Hizi ndege za ATCL zimemkosea nini Lissu? Mbona anaziwazia mabaya tu?

Hizi ndege za ATCL zimemkosea nini Lissu? Mbona anaziwazia mabaya tu?

Leo akizungumza na Waandishi wa Habari ,

Wakili msomi wa kwenye majukwaa Bwn. Tundu Lisu amesikika akijinasibu kuwa kesi yake dhidi ya Tigo na serikali ya Tanzania kuhusiana na madai ya kuvujishwa kwa data za mawasiliano yake ambayo mpaka sasa madai hayo hayajathibitishwa pasi na shaka yeyote,

Endapo akifanikiwa madai yake ya mapesa, basi atakua akikamata tu ndege zetu huko nje.

Hii si mara ya kwanza kwa Lisu kupambana na ndege za ATCL kwani uvumi upo kwamba yeye ndiye aliyemshtua yule mkulima kuzikamata ndege zetu huko nje.

Inashangaza namna huyu mgombea Urais wa Taifa hili asivyopenda kuona maendeleo kwa Taifa lake.

Hataki kuona ndege zikiruka.

Tuna mashaka na uzalendo wake, aligombea urais 2020 ili akafanye nini?? Akaliue Shirika au aifilisi nchi.

Tuna mshaka nae.
Mrudishieni mguu wake ndo atawaacha. Mlimpiga mguu naye anataka usafiri wetu aondoke nao
 
..hakuna mwanasiasa na mwanaharakati ametumia taaluma yake kuwapigania Watanzania kama Tundu Lissu " Simba wa Tanganyika. "
Ofcourse alitumia elimu yake kuita ripoti inayotetea maslahi ya nchi "taka taka"
 
Leo akizungumza na Waandishi wa Habari ,

Wakili msomi Bwn. Tundu Lissu amesikika akijinasibu kuwa kesi yake dhidi ya Tigo na serikali ya Tanzania kuhusiana na madai ya kuvujishwa kwa data za mawasiliano yake ambayo mpaka sasa madai hayo hayajathibitishwa pasi na shaka yeyote.

Endapo akifanikiwa madai yake ya mapesa, basi atakua akikamata tu ndege zetu huko nje.

Hii si mara ya kwanza kwa Lisu kupambana na ndege za ATCL kwani uvumi upo kwamba yeye ndiye aliyemshtua yule mkulima kuzikamata ndege zetu huko nje.

Inashangaza namna huyu mgombea Urais wa Taifa hili asivyopenda kuona maendeleo kwa Taifa lake.

Hataki kuona ndege zikiruka.

Tuna mashaka na uzalendo wake, aligombea urais 2020 ili akafanye nini? Akaliue Shirika au aifilisi nchi.

Tuna mshaka naye.

PIA SOMA
- Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
Hivi wewe una elimu gani?
 
Nanyie amewakosea nini mbona mlitaka kumuua?
Leo akizungumza na Waandishi wa Habari ,

Wakili msomi wa kwenye majukwaa Bwn. Tundu Lisu amesikika akijinasibu kuwa kesi yake dhidi ya Tigo na serikali ya Tanzania kuhusiana na madai ya kuvujishwa kwa data za mawasiliano yake ambayo mpaka sasa madai hayo hayajathibitishwa pasi na shaka yeyote,

Endapo akifanikiwa madai yake ya mapesa, basi atakua akikamata tu ndege zetu huko nje.

Hii si mara ya kwanza kwa Lisu kupambana na ndege za ATCL kwani uvumi upo kwamba yeye ndiye aliyemshtua yule mkulima kuzikamata ndege zetu huko nje.

Inashangaza namna huyu mgombea Urais wa Taifa hili asivyopenda kuona maendeleo kwa Taifa lake.

Hataki kuona ndege zikiruka.

Tuna mashaka na uzalendo wake, aligombea urais 2020 ili akafanye nini?? Akaliue Shirika au aifilisi nchi.

Tuna mshaka nae.
 
Punguza unafiki na uchawa.
Wananchi maskini hatukuhusika kumshambulia Lissu Kwa risasi,

Yeye adai mashauri ya kijinai Si faida za kiuchumi Toka kwenye Kodi zetu.

Mwisho wa siku hata pesa za matibabu alichangiwa na wananchi maskini.
 
Nanyie amewakosea nini mbona mlitaka kumuua?
Kina nani hao maana mpaka sasa tunasikia tuhuma tu.

Hata huyo mzungu ambaye kamfanya kama reference nae kasikia tu.
 
Sheria inaruhusu, attachment of property
Sasa Lissu mmoja tu asa abishe umma wa Watanzania kulipishwa kufidia HASARA aliyopata?

Mimi sishabikii ubaya aliofanyiwa Lissu, namaanisha kuwa, akifanyacho Lissu kutushtaki Watanzania ni sawa na kuchoma nyumba Ili kuua nyoka aliyeingia ndani ya nyumba.

Twende taratibu.
 
Ukitaka adui aliyekuumiza piga panapouma sana hasa anaowapenda au anachokipenda zaidi.
Sisi Watanzania maskini wavuja JASHO hatukuhusika kumshambulia Lissu,

Wahusika watafutwe kijinai na wafungwe,

Habari ya kutumia Kodi zetu kumlipa fidia ya mabilioni Mimi siliafiki.
 
..ripoti zile ni takataka kweli.

..si umeona jinsi makampuni ya mabeberu yanavyotupiga kwa mafaini kutokana na maamuzi yaliyofanyika kwa kuongozwa na upumbavu wa ripoti zile?
Umeandika mada zaidi ya moja kwa wakati mmoja.

Zitenganishe kwanza halafu urejee tujadiliane kwa mapana yake.
 
Soon mtatajana wenyewe, dhulma haidumu, haki itacheleweshwa tu ila lazima itashinda.
Sasa mkuu wewe unaona ni sawa kabisa nchi isiwe na shirika lake la ndege??
 
Sisi Watanzania maskini wavuja JASHO hatukuhusika kumshambulia Lissu,

Wahusika watafutwe kijinai na wafungwe,

Habari ya kutumia Kodi zetu kumlipa fidia ya mabilioni Mimi siliafiki.
Kuna aliyeonesha nia ya kuwatafuta wahusika?Acha afanye litakalomsuuza moyo wake.Naamini kila akiziona hizo ndege anaona sura ya mbaya wake.
 
Back
Top Bottom