fiks tu mkuu soma hapa 3:15 wagalatia kisha 11:25-26 matendo ya mitume (antiokia) , yesu mwenyewe alikataa kuitwa kristo matayo 16:20, pia luka 9:18-21, mtu wa kwanza kuvunja tamko la yesu ni Paulo 18:5-6 matendo ya mitume na pia ali pata pingamizi alipo taka kumuingiza mfalme Agripa ktk ukristo 26:27-29 matendo ya mitume, rejea yohana 4:25Kumbe Biblia si maneno ya Mungu?, mbona watumishi wakinukuu Biblia husema ni neno la Mungu?
Itoshe kusema hivi, "Itoshe kusema umeandika upumbavu mtupu.
Alikua yeye na Malaika zake1. Kwenye Mwanzo 1:26 imeandikwa kuwa Mungu alisema tuumbe mtu kwa mfano wetu. Nimejiuliza ina maana uumbaji ulifanywa nae kwa kushirikiana na wengine? Hakuwa peke yake? Hao wengine kina nani?
Kuna baadhi ya maandiko yaliandikwa na waleviAngalau kwa biblia ila Kuna kitabu hiko Kuna Aya hadi leo inanifikirisha sana na sielewi kwanini wafuasi wake wanakaza shingo kukiamini
Qu'ran 2:97
Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
Nani ni adui wa Jibril? Jibu ni shetani
Kwanini shetani ateremshe Quran na tunaambiwa kuran ni tukufu?
Hili swali haitatakea nikapata jibu la kuridhika
Hapo ndio chimbuko la bwana alitoa bwana ametwaa Jina lake lihimidiwe3. Kutoka 11:5-6 kuna maandiko yanayosema kuwa wazaliwa wa kwanza wote wa wamisri kwa upande wa binadamu hadi wanyama watauwawa na Mungu mwenyewe ili waisraeli wapewe ruhusa ya kwenda nchi ya ahadi. Kiukweli haya yalikuwa ni mauaji ya halaiki kwa wasio na hatia. Unaambiwa hadi mzaliwa wa kwanza wa mbuzi, kuku, ng'ombe, mbwa na farasi waliuwawa. Kwanini isingetumika njia nyingine hao waisraeli wakaondoka?
1. Si kweli kiswahili kina 95% ya maneno ya kiarabu kwahiyo huu ni UONGOKama kweli unataka kujua ilitakiwa umtafute anayejua akufundishe
Quran imeletwa Kwa lugha ya kiarabu na kiswahili ni mtoto wa lugha ya kiarabu Yani 95% ya misamiati ya kiswahili ni kiarabu hivyo kiswahili akina uwezo wa kutafsiri Kwa ufasaha lugha ya kiarabu
Ila maana halisi ya hiyo Aya ni hii yapa
Sema:Anayemfanyia uadui Jibrail(anajisumbua),hakika yeye(Jibrail) ameiteremsha (Qur’an) moyoni mwako,kwa idhni ya Mwenyeezi Mungu,inayosadikisha yale yaliyokuwa kabla yake,na ni uongofu na bishara ya waumini”.
So mungu ndo anaua?
Lakini kuran imeshushwa Sasa mlevi yupi aliishusha?
Biblia, Koran na vijarida vingine vyote ni mawazp ta binadamu waliolenga kuwatawala kifikra binadamu wenzao (wasio na ufahamu)
Ukitoka nje ya box ykasoma hivyo vitabu utagundua makosa mengi mno na utashangaa inakuwaje watu wazima wanaviheshimu kiasi cha kuwa tayari kumchinja anayevikosoa!
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Wewe ni mpumbavu coz Mungu kamtaja mama, while sayansi yako haija Mtaja mama, kama Mungu ni muongo na hayupo pingana na maneno yake Kwa maana nenda kamle mama yako, kwani kipi kigumu?, mama yako hana papuchi?, hapa ni Mungu (through books and mitume) vs sayansi (na Wanasayansi logics)Hujathibitisha Mungu yupo.
Umeleta logical non sequitur fallacy.
Inayoonesha ujinga wako.
Ujinga unaothibitisha Mungu hayupo.
Kwa sababu, angekuwepo, asingeumba mtu mjinga kama wewe.
Mkuu hzo ni nguo tu
Hostadhi vipi hapo?Mkuu hzo ni nguo tu
Hujathibitisha Mungu yupo, unaleta stories za imani tu.K
Wewe ni mpumbavu coz Mungu kamtaja mama, while sayansi yako haija Mtaja mama, kama Mungu ni muongo na hayupo pingana na maneno yake Kwa maana nenda kamle mama yako, kwani kipi kigumu?, mama yako hana papuchi?, hapa ni Mungu (through books and mitume) vs sayansi (na Wanasayansi logics)
Mkuu hzo ni nguo tu
Mkuu, pesa yako tu unaweza nunua na uka vaa, nchi ya amani hii, sisi sote ni ndugu (Islam & christians)Hostadhi vipi hapo?
Mtakesha mpaka asubuhi to question your maker ni sawa na Samaki ndani ya chupa ya majiHujathibitisha Mungu yupo, unaleta stories za imani tu.
Huyo ni HustadhiMkuu, pesa yako tu unaweza nunua na uka vaa, nchi ya amani hii, sisi sote ni ndugu (Islam & christians)
Unaongeza ukakasi zaidi.
Hiyo ya your maker hujaithibitisha, ni kauli ya imani.Mtakesha mpaka asubuhi to question your maker ni sawa na Samaki ndani ya chupa ya maji
Shetani ndio kaisha Quran?Angalau kwa biblia ila Kuna kitabu hiko Kuna Aya hadi leo inanifikirisha sana na sielewi kwanini wafuasi wake wanakaza shingo kukiamini
Qu'ran 2:97
Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
Nani ni adui wa Jibril? Jibu ni shetani
Kwanini shetani ateremshe Quran na tunaambiwa kuran ni tukufu?
Hili swali haitatakea nikapata jibu la kuridhika