Jeshi halilindi wavamia shamba lina mipaka yake kiulinziWanalinda nini sasa? Mbona sisi shamba la bibi wageni wanaingia tu kwenye nchi yetu ni mpaka wachomwe na raia ndo wanakamatwa nayo ni mara moja moja sana
Ile tuweni wakweli jamani bongo iwe na submarine si tungekua tunaiona kila siku kwenye vyombo vya habari
Sio ipo ni zipo tena za kutosha ....Wanalinda nini sasa? Mbona sisi shamba la bibi wageni wanaingia tu kwenye nchi yetu ni mpaka wachomwe na raia ndo wanakamatwa nayo ni mara moja moja sana
Ile tuweni wakweli jamani bongo iwe na submarine si tungekua tunaiona kila siku kwenye vyombo vya habari
Ongezea South Africa na Algeria
Sio kila kitu usikie kwingine. Mambo mengine yanaanzia hapa hapa na kuishia hapa hapa.
😅😅😂Hatuwezi kuvamiwa kwakuwa sisi sio wabishi wa kutoa vyetu.. Tunagawa tu kwa raha zetu sasa watuvamie ili iweje...
Yaani hatuwezi hata kuambiwa MIKONO JUU
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanalinda nini sasa? Mbona sisi shamba la bibi wageni wanaingia tu kwenye nchi yetu ni mpaka wachomwe na raia ndo wanakamatwa nayo ni mara moja moja sana
Ile tuweni wakweli jamani bongo iwe na submarine si tungekua tunaiona kila siku kwenye vyombo vya habari
Hebu toa mbwembwe za kikenya hapa na ujikite kwenye mada.Kuna nini umekianzisha hapo maana silaha ulizo nazo ulinunua kutoka kwa hao hao, mifumo yote ya mawasiliano, kila kitu, hata simu inayotumika ikulu imeagizwa kutoka kwa hao......
Ume generalized sana, Sio Kweli, mbona South Africa anazoMtu yeyote mwenye akili timamu hawez kuandika ujinga kama huu!
Submarine moja ya kijeshi sio chini ya $25 billion dollars hakuna nchi yoyote ya afrika inaweza kununua
Hapo panapovuja ndio pangekuwa pale kwetu tz terminal 3 mama yetu angekoga mvua ya matusi
Mkuu zipo nchi za Africa wanazo nyambizi kuanzia south Africa,Morocco, Misri nk yapo yapo hayo madubwanaMtu yeyote mwenye akili timamu hawez kuandika ujinga kama huu!
Submarine moja ya kijeshi sio chini ya $25 billion dollars hakuna nchi yoyote ya afrika inaweza kununua