Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
AiseeHizi ndoa hapana wakuu!
Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa.
Mfano:-
NB: Naomba utaratibu wa kumpa mtu talaka.
- Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na x wake ujue hiyo hali itaendelea mpaka ndoani na wanaweza wakazaa na mtoto na ukamsomesha kabisa.
- Umeona mchumba wako ana jazba ujue ukioa/olewa nae atakuwa anajaziba Mara kumi.
Pole. Hizo inaitwa ''red flags'' kizungu. Uliziona wakati wa uchumba na wewe ukaendelea na ndoa? Tabia mbaya anayoonyesha wakati wa uchumba itazidi mara mbili mkioana.Hizi ndoa hapana wakuu!
Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa.
Mfano:-
NB: Naomba utaratibu wa kumpa mtu talaka.
- Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na x wake ujue hiyo hali itaendelea mpaka ndoani na wanaweza wakazaa na mtoto na ukamsomesha kabisa.
- Umeona mchumba wako ana jazba ujue ukioa/olewa nae atakuwa anajaziba Mara kumi.
GT RRONDO yeye anacheza na Prenup tu akioaHizi ndoa hapana wakuu!
Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa.
Mfano:-
NB: Naomba utaratibu wa kumpa mtu talaka.
- Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na x wake ujue hiyo hali itaendelea mpaka ndoani na wanaweza wakazaa na mtoto na ukamsomesha kabisa.
- Umeona mchumba wako ana jazba ujue ukioa/olewa nae atakuwa anajaziba Mara kumi.
Aisee nini wewee ntakufuata hapo ulipo nikukate mfululizo wa makofi ya uhakika na hatarii.Aisee
Oa weweeSafi sana
π π π ni mwendo wa kitu kizito tu, mpaka waseme
Mkuu ndoa ni utaoeli. Mwezi wa jana kijana mmoja kafunga ndoa hapa mtaani kwetu ulhali kabla ya kuoa nilimuonya aachane na huo mpango akanipuuza. Yanayompata sasa ndani ya ndoa ni majuto ni mjukuu.Hizi ndoa hapana wakuu!
Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa.
Mfano:-
NB: Naomba utaratibu wa kumpa mtu talaka.
- Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na x wake ujue hiyo hali itaendelea mpaka ndoani na wanaweza wakazaa na mtoto na ukamsomesha kabisa.
- Umeona mchumba wako ana jazba ujue ukioa/olewa nae atakuwa anajaziba Mara kumi.
haya Mambo Yanaumiza sana hata mm nikitoka kwenye hili janga sidhani kama nitaoa tena
Tatizo alivyokuwa anashauriwa kuwa mwanamke ni tabia, yeye alitafuta mwenye tako huku akijibu kwa kijeli "akili tutatumia zangu ".Pole sanaa kakaa jamani hizi ndoa zina nn?me nionavyo n wanawake wachache sanaa wanakuwa wakaidi kwa waume zao wanaowapenda kweli na kuwajali.mmefikaje hapo?je ulkuwa mume mzuur kwa mkeo?jamani wanaume hakuna miujizaaa ww kama unamuendea mwenzio kinyume then utegemee yeye awe mwema kwako unaotaaa tena aamka kwenye huo usingizi.