Hivi wanawake kuwakataa wanaume kiugomvi wanapotongozwa ni Afrika tu au ni janga la kidunia?

Hivi wanawake kuwakataa wanaume kiugomvi wanapotongozwa ni Afrika tu au ni janga la kidunia?

Na wewe hautongozagi ndo maana hujawahi kubwagwa na Kwasababu hiyo matatizo yako NI makubwa kuliko yangu
Mimi namwaga cash kama Sina akili hamna demu bongo wa kunikataa
 
Hujui timing, huwezi kumwalika mtu mtoke out bila kujihakikishia kuwa ana utayari.
Jenga mazingira na uhakikishe tayari yupo relini mwako...kazi yako wewe ni kumalizia kitu kidogo sana.

Huwezi kukata mti shoka mbili tatu halafu unaanza kuusukuma eti udondoke...
Piga shoka za kutosha, kuna shoka ya mwisho hii hutumika kuuelekeza mti pa kuangukia...
ERoni
Extrovert
Mshana Jr
Hawa ma lejenti watakusaidia😂😂😂
Hahahah wasipoelewa achana nao😀wandewa tuishi sana.
 
Ukiona hali hiyo inatokea ujue umemkera.
Kuna namna ukimtongoza mwanamke hujenga chuki kwa kuona umemdharau.

Kila mwanamke ana namna yake ya kumtokea, ukifanya vinginevyo unamkosa.
1. Kuna wanawake pesa kwao ni kanuni namba 1, ukimpa au ukaonyesha dalili za pesa hapo kwake amelowana.

2. Kuna hawa hujifanya wagumu kwanza lkn deep down yuko tayari anataka umuonyeshe kweli uko siriazi unamtaka atakusumbua kwa muda lkn sio kuwa hakutaki bali angalau ajiridhishe.

3. Kuna wanawake flani nao ukitanguliza pesa huona umemshusha thamani huyu anaweza kukubonda kwa maneno makali sana kuwa kitendo hicho umemshusha thamani...sio kwamba hawapendi pesa au hawataki...no, wana namna yao ya kuwa aprochi...ukimuwezea huwa wana mahusiano matamu sana.

Hitimisho:
Kabla hujaanza blablaa zako za mtongozo hakikisha umeshamjua unayemtaka ni mtu aina gani kati ya hao watatu.

Note: wanawake wote duniani wanapenda pesa lakini wanatofautiana namna ya kutaka kupewa hizo pesa.

Nawaita hapa watupe somo wenyewe: Hannah Joanah To yeye Amehlo
Nourhan Kapeace ephen_
Hizi ni steel bars za kiwango cha standard gauge
 
Ha! ha! ha! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bro akiendelea kukaza fuvu anamkosa mke wa ujana wake
Tatizo kama nataka kumuacha hivi,kama nataka kumng'ang'ania hivi hata sielewi!sijui alinipa Nini huyu kaka yako
 
Tatizo kama nataka kumuacha hivi,kama nataka kumng'ang'ania hivi hata sielewi!sijui alinipa Nini huyu kaka yako

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huyo wa kwako mbona, kwanza bff wangu missy Gf yupo busy kwenye uzi wa kutafuta mwenza wa ndoa [emoji2088][emoji2088][emoji2088]
 
Mimi naamini mwanamke anaweza kukukataa kabisa na mkaendelea kushirikiana tena bila changamoto yeyote.

Fikiria mko ofisi moja ,mnafanya biashara pamoja,mnasali pamoja, mnasoma pamoja n.k.mtu kakutongoza afu unamkataa kama Pepo au unamjibu vibaya, mwanaume unakuta Hanashida kashapotezea lakin unakuta mwanamke Hana Amani kabisa anaishi kama kunakaugomvi flani .

Mimi siamini kwamba eti kumtaa mtu vibaya kunaonyesha msisitizo ya kwamba hutaki,ziko njia nyingi za kumuonyesha mwanaume msisitizo kwamba humuitaji lakin siyo majibu mabaya.

Na hatakama unamzarau mwanaume kiasi gani au humpendi kiasi gani au unaona Hana adhi yakuwa na wewe. Umetongozwa hutaki usitumie kama njia ya kumuonesha jinsi gani unavyomzarau kataa Kwa hekima, mwanaume ni mtu Haya ni maisha huwezijua kesho. kunawatu Wana visasi unaezamchukulia simple ukatoka na mauti.

Labda niwaambie wanawake kumkataa mwanaume bila kugombana naye na ukaendelea kushirikiana naye, utaonyesha upekee wa ali ya juu, utaonyesha ni mwanamke jasiri usiyeyumbishwa. Mwanaume anaeshimu Sana maamuzi unayochukua unapotongozwa, mambo ya kugombana na mtu wakati ni Jambo linaloepukika ni upumbavu.

Wanawake wekeni akilini kuwa kumkataa mtu Haina maana ya kwamba ni mbaya au siyo handsome
Hapana, ni kwamba hamwendani Tu na ndo maana wewe ukimkataa utakuta kesho Yuko na mwingine saa nyingine mzuri kuliko wewe, kinachomaanisha kwamba mlikuwa hamwendani.
Huyo anakupenda anajishaua tu
 
Back
Top Bottom