Basi naomba unijibu hili swali je kwako wewe unaamini kwamba mahusiano bora ni yale ambayo mwanamke anafanya majukumu mengi kuliko mwanaume?Unajua kama mwanaume ni tofauti na mwanamke? Na hii elimu ya wazungu waliyotuletea ya 50 50 ni ya uongo wanataka tusielewane. Hivi leo ni ngumu kupata mahusiano imara! Nahii inaletwa na hiyo 50 50 kwa sababu wote tunakuwa tumepoteza lengo la mahusiano yetu, mwanaume akiwa nakipato kikubwa ni shida! Mwanamke akipata ndiyo balaa zaidi.
Kwangu hapana! But kila mmoja ayajue majukum yake! mimi japokua sijaoa lakini naona kama kila mmoja atasimama kwenye nafasi yake basi mahusiano yatakuwa kama paradiso 🤣🤣Basi naomba unijibu hili swali je kwako wewe unaamini kwamba mahusiano bora ni yale ambayo mwanamke anafanya majukumu mengi kuliko mwanaume?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivi kwani kuna ubaya au ajabu mwanamke kutokuwa na hela na kumuomba mpenzi au mume wake hela? Yaani wanaume mnajisahau kwamba ninyi ndo mliambiwa mle kwa jasho lenu ila wanawake hatukuambiwa hivyo
Sasa nashangaa leo hii jamii inalazimisha mwanamke naye ajitegemee halafu ndo nyie nyie mnaosema hamtaki haki sawa sasa hamtaki haki sawa halafu mnataka wapenzi wenu au wake zenu wasiwaombe hela?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sorry Mkuu mimi nilijua wewe demu
Hebu nitajie wewe majukumu ya kila mmoja unayoyajua maana mimi hayo niliyotaja umeyakataaKwangu hapana! But kila mmoja ayajue majukum yake! mimi japokua sijaoa lakini naona kama kila mmoja atasimama kwenye nafasi yake basi mahusiano yatakuwa kama paradiso [emoji1787][emoji1787]
We uliambiwa utakula kwa jasho lako ila mwanamke hakuambiwa hivyoWapi hapo wanawake wameamrishwa kuwa tegemezi?
Katika kikao cha wanaume kijacho tutajili agenda ifuatayo
"umuhimu wa kuoa demu wa kishua"
Kwangu mwanamke anae jitambua ambae anahakikisha watu wa nyumbani wameshiba huyo nampa heshima sana! Kuhusu kumsaidia majukumu kwanini ni simsaidie? Ikiwa Kweli naona kabisa hapa kunahitajika masaada!!Hebu nitajie wewe majukumu ya kila mmoja unayoyajua maana mimi hayo niliyotaja umeyakataa
Kwahiyo anayefanya hivyo tu basi tayari anafaa kuwa mke mengine hata asipofanya haina shida na pia hata asipotafuta pesa haina shida?Kwangu mwanamke anae jitambua ambae anahakikisha watu wa nyumbani wameshiba huyo nampa heshima sana! Kuhusu kumsaidia majukumu kwanini ni simsaidie? Ikiwa Kweli naona kabisa hapa kunahitajika masaada!!
Mbona wanaume mnafanya vitu kutegemeana na tabia za wake zenu basi acheni na wanawake wafanye vitu kutegemeana na matendo ya waume zao yaani hautaki kumhudumia mkeo halafu unataka yeye akutii?
Basi ndo maana ndoa nyingi siku hizi wanaume wanalalamika kuwa wake zako hawana utii na kwa mtazamo huo wataendelea kulalamika kila siku hakuna mwanamke anayependa kufanya majukumu mengi kuliko mume wake halafu bado akaendelea kuwa chini ya mume wake
Yaani ni wagumu haswa na hawataki kuukubali ukweliHa ha ha naona unawaelimisha wanaume hawa...tatizo wagumu kuelewa
niliambiwa na nani? Hivi unajua wachina wako zaidi ya bilioni moja, na hawaamini katika hicho unachoamini wewe? Eti umeambiwa, eti mwanamke hakuambiwa!! Unaleta imani kwenye maswala serious,, ndo maana tutabaki maskini daimaWe uliambiwa utakula kwa jasho lako ila mwanamke hakuambiwa hivyo
Kuna kuomba pesa na kufanyana vitega uchumi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivi kwani kuna ubaya au ajabu mwanamke kutokuwa na hela na kumuomba mpenzi au mume wake hela? Yaani wanaume mnajisahau kwamba ninyi ndo mliambiwa mle kwa jasho lenu ila wanawake hatukuambiwa hivyo
Sasa nashangaa leo hii jamii inalazimisha mwanamke naye ajitegemee halafu ndo nyie nyie mnaosema hamtaki haki sawa sasa hamtaki haki sawa halafu mnataka wapenzi wenu au wake zenu wasiwaombe hela?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani mchina ni nani? Kama wewe ni mtu usiye na imani basi naomba tufunge huu mjadala maana mabishano ya kiimani hayajawahi kuisha baki na unachoamini na mimi nibaki na ninachoamini.niliambiwa na nani? Hivi unajua wachina wako zaidi ya bilioni moja, na hawaamini katika hicho unachoamini wewe? Eti umeambiwa, eti mwanamke hakuambiwa!! Unaleta imani kwenye maswala serious,, ndo maana tutabaki maskini daima