FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,169
- 13,455
Ilikuwa ni those days. Pia hizo bidhaa ni viwanda vya wazungu so pesa inabaki kwenye circle ya wachache.Halafu kuna mtu anakwambia tz imeendelea kuliko kenya.
Sisi tunauza kwao mazao ya shambani ambayo pesa inaingia direct kwa mwananchi wa kawaida.