Wewe una hoja gani zaidi ya Uchawa? Naona Wajinga mnaongezeka kwa Kasi ya kitishaAisee Lissu hana jipya; ni matatizo yake binafsi hana analojua kuhusiana na maisha ya wananchi wala nini.
1. Hoja ni kiinua mgongo chake
2. Kuishi Ulaya kwa tabu kama mgonjwa
3. Kutembelewa na makamu wa rais akiwa hospitali
4. Dereva wake alipo
5. Katiba na mikutano ya siasa
Kama kuna mtu anadhani kuna jipya kwa lisu atasubili sana.
USSR
Kasema yuko wapi mkuu?4. Kasema alipo na njia za kumuhoji
BelgiumKasema yuko wapi mkuu?
Eti kaenda kijijini kwao kuonyesha makovu yake, duh. Hilo lijamaa limeshageuza makovu kuwa agenda kuu.
Jee hayo anayazungumzia kwenye mikutano? Hapana usipotoshe makusudi.Aisee Lissu hana jipya; ni matatizo yake binafsi na jamii inayafahamu sana maana taarifa za yeye kushambuliwa na kukimbilia Ulaya sio jambo gani masikioni mwa watanzania kama ni pole tulimpa sana sasa maisha lazima yaendelee tu ,kwa waliosomea mambo ya habari watakubaliana na mimi kuwa kama jambo linajulikana sio habari tena.
Kwa sasa hoja za kitaifa ishu za maisha magumu ,tozo , uzembe kazini, mfumuko wa bei,na n.k ishu ya katiba CCM ya Samia imesha sema watawapa sasa lisu aje na ishu za msingi sio za kujiita chiba hana analojua kuhusiana na maisha ya wananchi wala nini anawaza maisha yake tu.
1. Hoja ni kiinua mgongo chake
2. Kuishi Ulaya kwa tabu kama mgonjwa
3. Kutembelewa na makamu wa rais akiwa hospitali
4. Dereva wake alipo
5. Katiba na mikutano ya siasa( hii walishakubaliana na CCM
Kama kuna mtu anadhani kuna jipya kwa lisu atasubili sana.
Anadai anaiamini zaidi CCM ya kuliko wapinzani wenzake huyu hayuko sawa kwani UKAWA vipi tena
USSR
Unaumia akitukanwa muuaji? Hivi kuna dhambi kubwa kuliko kuua katika binadamu?Huyo ni poyoyo tu hana lolote,Ameambiwa kila akisimama,ametukane magufuli,
Ashaondoka dunian muacheni apumzike!!Huyo ni poyoyo tu hana lolote,Ameambiwa kila akisimama,ametukane magufuli,
Eti kaenda kijijini kwao kuonyesha makovu yake, duh. Hilo lijamaa limeshageuza makovu kuwa agenda kuu.
Mmoja wapo wa watesi wake ila utapata unachostahili tu!!Bora hayo kuliko makovu ya mtu kwani kuna mtu hana kovu makovu yapo kwa watu wengi tu
USSR
Japo umechangia kiutu uzima, nakukosoa kidogo. Tusimchagulie Lisu namna ya kulia. Mwacheni alie kadri atakavyo kwani ndio njia pekee ya kuponya hisia chungu. Hao wanaoumizwa na kulia kwake wavumilie tu kama yeye alivyovumilia maumivu makali kabisa kuwahi kumtokea maishani.
ππππππ
yaani kama namsikia na kumuona vile, akiwa anageugeuka kuonyesha na kusema, '....hapa ndio ya kwanza ilipoingia'....', hapa ndio dereva aliponiambia geuka, alinichuuza nikapewa nyingine!, '....nikajilalia...', wakendelea kumwaga aisee mijamaa mikatili, mmh nyingine imeingia wakati najaribu kuangalia wapi cctv ipo....duh!
Jokes aside aliumia kweli na simwombei kiumbe chochote machungu anayo yapata au aliyoyapata,kwani majeraha aliyopata mhhh manake hata katika mchepuko anaulizwa na '...hapa je? Yaani anatoneshwa kidonda na mchepuko...
Hatahivyo na yeye ajaribu kupata usaidizi wa majeraha yake badala ya kuendelea kuchokonoa kidonda kwa kutoa dukuduku hadharani wakati anajua Hayati magufuli alikuwa na Familia, aidha walikuwa hawajui hulka zake au wameanza kujua baada ya mauti, kwa vyovyote vile inauma.
Wananchi wameumia, hatuwezi kuendeleza kutoneshana vidonda sababu tu ya kutaka dola, sababu ya kutaka huruma.
Tundu Lissu anaweza kupaa bila kinyongo au kisasi.
Amani
Juha ni huyo chiba.Daaah π€, juha usharud humu π€£π€£π€£!!!
Sidhani kama kuna mtu anakataa Tundu Lissu kulia.Japo umechangia kiutu uzima, nakukosoa kidogo. Tusimchagulie Lisu namna ya kulia. Mwacheni alie kadri atakavyo kwani ndio njia pekee ya kuponya hisia chungu. Hao wanaoumizwa na kulia kwake wavumilie tu kama yeye alivyovumilia maumivu makali kabisa kuwahi kumtokea maishani.