Hizi taasisi bila mjomba na mganga anayeeleweka hupati kazi

Hizi taasisi bila mjomba na mganga anayeeleweka hupati kazi

Labda kama hauna uwezo na kichwani ni tia maji tia maji, ila kama you are the best hapo labda Immigration, DCEA na Hazina sababu michakato yake kupenya mtihani kidogo pia masuala ya kiusalama

Lakini huko kwingine kote tuna ndugu zetu wakina kajamba nani wamepenya na hawakuwa hata na connection kihivyo


Ila darasani sasa ndio 🔥🔥🔥🔥
Ila mbona hatuwaji kuona tangazo la kazi DCEA?

Wanatangaza vipi ?
 
Watoto wa masikini wakikaza sana wataishia halmashauri za Buhigwe, Namtumbo na Simiyu ama na mashirika uchwara.

Ila ukitaka utoboe kwenye hii list lazima uwe na Godfather huko, ama una ndumba kali.

Mashirika na taasis zenyewe ni hizi hapa chini

1. TRA
2. BOT
3. DCEA
4. TISS
5. IMMIGRATION
6. NBS
7. TFRA
8. HAZINA
9. WORLD VISION
10. TCRA
11. LATRA& WCF
Ongeza na TBS
 
Watoto wa masikini wakikaza sana wataishia halmashauri za Buhigwe, Namtumbo na Simiyu ama na mashirika uchwara.

Ila ukitaka utoboe kwenye hii list lazima uwe na Godfather huko, ama una ndumba kali.

Mashirika na taasis zenyewe ni hizi hapa chini

1. TRA
2. BOT
3. DCEA
4. TISS
5. IMMIGRATION
6. NBS
7. TFRA
8. HAZINA
9. WORLD VISION
10. TCRA
11. LATRA& WCF
Fimbo ya ufalme ikiingia kwenye ukoo, haitoki, labda kutokee tatizo kubwa sana!
 
Watoto wa masikini wakikaza sana wataishia halmashauri za Buhigwe, Namtumbo na Simiyu ama na mashirika uchwara.

Ila ukitaka utoboe kwenye hii list lazima uwe na Godfather huko, ama una ndumba kali.

Mashirika na taasis zenyewe ni hizi hapa chini

1. TRA
2. BOT
3. DCEA
4. TISS
5. IMMIGRATION
6. NBS
7. TFRA
8. HAZINA
9. WORLD VISION
10. TCRA
11. LATRA& WCF
Hii victimization mentality ni very toxic. Badilika !!!!
 
Back
Top Bottom