Hongera Haji Manara kwa kupewa kazi ya usemaji wa kampuni ya Tigo

Unajua maana ya title ya MSEMAJI wa kitu fulani?

Huyo Haji anajua hata basic za Sheria? Maana unaweza ulizwa swali la kisheria mbele ya watu wakubwa ukachomesha kampuni.

Ni tofauti na Mwanahabari regular.. Mwanahabari yeye atatuhabarisha tu na sio KUSEMEA taasisi.

Kusemea taasisi inamaana una Mamlaka makubwa mno mno..
 
Ukiweza kuongea ujinga kwa confidence baasi umetoboa. Kama kweli ni MSEMAJI. Basi kazi ipo.
 
Mjomba ako Haji hanaga dogoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Zaramo tukuka
 
Hance Mtanashati somaaaa hiyooooooooo....

Big up Mr. Haji....πŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘Š
 
Siku akikudate utakuwa maarufu kama rushyna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…