Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
So mungu ndo anaua?
Ndio, soma kuna post hapo juu nimetaja maana ya kifo kwa kadiri Biblia inavyokitaja...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So mungu ndo anaua?
Your creator wewe una question your creator utakesha Samaki ndani ya chupa anajiulizaHiyo ya your maker hujaithibitisha, ni kauli ya imani.
Thibitisha Mungu yupo.
hivi huko shuleni mlienda kusomea ujinga ee?K
Wewe ni mpumbavu coz Mungu kamtaja mama, while sayansi yako haija Mtaja mama, kama Mungu ni muongo na hayupo pingana na maneno yake Kwa maana nenda kamle mama yako, kwani kipi kigumu?, mama yako hana papuchi?, hapa ni Mungu (through books and mitume) vs sayansi (na Wanasayansi logics)
Nikipata nafasi nitakujibu.Mimi ni mkristo na ninaamini Mungu yupo na anatenda. Ila kuna mambo ukisoma kwenye biblia lazima ujiulize maswali mengi sana yanayokosa majibu. Leo nitashea nanyi mambo ambayo naona kama yana ukakasi;
1. Kwenye Mwanzo 1:26 imeandikwa kuwa Mungu alisema tuumbe mtu kwa mfano wetu. Nimejiuliza ina maana uumbaji ulifanywa nae kwa kushirikiana na wengine? Hakuwa peke yake? Hao wengine kina nani?
2. Mwanzo 6 - 10 kuna stori maarufu ya Nuhu. Hii ni stori ina ukakasi zaidi. Nikiandika maswali yote niliyojiuliza uzi utakuwa mrefu. Ninashauri mkaisome ili tuifungulie uzi wake.
3. Kutoka 11:5-6 kuna maandiko yanayosema kuwa wazaliwa wa kwanza wote wa wamisri kwa upande wa binadamu hadi wanyama watauwawa na Mungu mwenyewe ili waisraeli wapewe ruhusa ya kwenda nchi ya ahadi. Kiukweli haya yalikuwa ni mauaji ya halaiki kwa wasio na hatia. Unaambiwa hadi mzaliwa wa kwanza wa mbuzi, kuku, ng'ombe, mbwa na farasi waliuwawa. Kwanini isingetumika njia nyingine hao waisraeli wakaondoka?
4. Kitabu kizima cha Joshua kimejaa stori za mauaji matupu. Ikumbukwe Joshua alichukua nafasi ya Musa kwenye kuwaingiza waisraeli nchi ya ahadi baada ya kifo cha Musa. Nchi waliyoahidiwa ilikuwa tayari ina wakazi wake ambao ilibidi wauwawe wote ili kuwapisha waisraeli. Hivi ilishindikana vipi kufanya kama alivyofanya Mama Samia kuwatoa wamasai Ngorongoro na kuwapeleka Msomera kwa amani kabisa bila kumwaga damu? Kama leo 2024 bado kuna maeneo duniani hayajakaliwa na binadamu ilikuwaje enzi za Joshua? Ukisoma kitabu cha Joshua utaona kila sehemu waliyopita walikuwa wakiua wenyeji watakaowakuta. Kulikuwa na sababu zipi za msingi za mauaji haya yote?
5. Ayubu 1:6-12 utaona stori ya shetani alipojiunga na wana wa Mungu kupita mbele ya Mungu kumwabudu hadi Mungu akashangaa imekuwaje shetani akawa eneo lile? Baada ya hapo Mungu na Shetani wakakubaliana kwenda kumjaribu Ayubu kwa sharti la kutogusa mwili wa ajabu (kumuua). Katika yale majaribu watoto wa Ayubu waliuwawa na shetani. Naweza kusema ni mauaji yaliyokuwa na approval toka juu. Ilikuwa kazi maalum. Je, sio kwamba wawili hawa hukutana na kukubaliana baadhi ya mambo? Sio kwamba kuna kazi za shetani zina kibali maalum?
Jibu unaloShetani ndio kaisha Quran?
Wewe vipi si una elimu?, ma degree kibao lakini empty, nakuthibitishia mkuu, Mungu yupo through books (Quran kariim), mama ametukuzwa sna, that why she is special, lakini ukija ktk sayansi yako mama ni sehemu ya kuzalisha (kama sayansi haisemi hivi basi nawe toa hoja) sasa swali lipo hapa , je unaweza kula papuchi ya mama yako?, kama huwezi na fikiri huna hoja ya kumkataa Allah pamoja na usomi wako, note Wanyama hakuna mama, baba, wao, kiranga huna hojaHujathibitisha Mungu yupo, unaleta stories za imani tu.
Hawa Mashekhe?Vipi hawa wachungaji wa kigalatia tena kanisani kabisa wanapelekeana moto kwenye mtaro
View attachment 3116403
Suala sio kuwa au kutokuwa na majibu, Suala muhimu ni kama hayo majibu yatamridhisha.Mkuu mbona haya maswali yote yana majibu, unasoma kweli biblia vizur au una rukaruka?
Hujathibitisha huyo creator yupo, hii ni kauli ya imani tu.Your creator wewe una question your creator utakesha Samaki ndani ya chupa anajiuliza
Quran imeshushwa na Shetani?Jibu unalo
Creator yupo ndio do you question him or her?Hujathibitisha huyo creator yupo, hii ni kauli ya imani tu.
Thibitisha Mungu yupo. Usitoe kauli ya imani tu.
Hujathibitisha Mungu yupo, unaleta stories za imani tu.Wewe vipi si una elimu?, ma degree kibao lakini empty, nakuthibitishia mkuu, Mungu yupo through books (Quran kariim), mama ametukuzwa sna, that why she is special, lakini ukija ktk sayansi yako mama ni sehemu ya kuzalisha (kama sayansi haisemi hivi basi nawe toa hoja) sasa swali lipo hapa , je unaweza kula papuchi ya mama yako?, kama huwezi na fikiri huna hoja ya kumkataa Allah pamoja na usomi wako, note Wanyama hakuna mama, baba, wao, kiranga huna hoja
Mimi sihitaji kum question.Creator yupo ndio do you question him or her?
Leo ndio naamini kuwa wewe ni mpumbavu, Quran kariim must accept it, huna elimu kichwani zaid ya ujingaHujathibitisha Mungu yupo, unaleta stories za imani tu.
Quran ina contradictions kibao, tatizo hujui hata contradiction ni nini.
This logical fallacy is called argument from authority.Leo ndio naamini kuwa wewe ni mpumbavu, Quran kariim must accept it, huna elimu kichwani zaid ya ujinga
Mahustadhi au?
Your creator wewe humjui?Mimi sihitaji kum question.
Wewe mwenyewe usham question.
Umeandika "him or her?".
Ina maana wewe mwenyewe humjui kama ni him or her 🤣🤣🤣