Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana

Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana

Mwanzisha mada unaoonyesha Una tatizo mapema kabisa unapodai kwamba kuna maandiko yenye UKAKASI.Hii ni intimidation ya kitoto kabisa...Mwisho nakushauri ukiamua kufungua nyuzi za kidharau za kidini tumia Id Isio na Hilo jina la Rais ili watu wasimuingize kwenye ugomvi ulioanzishwa na mtanzania WA mtaani mwenye fikra za MBUNI na uwezo WA kupambanua mambo WA KASUKU.
 
Mimi ni mkristo
Usijiite Mkristo, wewe ni msenge, inakuwaje mwanaume mzima ujiite mama? Kwenye Ukristo ushoga na usenge , kubadili jinsia ni dhambi kubwa. Rudi ukatubu na ukaache njia zako hizo mbaya za kuingiliwa kinyume na maumbile
 
Na Kwa kukuchanganya zaidi kwenye Hiyo Aya ya 3...!

Mungu alikua analeta mapigo Kwa farao, HALAFU TENA ANAMWINGIA FARAO KIROHO NA KUUFANYA MOYO WAKE KUWA MGUMU, Yani kifupi ni hivi, kama Mungu asingeufanya Moyo wa Farao kuwa Mgumu, basi Farao angeshawaruhu Wana Israel kitambo na yote ya kuuliwa Kwa Uzao wa kwanza kuanzia Sungura, Ng'ombe, Mbuzi mpaka Binadamu yasingetokea.

Tatizo lako unatumia Akili Yako ya Kibinadamu kuelewa Mambo ya Kiroho, Utakua na Maswali mpaka Yesu anarudi....!

GOD IS THE SPIRIT.
Hiyo akili yako ya kuelewa mambo ya kiroho umeitoa wapi tofauti na huyu anaetumia akili ya kibinadamu?
 
Mkuu mkuu mkuu nimekuita mara tatu bibilia siyo kitabu cha ukweli (siyo cha Mungu) ndani ya bibilia kuna vitabu havijulikani muandishi ni nani na kama hio haitoshi bibilia ni maneno (utashi) wa Paulo,
3;15 wagalatia ,
Matendo ya mitume 11:25-26 , kubatizwa napo story zake ni utata mtupu, kifo cha yesu napo hvo hvo , kufufuka napo kila mtume anasema lake yaani kitabu kimejaa utata kila kona, atakaye bisha alete point according to bibilia

Mimi ni mkristo na ninaamini Mungu yupo na anatenda. Ila kuna mambo ukisoma kwenye biblia lazima ujiulize maswali mengi sana yanayokosa majibu. Leo nitashea nanyi mambo ambayo naona kama yana ukakasi;

1. Kwenye Mwanzo 1:26 imeandikwa kuwa Mungu alisema tuumbe mtu kwa mfano wetu. Nimejiuliza ina maana uumbaji ulifanywa nae kwa kushirikiana na wengine? Hakuwa peke yake? Hao wengine kina nani?

2. Mwanzo 6 - 10 kuna stori maarufu ya Nuhu. Hii ni stori ina ukakasi zaidi. Nikiandika maswali yote niliyojiuliza uzi utakuwa mrefu. Ninashauri mkaisome ili tuifungulie uzi wake.

3. Kutoka 11:5-6 kuna maandiko yanayosema kuwa wazaliwa wa kwanza wote wa wamisri kwa upande wa binadamu hadi wanyama watauwawa na Mungu mwenyewe ili waisraeli wapewe ruhusa ya kwenda nchi ya ahadi. Kiukweli haya yalikuwa ni mauaji ya halaiki kwa wasio na hatia. Unaambiwa hadi mzaliwa wa kwanza wa mbuzi, kuku, ng'ombe, mbwa na farasi waliuwawa. Kwanini isingetumika njia nyingine hao waisraeli wakaondoka?

4. Kitabu kizima cha Joshua kimejaa stori za mauaji matupu. Ikumbukwe Joshua alichukua nafasi ya Musa kwenye kuwaingiza waisraeli nchi ya ahadi baada ya kifo cha Musa. Nchi waliyoahidiwa ilikuwa tayari ina wakazi wake ambao ilibidi wauwawe wote ili kuwapisha waisraeli. Hivi ilishindikana vipi kufanya kama alivyofanya Mama Samia kuwatoa wamasai Ngorongoro na kuwapeleka Msomera kwa amani kabisa bila kumwaga damu? Kama leo 2024 bado kuna maeneo duniani hayajakaliwa na binadamu ilikuwaje enzi za Joshua? Ukisoma kitabu cha Joshua utaona kila sehemu waliyopita walikuwa wakiua wenyeji watakaowakuta. Kulikuwa na sababu zipi za msingi za mauaji haya yote?

5. Ayubu 1:6-12 utaona stori ya shetani alipojiunga na wana wa Mungu kupita mbele ya Mungu kumwabudu hadi Mungu akashangaa imekuwaje shetani akawa eneo lile? Baada ya hapo Mungu na Shetani wakakubaliana kwenda kumjaribu Ayubu kwa sharti la kutogusa mwili wa ajabu (kumuua). Katika yale majaribu watoto wa Ayubu waliuwawa na shetani. Naweza kusema ni mauaji yaliyokuwa na approval toka juu. Ilikuwa kazi maalum. Je, sio kwamba wawili hawa hukutana na kukubaliana baadhi ya mambo? Sio kwamba kuna kazi za shetani zina kibali maalum?
Mtoa mada sio mkristo. Biblia sio hadithi au tungo.
 
Nilisoma kitabu cha wafalme farasi walikuwa wamebeba sanduku la agano kwa toroli la kukokota.
Sasa likawa linakaribia kuanguka jamaa mmoja akawahi kulizuia lisianguke.
Aliadhibiwa vikali sana na Mungu kwa kifo.🤣🤣
Kuna jamaa alikuwa akigonga anamwagia nje naye alipata adhabu ya kifo.
 
Mwanzisha mada unaoonyesha Una tatizo mapema kabisa unapodai kwamba kuna maandiko yenye UKAKASI.Hii ni intimidation ya kitoto kabisa...Mwisho nakushauri ukiamua kufungua nyuzi za kidharau za kidini tumia Id Isio na Hilo jina la Rais ili watu wasimuingize kwenye ugomvi ulioanzishwa na mtanzania WA mtaani mwenye fikra za MBUNI na uwezo WA kupambanua mambo WA KASUKU.
Wapumbavu kama wewe kwenye nyuzi kama hizi lazima muwepo. Rais anaitwa MamaSamia2025? Mbona wewe ni mjinga kiasi hiki? Huu uzi ni kwa watu wenye akili tu. Haukusu wews.
 
Usijiite Mkristo, wewe ni msenge, inakuwaje mwanaume mzima ujiite mama? Kwenye Ukristo ushoga na usenge , kubadili jinsia ni dhambi kubwa. Rudi ukatubu na ukaache njia zako hizo mbaya za kuingiliwa kinyume na maumbile
Inaonekana wewe tayari uko hivyo ndo maana huoni taabu kuandika hilo neno usenge. Sina cha kukusaidia zaidi ya kukuambia endelea na hiyo tabia uliyojiamulia. Huu uzi ni kwa watu wenye akili tu. Wewe haukuhusu.
 
🤣🤣🤣🤣Acha kuwaza ki P diddy ww 🤣🤣🤣😋Yaan umeshawaza tofauti ...Je na la mpakwa mafuta wa bwana hujaliona
Kuna watu wanajua uchafu wa hicho kitabu chenu cha majini kilichotelemshiwa mapangoni,, wakianza kukitirika humu mtaanzisha matusi na kushika majambia. Hebu jadilini mambo mengine. Watu msiokuwa na uvumilivu, wala upendo kwa binadamu wengine mnataka kusikilizwa nyie tu
 
Hao waisrael jau sana kuna maandishi wameyachezea hao katika Bible mue makini kuna siku vizazi vyetu miaka karne zijazo zitakuta kwenye Bible kidume kuolewa ni haki yake. Vitukuu vyetu vipelekewe moto tuombe Mungu sana awa jamaa wapungukiwe nguvu liwe taifa la wanyonge kabisa
 
Back
Top Bottom