Hoja za Lissu ni zilezile za tangu aje Tanzania kugombea Urais 2020

Akionesha makovu inakuuma nini? Mwache aoneshe, atachoka. Naona bado unamchagulia namna ya kulia.
 
Akionesha makovu inakuuma nini? Mwache aoneshe, atachoka. Naona bado unamchagulia namna ya kulia.
Ulitaka nikujibu vipi sasa?
Na wapi hapo nimesema akionyesha makovu naumia?

Hilo shauri lake. Na wewe usinichagulie namna ya kumuongelea Lidikteta Lisuu

pyu pyu pyu pyu x4
 
Ulitaka nikujibu vipi sasa?
Na wapi hapo nimesema akionyesha makovu naumia?

Hilo shauri lake. Na wewe usinichagulie namna ya kumuongelea Lidikteta Lisuu

pyu pyu pyu pyu x4
Nilijua tu unamchukia Lissu, ulijifanya ku- sugarcoat thread yako. Mwache usimchagulie namna ya kulia. Ni haki yake.
 
Kwani wewe si yule yule, umebadilika nini?
 
Eti kaenda kijijini kwao kuonyesha makovu yake, duh. Hilo lijamaa limeshageuza makovu kuwa agenda kuu.
Kuna jamaa omba omba yeye kila akikuona anakuonyesha kidonda chake akiombea hela za matibabu

Na yeye anataka mafao yake ila sympathy anazitafuta kwa nguvu sana

Ana haki zake ila sasa imekuwa zaidi
 
Hana jipya lakini Sukuma Gang mko hapa 24/7 kumjadili angalia kwa siku mnaanzisha nyuzi zaidi ya nyuzi ishirini juu ya Lissu,hakika nyie ni wapumbavu sana
 
Weye huwa una kaufala flani hivi na kujidai umeuzoea mji.Acha ujingaujinga.Anayoyasema Lissu yawe mapya au yamezeeka,ni kweli au si kweli?Jikite hapo.Hizo chuki na miujinga achia hawara yako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…