Hivi tatizo la 'kunatana' wakati wa kufanya mapenzi linasababishwa na nini?

Mimi siyo kichaa.....so please don't call me names.

Nani amekwambia science ni ya wazungu pekee?

Sasa ukianza kuandika viroja tunaweza kufanya discussion ya hii mada?

Go and educate yourself old man.
Babu zetu walikua wanafanya hivi kwa ajili ya kulenda ndoa zao zadi ya michepuko hii ni science ya Africa. Sasa wewe unabaki unamtukuza Mzungu kisa yeye kaandika vitabu. Huo ndio uchizi wenyewe eti kisa umesoma kitabu kilicho andikwa na Mzungu unasema wewe umeendelea, TUKUZA KILICHO CHAKO
 
Science ya Africa ndio hii tunayokwambia wewe unaleta science ya wazungu ya kukariri vitabu
You must be so ignorant old man.

Science is a body of knowledge which have been proved to be scientifically correct.

Wewe unasema uchawi/ushirikina ni science ukitakiwa utoe uthibitisho utaweza?

Hapo ulipo unatumia artificial intelligence (simu yako ya mkononi) lakini bado unaongea ujinga mwingi.

Pole sana.
 
Hahaha umenikumbusha mkuu, kwetu walikua wanadanganyana ya mtu mzima ina kiwembe sasa nilikua najiuliza mbona hao waliowa sijawahi kuona hata mmoja akipelekwa hospitali kwa kukakatwa na kiwembe?
 
Wewe ni lofa na wala hujijui wewe ni lofa.

Eti nitukuze kilicho changu.

Mimi siwezi fuata mafundisho ya kipuuzi yasiyopatana na akili.

Jambo muhimu unatakiwa uelewe.....science ni ya watu wote. Wapo wavumbuzi mashuhuri wa Kiafrika wamechangia maendeleo ya science siyo watu wa bara Uropa pekee.

Mkuu, seriously wewe ni wakiwango cha chini sana kujadili haya mambo. Nimekushauri jihabarishe kwanza kabla hujarukia mambo.
 
Ndio shida ya kukariri
 
Shida ya kukariri ndio, unapinga hata ukweli kwa kumwaga povu.
 
Ndio shida ya kukariri
Nilichokariri ni kipi?

Mimi nakwambia kweli tu wala usihamaki.

Misingi ya mafundisho ya science inapatana na akili. Hujifunzi hata baada ya maendeleo yote haya yaliyoletwa na scientific innovations?
 
Ndio hivi hivi mnajifanya mmesoma mnaelewa kila kitu badae unakuja kuomba past paper za Necta hapa
 
Ndio hivi hivi mnajifanya mmesoma mnaelewa kila kitu badae unakuja kuomba past paper za Necta hapa
Wewe utakuwa jinga zaidi ya nilivyofikiri awali.

Pia nimegundua wewe ni "toto".

How old are you?

Past papers na Necta mimi zinanihusu nini?

Hauhitaji uwe na degree ya science rocket uelewe umuhimu wa science kwa maendeleo ya dunia hii.

Now I'm done with you. I won't respond to your stupidity
 
Labda kuwe na sayansi kilimo ya kule ufipani
 
Endelea kufuata mafundisho ya wazungu.
 
Endelea kufuata mafundisho ya wazungu.
Sifuati mafundisho ya wazungu. Nafuata mafundisho yanayopatana na akili.

What about you? Unafuata mafundisho yoyote tu na kuamini upuuzi mwingi unaoelezwa na watu wanaoshabikia ushirikina?
 
Huku kwetu Sumba-'wanga' ni kawaida kwakuwa unakuta mwanaume kapiga mzigo 'papuchi' 'nyepu' mpaka inatoa moshi hivi alafu sasa wakati demu anakaribia kileleni bakuli lake linajibana linaibana mlungushi na wakati huo huo kama mnavyojua mlungushi kile kichwa kinaongezeka ukubwa kinakuwa kama cha chatu wakati anafika kileleni huku pumbu zikiingia tumboni, so hapo sasa pumbu zinaweza pasuka mda wowote, kwahiyo ni hatari sana, ukiona kitu kimenata ndani ya papuchi we minya pumbu weee utaona kinaachia.

Asanteni
 
Hayo mambo yapo nenda Kigoma au kongo utapata hiyo huduma.
 
Kila mutu akunywe maji ya kisima yake, usitamani maji ya kisima ya jirani yako.
 
Mbona hata nguva anaonekana kwenye video nyingi tu, lakini hakuna binadamu hata mmoja aliyewahi kumuona kwa macho, hata hizo video za watu kunatana ni za kutengeneza, hakuna mtu kashuhudia tukio hilo. Video zinatengenezwa tu.
Nguva wapo angalia discovery utajua, IPO documentary ya hivi karibuni tu
 
We jamaa kamwe huwezi kuelewa sababu ubongo wako umekwisha ganda

Nawaonea huruma wanaokutegemea kimawazo hasa wale wadogo kiumri sababu utawarithisha mawazo yako ambayo hayana tija, yakishirikina etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…