Hivi wanawake kuwakataa wanaume kiugomvi wanapotongozwa ni Afrika tu au ni janga la kidunia?

Hivi wanawake kuwakataa wanaume kiugomvi wanapotongozwa ni Afrika tu au ni janga la kidunia?

Mimi naamini mwanamke anaweza kukukataa kabisa na mkaendelea kushirikiana tena bila changamoto yeyote.

Fikiria mko ofisi moja ,mnafanya biashara pamoja,mnasali pamoja ,mnasoma pamoja n.k.mtu kakutongoza afu unamkataa kama Pepo au unamjibu vibaya , mwanaume unakuta Hanashida kashapotezea lakin unakuta mwanamke Hana Amani kabisa anaishi kama kunakaugomvi flani .

Mimi siamini kwamba eti kumtaa mtu vibaya kunaonyesha msisitizo ya kwamba hutaki,ziko njia nyingi za kumuonyesha mwanaume msisitizo kwamba humuitaji lakin siyo majibu mabaya

Na hatakama unamzarau mwanaume kiasi gani au humpendi kiasi gani au unaona Hana adhi yakuwa na wewe. Umetongozwa hutaki usitumie kama njia ya kumuonyesha jinsi gani unavyomzarau kataa Kwa hekima, mwanaume NI mtu Haya ni maisha huwezijua kesho. kunawatu Wana visasi unaezamchukulia simple ukatoka na mauti

Labda NI waambie wanawake kumkataa mwanaume bila kugombana naye na ukaendelea kushirikiana naye ,utaonyesha upekee WA Hali ya juu ,utaonyesha ni mwanamke jasiri usiyeyumbishwa. Mwanaume anaeshimu Sana maamuzi unayochukua unapotongozwa, mambo ya kugombana na mtu wakati NI Jambo linaloepukika NI upumbavu

Wanawake wekeni akilini kuwa kumkataa mtu Haina maana ya kwamba NI mbaya au siyo handsome
Hapana, NI kwamba hamwendani Tu na ndo maana wewe ukimkataa utakuta kesho Yuko na mwingine saa nyingine mzuri kuliko wewe , kinachomaanisha kwamba mlikuwa hamwendani.
Huwa ni jini mahaba ndani yake hulipuka kikataa ndume ingine ipewe mbususu anayoihondomola yeye mwenyewe kila siku na hata angekubali ingekua si tamu na ugimvi haushi...
 
Si nasikia wewe ndio umenifanya kampeni za chinichini niachike[emoji16]

Mie huyu? Mdogoako kipenzi!! Sio kweli kabisaaa!!
Ninavyoilavu kapo yenu mpk nikimuona bro anachombeza nakuita [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Itakuwa wanataka kutugombanisha hao
Bro mpk alinimind kwann nakuita anavyowapiga mistari mademu humu!!!
 
Hamna mi Nakuamini EX wangu wakisikiliza ushauri wakautumia vyema mambo ya kukataliwa yatabaki historia kwao[emoji16]

Mnatuchora nyie mmeshinda mmekumbatiana usiku kucha na morning glory mmepeana afu ex mfyuuuu!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mnataka wambea tuaibike
 
Hujui timing, huwezi kumwalika mtu mtoke out bila kujihakikishia kuwa ana utayari.
Jenga mazingira na uhakikishe tayari yupo relini mwako...kazi yako wewe ni kumalizia kitu kidogo sana.

Huwezi kukata mti shoka mbili tatu halafu unaanza kuusukuma eti udondoke...
Piga shoka za kutosha, kuna shoka ya mwisho hii hutumika kuuelekeza mti pa kuangukia...
ERoni
Extrovert
Mshana Jr
Hawa ma lejenti watakusaidia[emoji23][emoji23][emoji23]

Bro Idd Makengo kwenye vitu vyake pendwa [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
 
Kwasababu yeyote Ile atakayokukataa nayo ,je bhado mtaendelea kushirikiana kama zamani au ndo hata kama mko nyumba moja hata seblen hakai tena
Kwanza mkuu tambua kabisa ,wengi wa wanaume hatupendi kukataliwa mana huwa tuna mamulaka by nature,kitendo cha mwanamke kukukataa huwa tunaona kama ni kudharauliwa.
Hivyo mwanamke akikukataa kamwe huwezi kuendelea kushirikiana nae kwa mambo mengine kwa moyo mmoja hata mkiwa ofisi moja .

Kwa mwanamke ni nadra sana kumtongoza akukatae harafu aweke bifu kwako,lakini kwa men hiyo hutokea mana huwa hawapendi kuona tunakataliwa, inatokea hivyo japo si kwa wote.
 
Na usafi wa kinywa unazingatia? Unamtongoza mtu domo linatema harufu kwann tusianzishe ugomvi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Me napenda masihara usinimind bana NATANIA ila ndo ukweli wenyewe[emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
 
Mi nadhani kujibu kwako ivi kunamaanisha huna pesa pia ungekuwa nazo ungejua siyo solution kulingana mada ya huu uzi
Sasa unawezaje kuwa na PESA ukaanza kutongoza mwanamke na kulalamika tena Hawa wanawake wakibongo ambao hawana Exposure na Maisha
 
Kwanza mkuu tambua kabisa ,wengi wa wanaume hatupendi kukataliwa mana huwa tuna mamulaka by nature,kitendo cha mwanamke kukukataa huwa tunaona kama ni kudharauliwa.
Hivyo mwanamke akikukataa kamwe huwezi kuendelea kushirikiana nae kwa mambo mengine kwa moyo mmoja hata mkiwa ofisi moja .

Kwa mwanamke ni nadra sana kumtongoza akukatae harafu aweke bifu kwako,lakini kwa men hiyo hutokea mana huwa hawapendi kuona tunakataliwa, inatokea hivyo japo si kwa wote.
Of course Kwa upande wangu najiskiaga vibaya Tu for hours kama NI mtu nimempenda ,of coz bado ntaendelea kumpenda tatizo anavoanza kujishtukia anakukwepa ,anakuwa Hana Raha mahali ulipo, akiwa na tatizo anaweza hata kumuomba mtu amsaidie.sasa ndo inakera kabisaa ,bado ningetamani tuendelee kuzungumza Kwa Amani na furaha hata kama umenikataa.
 
Sasa unawezaje kuwa na PESA ukaanza kutongoza mwanamke na kulalamika tena Hawa wanawake wakibongo ambao hawana Exposure na Maisha

Kama wewe hauna fedha Waulize wenye fedha unaowafahamu KAMA kila mwanamke wanaemtaka Wanampata ,kama akikwambia wapo wanaokataa bhasi jua siyo solution
 
Back
Top Bottom