Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote wameshajua mama anapenda nini! Kama anapenda hayo sasa viongozi wa huko wafanyeje?Inawezekanaje Wananchi wanaoshindwa kununua chumvi na Sukari waweze kutengeneza Mabango ya Mapokezi yenye picha ya Rais kwa wingi namna hii ?
Hebu Jionee hawa wa Mtwara , halafu toa maoni yako .
Ukweli mtupu !!Wote wameshajua mama anapenda nini! Kama anapenda hayo sasa viongozi wa huko wafanyeje?
Wa kutengeneza hawa. Maraia wengi wa huko ni wach*v sanaInawezekanaje Wananchi wanaoshindwa kununua chumvi na Sukari waweze kutengeneza Mabango ya Mapokezi yenye picha ya Rais kwa wingi namna hii ?
Hebu Jionee hawa wa Mtwara , halafu toa maoni yako .
Inawezekanaje Wananchi wanaoshindwa kununua chumvi na Sukari waweze kutengeneza Mabango ya Mapokezi yenye picha ya Rais kwa wingi namna hii ?
Hebu Jionee hawa wa Mtwara , halafu toa maoni yako .
Uko nje ya mada , jibu swaliKama wewe humkubali wengine wanamkubali
Usiforce wote tumchukie rais bila sababu
Uko nje ya mada , jibu swali
Mkuu wa mkoa analinda ubwabwa wake!Inawezekanaje Wananchi wanaoshindwa kununua chumvi na Sukari waweze kutengeneza Mabango ya Mapokezi yenye picha ya Rais kwa wingi namna hii ?
Hebu Jionee hawa wa Mtwara , halafu toa maoni yako .
Kwa nini unasingizia Nyerere? Unajua kipindi cha Nyerere ndicho elimu ilikuwa bora na wahitimu walikuwa wanajitambua? Ulizia historia ya vyuo vikuu vya zamani usikie moto wake. Ndiyo ilikuwa chemchem ya maarifa, kuihoji serikali na kuongoza migomo. Ingekuwa ni zamani hii kashfa DP world vyuo vikuu ndiyo wangekuwa viongozi wa kuhoji.Ndugu yangu Elimu elimu elimu.... Nyerere ametumaliza😭😭😭😭
Hapo kuna Chawa,Wakereketwa,Wafulukutwa na Wafia Chama.Huwezi kukuta mtu mwenye akili timamu anamsimiliza huyu Bibi.Inawezekanaje Wananchi wanaoshindwa kununua chumvi na Sukari waweze kutengeneza Mabango ya Mapokezi yenye picha ya Rais kwa wingi namna hii ?
Hebu Jionee hawa wa Mtwara , halafu toa maoni yako .
Mambo kama haya kunakuwa na combination ya mambo mengi. Matumizi ya fedha, mkumbo wa kijinga, uhamasishaji, ushamba na ulimbukeni, kutokuwa na kazi za kufanya nk. Halafu wengi ni wale wasiojua hata leo jioni watakula nini. All in all, Tanzania bado watu hawajajua correlation kati ya maisha yao na siasa. Wanachukulia siasa kama ushabiki wa mpira ambao timu ifungwe au ifunge, haisadii chochote kwenye kipato chao.Inawezekanaje Wananchi wanaoshindwa kununua chumvi na Sukari waweze kutengeneza Mabango ya Mapokezi yenye picha ya Rais kwa wingi namna hii ?
Hebu Jionee hawa wa Mtwara , halafu toa maoni yako .
Hapo kuna Chawa,Wakereketwa,Wafulukutwa na Wafia Chama.Huwezi kukuta mtu mwenye akili timamu anamsimiliza huyu Bibi.
Mbona ni rahisi sana kupata jibu la swali lako mkuu 'Erythro', nami ningekuhimiza wewe; lakini hasa hasa wahusika katika chama (CHADEMA) walitafute hilo jibu la swali, kwani ni huko huko yatapatikana na majibu ya maswali mengine mengi mtakayotakiwa kupambana nayo wakati wa uchaguzi.Inawezekanaje Wananchi wanaoshindwa kununua chumvi na Sukari waweze kutengeneza Mabango ya Mapokezi yenye picha ya Rais kwa wingi namna hii ?
Hebu Jionee hawa wa Mtwara , halafu toa maoni yako .
Wapi niliposena siyo watanzania ?Kejeli nimejibu kwa hekima
Maana kwa akili za kawaida huezi uliza huo upuuzi na hali waona hao ni watz wenzako
Pumba tupu !Mkuu Tupo 60m utasemaje wote wasimskilize rais akati ndio kiongozi wa taifa yaani nikae kumskiliza lisu ambae hana msaada na mm
Upinzani ukiingia madarakan ntauskiza sio saiv hawana power yeyote kikatiba niwaskize ili iweje
Ni sawa na kuacha kumsikiliza baba yako anayekuhudumia kisa ni mlevi afu umskize baba wa jirani kisa mlokole