Hizi taasisi bila mjomba na mganga anayeeleweka hupati kazi

Unasababisha vijana wa JF mate yawatoke.
 
Mie bot naandaa hela Mr Kennedy na madam salama ninao🙏mie mfipa,wajiandae🙏🙏
 
Mdogo wangu anafanyakazi katka moja ya hizo taasis, hakuwa na connection, Godfather na wala hakwenda kwa mganga
 
Tafuta kazi UN, balozi za ulaya, makampuni ya simu, kuna kampuni ndogo nyingi mjini, zinalipa mpunga mrefu kuliko hata mgodini,nimekutana na jamaa, anafanya kazi za kutumia cranes, winch, ni operator wa cranes, analipwa 6M! Posho nje ya kituo 100K per day! Huo mpunga sio haba!hipo migodi watu wanalipwa 15M!
Usikalili majina ya BOT, yapo machaka kibao yenye mpunga mrefu, we tafuta ujuzi wako uupendao, na ubobee saaaana, utakula mema ya nchi
 
Chai
 
never give up
 
🥴 It can go beyond the spiritual world however
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…