Hizi ndege za ATCL zimemkosea nini Lissu? Mbona anaziwazia mabaya tu?

Hizi ndege za ATCL zimemkosea nini Lissu? Mbona anaziwazia mabaya tu?

Leo akizungumza na Waandishi wa Habari ,

Wakili msomi wa kwenye majukwaa Bwn. Tundu Lisu amesikika akijinasibu kuwa kesi yake dhidi ya Tigo na serikali ya Tanzania kuhusiana na madai ya kuvujishwa kwa data za mawasiliano yake ambayo mpaka sasa madai hayo hayajathibitishwa pasi na shaka yeyote,

Endapo akifanikiwa madai yake ya mapesa, basi atakua akikamata tu ndege zetu huko nje.

Hii si mara ya kwanza kwa Lisu kupambana na ndege za ATCL kwani uvumi upo kwamba yeye ndiye aliyemshtua yule mkulima kuzikamata ndege zetu huko nje.

Inashangaza namna huyu mgombea Urais wa Taifa hili asivyopenda kuona maendeleo kwa Taifa lake.

Hataki kuona ndege zikiruka.

Tuna mashaka na uzalendo wake, aligombea urais 2020 ili akafanye nini?? Akaliue Shirika au aifilisi nchi.

Tuna mshaka nae.
Lazima zidakwe au kama vipi mlipe fidia. Maana huwa hamlipi hadi ndege zidakwe.
 
Leo akizungumza na Waandishi wa Habari ,

Wakili msomi wa kwenye majukwaa Bwn. Tundu Lisu amesikika akijinasibu kuwa kesi yake dhidi ya Tigo na serikali ya Tanzania kuhusiana na madai ya kuvujishwa kwa data za mawasiliano yake ambayo mpaka sasa madai hayo hayajathibitishwa pasi na shaka yeyote,

Endapo akifanikiwa madai yake ya mapesa, basi atakua akikamata tu ndege zetu huko nje.

Hii si mara ya kwanza kwa Lisu kupambana na ndege za ATCL kwani uvumi upo kwamba yeye ndiye aliyemshtua yule mkulima kuzikamata ndege zetu huko nje.

Inashangaza namna huyu mgombea Urais wa Taifa hili asivyopenda kuona maendeleo kwa Taifa lake.

Hataki kuona ndege zikiruka.

Tuna mashaka na uzalendo wake, aligombea urais 2020 ili akafanye nini?? Akaliue Shirika au aifilisi nchi.

Tuna mshaka nae.
Kama haki iko upande wake ni halali ndege zikamatwe.
 
Leo akizungumza na Waandishi wa Habari ,

Wakili msomi wa kwenye majukwaa Bwn. Tundu Lisu amesikika akijinasibu kuwa kesi yake dhidi ya Tigo na serikali ya Tanzania kuhusiana na madai ya kuvujishwa kwa data za mawasiliano yake ambayo mpaka sasa madai hayo hayajathibitishwa pasi na shaka yeyote,

Endapo akifanikiwa madai yake ya mapesa, basi atakua akikamata tu ndege zetu huko nje.

Hii si mara ya kwanza kwa Lisu kupambana na ndege za ATCL kwani uvumi upo kwamba yeye ndiye aliyemshtua yule mkulima kuzikamata ndege zetu huko nje.

Inashangaza namna huyu mgombea Urais wa Taifa hili asivyopenda kuona maendeleo kwa Taifa lake.

Hataki kuona ndege zikiruka.

Tuna mashaka na uzalendo wake, aligombea urais 2020 ili akafanye nini?? Akaliue Shirika au aifilisi nchi.

Tuna mshaka nae.
Kumyima mtu haki yake ndiyo uzalendo? Yaani leo hii nikiishtaki serikali kwenyye kesi ya madai na nikashinda, serikali ikawa haitaki kunilipa unataka nikae tu hivyo hivyo milele? ndiyo uzalendo huo? kesi za kimataifa utalipa tu, utake usitake ni suala la muda
 
Lissu ashughulike na waliomshambulia,

Aachane na ndege zilizotokana na JASHO na Kodi zetu.
Wenye IQ ndogo ndio watashabikia hii, kama ulimsikiliza Lisu na alichotaka tujue mambo ya ndege ilikuwa ni mfano tu na sio iliobeba hoja zake. Wanaotaka kuhamisha magori ndio wanachukua na kutafuta pa kupindia, kwa kifupi wanahamisha gori mana tayari kimeumana nyavuni. We chungulia nyavuni kama una iq ya kuona.
 
Zinamsaidia Lissu pia usafiri, huzipanda mara Kwa mara.

Wananchi maskini tusiumizwe Kwa ugomvi unaohusu wasiojulikana na TUNDU Lissu.

Ashughulike na waliomshambulia kijinai bila kutuhusisha wananchi tulionunua ndege hizo Kwa JASHO letu.

Na hapo ndipo Hasa Kuna watu hudhani kuwa Lissu anatumika na magharibi.

Punguza unafiki na uchawa.
 
Leo akizungumza na Waandishi wa Habari ,

Wakili msomi wa kwenye majukwaa Bwn. Tundu Lisu amesikika akijinasibu kuwa kesi yake dhidi ya Tigo na serikali ya Tanzania kuhusiana na madai ya kuvujishwa kwa data za mawasiliano yake ambayo mpaka sasa madai hayo hayajathibitishwa pasi na shaka yeyote,

Endapo akifanikiwa madai yake ya mapesa, basi atakua akikamata tu ndege zetu huko nje.

Hii si mara ya kwanza kwa Lisu kupambana na ndege za ATCL kwani uvumi upo kwamba yeye ndiye aliyemshtua yule mkulima kuzikamata ndege zetu huko nje.

Inashangaza namna huyu mgombea Urais wa Taifa hili asivyopenda kuona maendeleo kwa Taifa lake.

Hataki kuona ndege zikiruka.

Tuna mashaka na uzalendo wake, aligombea urais 2020 ili akafanye nini?? Akaliue Shirika au aifilisi nchi.

Tuna mshaka nae.
Je wewe wapenda maendeleo ha taifa lako.
 
Hatuongelei kupigwa risasi, tunaongelea uzalendo wake ndani nchi hii "kwanini anaziombea mabaya ndege hizo zimemkosea nini"
Inashangaza uzalendo wake unatokana na nini kama kila mara anachowaza ni kukamata tu ndege za ATCL ,

Hatujui tu akilini mwake anawaza nini hatari zaidi ya kukamata hizo ndege.

Hivi huwa anagombea Urais ili akafanye nini??
 
Rafiki yangu naona una hamisha magoli.

Unabinya pazuri ili timu Magu wafufuke dhidi ya Lissu?
Mkuu,

Inasikitosha tu namna huyu msomi nguli anavyotaka kuona shirika la ndege la nchi anayotaka awe Rais likiteketea.
 
Inashangaza uzalendo wake unatokana na nini kama kila mara anachowaza ni kukamata tu ndege za ATCL ,

Hatujui tu akilini mwake anawaza nini hatari zaidi ya kukamata hizo ndege.

Hivi huwa anagombea Urais ili akafanye nini??

Wakati mnamminia risasi hamkujua neno uzalendo?. Yani kwenye roho ya mtu uzalendo hamna ila kwenye mapangaboi ndio unalazimisha uzalendo.
 
Back
Top Bottom