua nafundisha maths
Nilichokua nafanya class A ndo watoto wanajua hesabu ndo nakomaa nao hao hao kungine Bora liende tu....mara mkondo mpk G,Yaani km mimba changa inatoka Kwa kusimama
Yaani hizi shule za kata watoto ni wengi mnooo
Aisee
 
Acha kabisaa Yaani sifundushi waelewe nafundisha Ili nimalize syllabus na uzuri wa hesabu no ya wateule baasii only class A Ndo nakomaa kungine nahakikisha natoa notisi tu,Yaani nikianza kusahihisha Sasa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]jus imagine Kwa siku nna madarasa manne na yote Yana 80 +watoto na maths kusahihisha lazima Yaani Mimi sikai ofisini nakaa Nje ,ila huwezi amini hakuna Mwaka form two hatutoi A na form four...
Kuna dogo alihama kwetu akaenda mburahati hapo,Yaani hiyo shule watoto wa manzese,kigogo,mburahati yenyewe,wahuniii,wavuta bangi hapo amakuambia Yaani hapo full utawala maana Wana tabia ya kuzingua walimu hapo shuleni Ndo maana walimu hawawafatilii hapo waweza pigwa na wanafunzi kirahisi tu hapo
 
Ila lengo kuu la Shule za kata ni kupunguza ndoa za utoto na child Labour at least wamefanikiwa na Wala siyo watoto wafaulu,serikali imefanikiwa Sana kupunguza early pregnancies na early marriage Sana tu maana zamani hata huko vijijini mtoto wa miaka 12 anaolewa Sasa hivi walau Mpk amalize la 12 ana 18yrs akiolewa sio ishu Sana au akizaa
 
Acha kabisaa Yaani sifundushi waelewe nafundisha Ili nimalize syllabus na uzuri wa hesabu no ya wateule baasii only class A Ndo nakomaa kungine nahakikisha natoa notisi tu,Yaani nikianza kusahihisha Sasa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]jus imagine Kwa siku nna madarasa manne na yote Yana 80 +watoto na maths kusahihisha lazima Yaani Mimi sikai ofisini nakaa Nje ,ila huwezi amini hakuna Mwaka form two hatutoi A na form four...
Kuna dogo alihama kwetu akaenda mburahati hapo,Yaani hiyo shule watoto wa manzese,kigogo,mburahati yenyewe,wahuniii,wavuta bangi hapo amakuambia Yaani hapo full utawala maana Wana tabia ya kuzingua walimu hapo shuleni Ndo maana walimu hawawafatilii hapo waweza pigwa na wanafunzi kirahisi tu hapo
Nakuelewa pole mnoo..ila una wito hongera sana..hata kuchagua tuu wanafunzi wanaokuelewa na kudeal nao ni jambo zuri unaona A zilikuwepo..hyo shule hapo walimu waliwasusaa wakaendelea na mishe zao na wanafunzi wakajiachiaaa
 
Mwalimu hata akiwa 'mweupe' kiasi gani, kama kuna mwanafunzi ana akili na akipata material sahihi, anapasua paper...

Chanzo namba moja cha mwanafunzi kufeli huwa ni yeye mwanafunzi na mazingira yaliyomzunguka...
Nakubaliana na wee mzee.
 
Mburahati na Kigogo ni ukanda wa watoto wanafundishwa kuvaa vijora na kucheza singeli. Vigoma vya Uruguayi haviishi huko. Elimu yao huko ni ya kukata viuno na kuchuna mabuzi.

Mtoto wa kike akishavunja ungo anaambiwa, "Humu ndani tunapika chai tu, vitafunwa katafute mwenyewe."

Akiwa kidato cha pili tayari anajua kulala na mwanaume na akirudi nyumbani kumpa mama yake hela ya kumnyamazisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaa
 
Walimu wa ilboru, kibaha, mzumbe ,tabora boys , hao ndio watajikuta wanalipwa mishahara mikubwa maana wanapelekewa cream.
Kuna shule watoto wanajua asee, ukiangalia watoto wa ilboru ni A tuu kama utitiri

Hizi za uswazi huko watoto wanaenda kwa kulazimushwa hata wapelekewe maprofesa ni zero tuu
Hizo shule ulizotajaa wanaenda wanafunzi Cream tyuuh, afu sasa wanafundishwa kujitegemea wao wenyewe ktk masomo yao. Walimu wa kule hawapati tabu hata
 
Mie nimesoma gov enzi hizooo kuanzia la kwanza had form 6...

Niseme ukweli hata kipind hiko walimu walikua hawafundishi wakati tupo form 4 masomo matano kati ya tisa hayakua na walimu na hayo yenye walimu ticha anazama mara mbili kwa wiki sa ingine mwez mzima hamumuoni...

Ikaja A LEVEL pia hvo hvo walimu hawaingii...

Licha ya yote hayo watu tulikua tunazama mapindi mtaani tuna connect na watoto wa shule bora kusaka matirio na tunagonga one kama kama kawa shule tulikua tunaita kituo cha mitihan tu...


Kwa hyo shule ka hyo watoto kufeli ni watoto wenyewe siku hz mambo mengi mara singeli, mara tik tok, mtu anaenda shule na kidaftari kimoja atapata ngapi,

Wazaz wenyewe ndio sie wa 1980's tunawaza kula tunda kimasihara[emoji28] kuna nn hapo...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila n kweli.
 
Acha kabisaa Yaani sifundushi waelewe nafundisha Ili nimalize syllabus na uzuri wa hesabu no ya wateule baasii only class A Ndo nakomaa kungine nahakikisha natoa notisi tu,Yaani nikianza kusahihisha Sasa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]jus imagine Kwa siku nna madarasa manne na yote Yana 80 +watoto na maths kusahihisha lazima Yaani Mimi sikai ofisini nakaa Nje ,ila huwezi amini hakuna Mwaka form two hatutoi A na form four...
Kuna dogo alihama kwetu akaenda mburahati hapo,Yaani hiyo shule watoto wa manzese,kigogo,mburahati yenyewe,wahuniii,wavuta bangi hapo amakuambia Yaani hapo full utawala maana Wana tabia ya kuzingua walimu hapo shuleni Ndo maana walimu hawawafatilii hapo waweza pigwa na wanafunzi kirahisi tu hapo
Shule nyingi walimu wa Math huwa wana wateule wao wa kwenda nao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa msioifahamu mburahati,ni shule ya secondary ya kata ,iko wilaya ya kinondoni na mkoa wa Dar es Salaam.

Ni shule iliyopo mjini kabisa nikiwa na maana ina access ya nyenzo zote kuanzia walimu na mpaka vitendea kazi.

Sasa haya ndio matokeo yao ya form 2 kwa mwaka jana.

Je, walimu wa hii shule wanastahili kweli kulilia nyongeza yoyote ya mshahara kutoka serikalini?

View attachment 2474008
Swala la watoto kufaulu linahitaji nidhamu ya malezi,Sasa wenye watoto waliwaachia walimu walitegemea Nini?
 
Back
Top Bottom