Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😋😋😋😋😋 Kama naionaHatare
Mimi ni mpole ndiyo maana unaninyanayasa... Unapata dhambi...Nimekunyanyasa wapi?
Ulivyo mjeuri hivyo? Kweli utanyanyasika 😎
Ha ha ha..Nipo hapa naangalia mwelekeo tu,uzuri wa mambo haya majibu yake Huwa hayachelewi kabisa
Kuna mpuuzi namuelewa kipuuzi halafu yeye Anawza wali maharage mda wote😁😁😁
we acha aise🤣Nimeapprove aisee
Na ukipenda kweli unaumia!Watu humu kwa kuonesha misimamo ya ajabu ajabu hamjambo. Et penda kushoto mara nini. Ninyi semeni mnatamani na mnakua na watu msiowapenda basi. Ila upendo wa kweli hauwezi kujigawa wala kupretend. Yaan upende haswa then ujigawe acheni uongo bana.
Dear Sister pole. Ndio maisha kwa Kadri muda unavyoenda utakua Sawa. Usiogope kupenda ila kua makini na nani wa kumpenda.
🤣🤣Hakika Kwa upendo huu tungemwonyesha Mwenyez Mungu mbingu tungeionaNa ukipenda kweli unaumia!
Ukimpenda mwanamke hata kama ikiwa naye anakupenda hatokukubali haraka haraka!
Nilikuwa naziona siku ni ndefu kweli! Kuna kipindi nikawa najihisi vibaya baya moyoni kwa sababu nilikuwa namuhitaji kwa kumuoa kabisa! Nakuona huu ni ulofa! Upendo huu nikiuonesha kwa Mungu si napata pepo kabisa?!
Mi nilikata tamaa baadaye akanitafuta mwenyewe. Baadaye ndiyo unamuuliza vurugu zote za nini kunipeleka vile wakati nawe unanipenda?!
We acha tu!🤣🤣Hakika Kwa upendo huu tungemwonyesha Mwenyez Mungu mbingu tungeiona
Tupende tu jamani
🤣🤣❤️ Mapenz ni uchizWe acha tu!
Halafu kulikuwa na njemba kama 3 nazo zinafukuzia! Nikaona mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo! Nikaamua ku-stick na malengo yangu tu na kumuomba Mungu niyakamilishe kwa muda niliojiwekea.
Nikala buyu nikampotezea mazima! Wiki ndefu akawa ananitafuta mwenyewe kwenye simu. Eti nimekumisi?
Ila kwa sasa tupo pamoja!
Emu ngojeni kwanza huko nje wawanyooshe kidogoTupende tu jamani
Huko nje manyanyaso mengi