Hizi ndizo tabia za mabinti kutoka familia njaa/maskini

Aaah mkuu madada wa siku hz walafiii.
Wanataka mpk matumiz yasiyo na tija.
Nilimpata dada wa kipare"kuddadaaadekiiii"niliisoma anataka mambo ya high class kupitiliza.
Lakn nimempata mtt wa kikongo yeye huwa anataka matumiZ ktk mambo yenye tija tyuu.
Umeona utofauti hapo.
Yani vyura au viswaswadu wana mashauzi mengi then nothing uozo mtupu.
Kumbuka wewe majukumu yake hauyafanyi lakini
 
Wewe,demu/binti wa kuoa hutoka kwa Mungu,ingwa Pastor Kuria anasema ukitaka mume/mke toka nje utafute,usisali na kujifungia chumbani.

Kuoa maskini au wa kishua unaweza wa kubahatisha,lakini wa kishua kama wewe ni below 50% TBS utaishia kuwaita mashemeji tu na kukojolea mitaro ya maji taka Manzese tu.

Atoke pazuri aje kuteseka kwa mnuka jasho?Hakuna asiyependa raha hata kama una kichomeo cha almasi na kupakwa gold.

Unayeweza kumpata ni Mkuu Edelyn tu maana yeye ni choka mbaya na hachagui mpini wenye tbs bora limekucha tu.
Katika kikao cha wanaume kijacho tutajili agenda ifuatayo

"umuhimu wa kuoa demu wa kishua"
 
[emoji848][emoji848]mara choka mbaya mara mtoto wa kishua
Mkuu,ili nipate jasho la kikwapwa na kwenda kuhadithia kijiweni mtoto wa kishua kanipiga kibusti??Hehehehehe
 
Nilibadili mawazo baada ya wewe kusema "try me"nikajua kumbe totozi la kishua sio Hadija kanda mbili ndefu.

Ila mimi huwa siangalii,awe wa kishua au choka mbaya alimradi nimeridhia siachi kitu,napangusa tu.

Tutamaliza bucha zote lakini nyama ni ile ile tu.

Hahahahaha
[emoji848][emoji848]mara choka mbaya mara mtoto wa kishua
 
Haya
 
Wapo wazembe wapo kila mahali tunawaita bushoke .hasa nyie mnaopenda 50/50 mnapenda usawa mnawatawala sana na mnawazidi asilimia misemo yenu mkishamtawala mnadai mmewaweka kweny kiganja hafurukuti aongei kitu
 
Tofautisha tabia ya kuendekeza njaa njaa, swaga za binti maskini na kumhudumia mpenzi wako tu kwa moyo.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Hili ndio haswa linaenda kutokea very soon. Machali wana slay tu hawataki tabu. Wanapendeza na kujikoboa na wanatembeza free za mkuyenge tu.
 
We usiongee tu kwa vile una mdomo, on a serious note. Hio kazi yako upo tayari kuiacha ili uwe mama wa nyumbani na uishi maisha ndani ya kipato changu bila kunistress na tamaa za kijinga!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…