Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
I don't think so...Do majority Tanzanians care about that quality you mention?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I don't think so...Do majority Tanzanians care about that quality you mention?
😆😆😆🤪 Tigo wewe unatumia au hutumii?Kama ni kweli...
Ndo maana jina la tigo limelaaniwa
Unajua maana ya title ya MSEMAJI wa kitu fulani?Jackson Mmbando PR Airtel na zamani Tigo ni mwanahabari na hana cheti chochote cha chuo kikuu cha uhandisi wa mawasiliano na anafanya kazi vizuri tu huwezi jua kama ni mwanahabari...
Hassan Bumbuli aliye NMB sasa hivi ni mwanahabari, mifano ipo mingi
Ikija midahalo au summits za kimataifa kama TAIC, MWC, AfricaCom, TowerXchange, ConnectedAfrica n.k wanaowakilisha kampuni za mawasiliano huwa ni wenye taaluma ya telecom kama CTO's, CEO's n.k...
natumia zantel😆😆😆🤪 Tigo wewe unatumia au hutumii?
Ukiweza kuongea ujinga kwa confidence baasi umetoboa. Kama kweli ni MSEMAJI. Basi kazi ipo.Maswali yako ni mazuri kabisa na wangetakiwa wajiulize hivyo. Ila kama tunavyojua ni kwa Tanzania, watu wenye porojo za kijinga ndiyo huonekana kama ni majembe. Haki ya nani tumekwama sehmu mbaya sana sana na aliyetufikisha hapa ametuweza. Yaani ili kiongozi au mtaalam, ''elimu'' unayotakiwa kuwa nayo ni ujinga na porojo.
Tigo haujawahi kuiguza hata mara moja? 🤪natumia zantel
SahihiUkiweza kuongea ujinga kwa confidence baasi umetoboa. Kama kweli ni MSEMAJI. Basi kazi ipo.
Acha uhuni we mubabaTigo haujawahi kuiguza hata mara moja? 🤪
Mjomba ako Haji hanaga dogo😂😂😂Hongera sana Haji Manara kwa nafasi hiyo adhwimu.God bless!!!
Aliyepewa kapewa.
Itoshe kusema kwamba Mganga wa Haji sio tapeli.
---
Kupitia Ukurasa wake rasmi wa Instagram HajiManara anathibitisha kupata usemaji wa Kampuni ya Mawasiliano ya tigo. Katika kulieleza hili Haji Manara anaandika:
Alhamdulillah 🙏🏻🙏🏻
Unadhani mimi ni hodari sana kiasi cha kuendelea kupata hizi deals za Makampuni? Hapana ni Mungu tu anaeniangazia na pengine kuuvaa uhusika nnapokabidhiwa jukumu na wao au Taasisi nnazofanya nao kazi.
Kuisemea Kampuni kubwa kama hii hususan katika kipindi hiki cha Holiday na kwa namna walivyojipanga na hizi Zawadi kubwa kubwa ni zaidi ya Mipango ya Mungu, na ni heshma kwetu ndugu zangu.
Sisi tumetoka Uswahilini huko kuja kupewa fursa kama hizi ni ushindi kwa Mahaslers wote.
@tigo_tanzania mmepata Semaji, Mmepata Mwanamme hasa anaejua kazi yake, Mtaenjoy mwaka huu.
Sio uhuni nimekuuliza Tigo wewe hujawahi hata kuiona? Basi mpigie Yesu makofi 🤪Acha uhuni we mubaba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama ni kweli...
Ndo maana jina la tigo limelaaniwa
Inapatikana wapi kwani?Sio uhuni nimekuuliza Tigo wewe hujawahi hata kuiona? Basi mpigie Yesu makofi 🤪
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tigo wameanza lini kuwa na mambo serious?
Mie naona wamechagua mtu sahihi kwao,wote wapuuzi
Hance Mtanashati somaaaa hiyooooooooo....Hongera sana Haji Manara kwa nafasi hiyo adhwimu.God bless!!!
Aliyepewa kapewa.
Itoshe kusema kwamba Mganga wa Haji sio tapeli.
---
Kupitia Ukurasa wake rasmi wa Instagram HajiManara anathibitisha kupata usemaji wa Kampuni ya Mawasiliano ya tigo. Katika kulieleza hili Haji Manara anaandika:
Alhamdulillah 🙏🏻🙏🏻
Unadhani mimi ni hodari sana kiasi cha kuendelea kupata hizi deals za Makampuni? Hapana ni Mungu tu anaeniangazia na pengine kuuvaa uhusika nnapokabidhiwa jukumu na wao au Taasisi nnazofanya nao kazi.
Kuisemea Kampuni kubwa kama hii hususan katika kipindi hiki cha Holiday na kwa namna walivyojipanga na hizi Zawadi kubwa kubwa ni zaidi ya Mipango ya Mungu, na ni heshma kwetu ndugu zangu.
Sisi tumetoka Uswahilini huko kuja kupewa fursa kama hizi ni ushindi kwa Mahaslers wote.
@tigo_tanzania mmepata Semaji, Mmepata Mwanamme hasa anaejua kazi yake, Mtaenjoy mwaka huu.
0713 tuKama ni kweli...
Ndo maana jina la tigo limelaaniwa
Unazungumzia English kupanda wakati primary alisoma IST,secondaryKiingilishi kinapanda?...
Elimu ya Telecom ipo? Ok.
Exposure je?......
Anewei.. hongera kwake.
Siku akikudate utakuwa maarufu kama rushynaPamoja na madhaifu yake yote, matusi na lugha chafu ila ukweli Manara ana karama ya umashuhuri.
Kila anachogusa na kufanya ni habari. Sijajua usemaji huo utakuwa wa aina gani hasa kwenye mtandao wa simu ila sina mashaka na utekelezaji wake.
Manara alizaliwa kufanya anachokifanya.