Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Hakuna shidaHata WACHINA wakileta ushahidi kuwa ulikamatwa na NGADA bado mtabisha kwani nyie ni criminal syndicate hamkubali kitu!!!
Huo ushahidi unao ?!!!Hata WACHINA wakileta ushahidi kuwa ulikamatwa na NGADA bado mtabisha kwani nyie ni criminal syndicate hamkubali kitu!!!
Kwa iyo wewe unahisi january anaonewa 🙄🙄🙄Kama January ni mngoni sawa mie ni January
Hana leo wala kesho....MPAYUKAJI TU.....Hakuna shida
Wewe nipe ushahidi wa wizi wa January Makamba!
Tusizunguke mbuyu
Huna ushahidi wa huo UCHAFU umebakia kubweka tu......
Ndiyo anaonewa!Kwa iyo wewe unahisi january anaonewa 🙄🙄🙄
Hahahaha Mbona unapiga biti tenaSawa wewe kifuu kula hiyo mnaita Asali muda si mrefu mtaiharisha!!
Hakuna shida
Wewe nipe ushahidi wa wizi wa January Makamba!
Tusizunguke mbuyu
😳🤣🤣Sawa wewe kifuu kula hiyo mnaita Asali muda si mrefu mtaiharisha!!
Ni maoni yake tu yaheshimiwe..Sasa huyu ameongea nini ya kumtia Makamba hatiani?
Si bora mpina alijenga hoja?
Ujinga huu ni wa kufungulia uzi?
Clip nimeisikiliza!Hiyo clip umeisikiliza vizuri? Au umeziba macho na masikio?
Wewe utakuwa ni mtoto haujui history ya siasa ya nchi hii hakuna watu ambao walikuwa na kiburi na wezi katika nchi hii kama makamba, nape,rizi1 n.k enzi za Jk magu akaja kawakata midogoHakuna shida
Wewe nipe ushahidi wa wizi wa January Makamba!
Tusizunguke mbuyu
🤣🤣Kaishia kutaka KUROGA watu.....hana huo ushahidi....kifua kimemjaa tu CHUKI+CHOYO kwa wengine......Hahahaha Mbona unapiga biti tena
We tupe ushahidi wa wizi na upigaji wa January Makamba
🤣🤣🤣🤣😂 eti yupo smart unamjua makamba weweKila uchao mashambulizi yanaelekezwa kwa huyo ndugu J.Makamba..hapa si BURE.....wamejipanga haswa KUMCHAFUA NA KUMSILIBA ANUKE ila jamaa yuko smart mno upstairs....YOYE ATAYASHINDA NA WATAUMBUKA VIBAYA SANA......
#Siempre JMT🙏
Mnampangia mh.Rais wa KUWATEUA!??😳😳Wewe utakuwa ni mtoto haujui history ya siasa ya nchi hii hakuna watu ambao walikuwa na kiburi na wezi katika nchi hii kama makamba, nape,rizi1 n.k enzi za Jk magu akaja kawakata midogo
Mama amewarudisha tena moto kwa wananchi lazime uwake na tumeanza kuona
😳🤣🤣
Acha chuki mkuu.....
Chuki huviza moyo.....
Makamba si wa kumchafua hivi....AMESHAZOEA kuchafuliwa na MASAKALA.....
Kweli mti wenye matunda mazuri ndio hupopelewa mawe......
#Siempre JMT🙏
Basi utakuwa unamjua PEKE YAKO TU......🤣🤣🤣🤣😂 eti yupo smart unamjua makamba wewe