Hizi ndoa mbona ngumu sana au ni kwangu tu?

Team KATAA NDOA TUNAZIDI KUPATA POINTS ZETU ZA USHINDI.


KATAA NDOA .
 
Kabla ya kuoa hukupewa ABC mkuu,au ndio wale mnaosema utambadilisha akishakuwa wa kwako...
 
Hauna wazazi, wajomba, kaka, watu wa makamo huko kwenu, labda ka unataka comments na likes ndo utazpata apa
 
Hilo ni bomu, acha kabisa
 
Hapo kwenye hayo mabaraza ndio Siri zenu zinajulikana, kama mke anapigwa nje Kila mtu atajua kwa jinsi watu walivyo wambea, shida tupu
 
umpe taraka mkeo ubaki singo ule watoto wetu wa sekondari!
Ova tukikukamata
 
Nyokooooi
 
Ndoa ikikushinda mnakaa chini na kuacha kwa amani tu sio mpaka mnalazimishwa kukaaa hivyo hivyo kuvumiliana mpaka mpigane visu ndio ndoa iwe mwisho.
 
Nina kama wiki hivi nitoka kutoa red card kwa wife...nao kawa x-wife
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…